Mchina ampiga Ofisa Uhamiaji, kazimia

uhamiaji ni moja ya taasisi zinazolalamikiwa sana kwa rushwa na kutowajibika ipasavyo katika nyanja zote za huduma kwa wananchi hivyo kupigana katika ofisi hizo sio jambo la ajabu kwa yule anayeweza kukosa uvumilivu. kimsingi yupo atayeua ofisa wa uhamiaji kama hali ya kutowajibika itaendelea
 
Ukweli ni jamani Watanzania tunasikitisha sana. Mtanzania kapigwa, kwanza anatokea askari anayekula rushwa anataka kumlinda mtuhumiwa, sisi humu tunamsema vibaya mtu hata hajulikani kama yuko salama ama la!! Duh!! Ubinadamu kazi!!

Uhamiaji mkoa wa Dar sasa hivi wamekua kazi kwenda mbele na hakuna cha rushwa wala nini, tuwapeni nguvu badala ya kuwabeza. Jamani hii nchi yetu sote, wanaofanya kazi tusiwabeze. Hilo tukio limetokea Kariakoo, na jamaa wamezoea kuchekewa chekewa na kulindwa.
 
Kung fu za kwenye sinema haziko applicable katika street fighting. Kwenye street fighting hakuna cha babake kung-fu wala mamake karate.

Kwenye street fighting anything goes...vitofa, vyupa, vipisi vya mbao, kung'ata, kubinya kende, kurusha viti, na hata kukimbia kumo. Sielewi kabisa hii dhana ya huyo afisa uhamiaji kupigwa hadi apoteze fahamu.

Ina maana hakuwa na wenzake hapo alipopigiwa? Kama wenzake walikuwepo kwa nini hawakumchangia huyo Mchina? Au achana hata na kumchangia, kwa nini hawakuamulia mapema?

Miafrika bana....daaaah.
ndivyo ilivyo
 
ndo maana hawa weupe wakuja mimi wakinizingua narusha jiwe la uso halafu nasepa,

Kuna sheria zinazotawala, baada ya kumjeruhi ofisa, wenzake walimdhibiti na kumkamata, sasa hapo unataka waliomkamata wampige? Hapana, sheria inachukua mkondo wake.
 
Kuna sheria zinazotawala, baada ya kumjeruhi ofisa, wenzake walimdhibiti na kumkamata, sasa hapo unataka waliomkamata wampige? Hapana, sheria inachukua mkondo wake.

Wangemdunda kungekuwa na ubaya gani?
 
Kuna sheria zinazotawala, baada ya kumjeruhi ofisa, wenzake walimdhibiti na kumkamata, sasa hapo unataka waliomkamata wampige? Hapana, sheria inachukua mkondo wake.
Sasa na hao walikuwa wapi hadi wanasubiri mwenzao apigwe hadi kuzimia halafu na wao ndio waanze kuchukua action, ndio maana kuna jamaa yangu anatembea na jambia kwenye gari ukimzingua anakutandika na ubapa
 
Kuna sheria zinazotawala, baada ya kumjeruhi ofisa, wenzake walimdhibiti na kumkamata, sasa hapo unataka waliomkamata wampige? Hapana, sheria inachukua mkondo wake.

mkuu kama watz tunathamini hawa weupe na kuabudu sana hadhi yao kama miungu unafikiri ni haki gani na sheria ipi itafuatwa huko mahakamani? mkuu kwangu mimi MHINDI, MWARABU, MZUNGU, MJAPANI, MCHINA AU MKOREA na yeyote mgeni akinizingua au kudhulumu UTU wangu namzima na jiwe la fatuma, sina uwezo wa kuendesha mashtaka dhidi yake, utansamehe kwa hilo.
 
Kung fu za kwenye sinema haziko applicable katika street fighting. Kwenye street fighting hakuna cha babake kung-fu wala mamake karate.

Kwenye street fighting anything goes...vitofa, vyupa, vipisi vya mbao, kung'ata, kubinya kende, kurusha viti, na hata kukimbia kumo. Sielewi kabisa hii dhana ya huyo afisa uhamiaji kupigwa hadi apoteze fahamu.

Ina maana hakuwa na wenzake hapo alipopigiwa? Kama wenzake walikuwepo kwa nini hawakumchangia huyo Mchina? Au achana hata na kumchangia, kwa nini hawakuamulia mapema?

Miafrika bana....daaaah.
NN mimi kuna jamaa yangu yeye kama mkipanga mkono ukamzidi kwenye gari lake huwa anatembea na panga sasa umfuate uone hapo sipati picha jinsi ambavyo angemcharanga mchina
 
Mwache apigwe, wamezidi kuomba rushwa. Kitu kidogo wanakuzungushaaaaaaa!
Hongera mchina
 
Mchina mmoja YUXIAN WENG hati ya ukazi RPA O31266 ISSUED DSM 28.7.2O1O amempiga afisa Uhamiaji cpl Mussa Mkubwa Abdallah wa Ilala hadi umepoteza fahamu hadi sasa. Amepelekwa Muhimbili Hospital na hajapata fahamu. Taarifa zinasema POLISI mmoja amekua akiwalinda Wachina hao anaitwa W.KABEMBERA ASST. INSP.

Hawa wachina wana nguvu kiasi gani hapa bongo????mwaka huu katikati mchina mwingine wa kampuni ya ujenzi wa barabara huko chunya mbeya alimpinga kijana mmoja aitwae Aziz na kupelekea kifo cha kijana huyo,sijui hata kesi iliishia wapi....sasa kama tunakuwa wanyonge namna hii ndani ya nchi yetu hii si dalili hata kidogo
 
Mi mtu hawezi kunipiga hivi hivi tu. Tutapigana. Labda tu aniwahi anipe knockout blow. Lakini kihivi hivi tu eti anizabe kibao...hahahaa we will go rounds!

Nilifunzwa ingali mdogo kuwa mtu akinipiga na mimi natakiwa nimpige. Na haijalishi wewe ni nani...uwe Tyson au Kikwete....no one hits me without getting hit back twice as hard. Hata kisu ntakuchoma kama siwezi kupigana na wewe.
 
Rushwa ni adui wa haki.

Naweza kukubaliana na kauli mbiu hii. Kuna siku tulishuhudia polisi naye akipigwa na mchina pale kwenye supermarket iliyo karibu na ofisi za government press (wale wanaosimama kwenye bango na bunduki zao). Huyo mchina alikuwa kwenye gari iliyokuwa imebeba mzigo. Kwa mtazamo wangu haikuwa mara ya kwanza yule mchina kusimamishwa na askari wale. Mchina alimpiga yule polisi, watazamaji tulijutia kutokuwa na kamera. Neno alilokuwa likisikika toka kwa mchina ni rushwa, rushwa...Na askari mwenzie alishindwa hata kumtetea akabaki ameduwaa. Kwa hiyo inawezekana kabisa kuwa level ya uvumilivu ya mchina ilifikia mwisho na akaishia kutoa kibano kwa afisa uhamiaji.
 
Duh kama ni kastama kea basi hiyo imepitiliza sasa.
Kwani jamaa mpaka anapokea kisago alikuwa peke yake?
 
Ukweli ni jamani Watanzania tunasikitisha sana. Mtanzania kapigwa, kwanza anatokea askari anayekula rushwa anataka kumlinda mtuhumiwa, sisi humu tunamsema vibaya mtu hata hajulikani kama yuko salama ama la!! Duh!! Ubinadamu kazi!!

Uhamiaji mkoa wa Dar sasa hivi wamekua kazi kwenda mbele na hakuna cha rushwa wala nini, tuwapeni nguvu badala ya kuwabeza. Jamani hii nchi yetu sote, wanaofanya kazi tusiwabeze. Hilo tukio limetokea Kariakoo, na jamaa wamezoea kuchekewa chekewa na kulindwa.

Mkuu Halisi hili la mtu kujichukulia hatua mikononi ndilo hasa tunalopaswa kulikemea. Ila hebu tujuze kwa undani je mtu huyu imekuwaje mpaka akapigwa?, maana huenda Mchina alikuwa anafanya self defence.

Unajua sometimes watendaji wa serikali waliona mamlaka huwa wanajifanya wao miungu watu, kunyanyasa wananchi, na ukiona watu hawa-sympathise na wewe hata unapokuwa unachungulia kaburi kama huyu askari wa uhamiaji ujue something is wrong with the system.

Hebu tufafanulie tukio kwanza, halafu tuchangie with an open mind. Hilo la kulindwa kwa mchina na askri mwingine ni muendelezo wa yaleyale yanayowafanya watu wachukie authorities. Mchina hawezi kwenda kukurupuka tu na kumjeruhi mtu kama vile afanyavyo mnyama pori ni lazima kuna TRIGGER
 
Back
Top Bottom