Umeongezea Jambo moja .... la muhimu hapo!!!kuna sababu mpaka mgeni kumchalaza mwenyeji,lakini hawa wanaojiita mabos mara nyingi huwa wanajiona,wenye viburi,majibu ya mkato,wala rushwa,hupenda sana ngono hasa kwa akina dada yawezekana hayo mambo ndiyo yamesababisha boss akachezea kichapo.
wabongo wanadhana kwamba kila mchina anacheza kong fu! .. kumbe wala sio kweli.. hata mimi jamaa namuona mpuuzi apigwe hadi apoteze fahamu!
mwanaume unapigana ukizidiwa unakimbia ...
Rushwa ni adui wa haki.
So ingekua poa kama ungetujuza chanzo cha ugomvi na mchina yupo wap kwa sasa.Ila kiukwel hawez kuleta dharau ndan ya nch yetu,jamaa hakua na hata jiwe?
Nadhan ofisa ni mtu wa visiwan mpenda chai ya karafuu,yaheeeeeee!
huyo mchina vipi? Kakamatwa?
Mchina mmoja YUXIAN WENG hati ya ukazi RPA O31266 ISSUED DSM 28.7.2O1O amempiga afisa Uhamiaji cpl Mussa Mkubwa Abdallah wa Ilala hadi umepoteza fahamu hadi sasa. Amepelekwa Muhimbili Hospital na hajapata fahamu. Taarifa zinasema POLISI mmoja amekua akiwalinda Wachina hao anaitwa W.KABEMBERA ASST. INSP.