Kung fu za kwenye sinema haziko applicable katika street fighting. Kwenye street fighting hakuna cha babake kung-fu wala mamake karate.
Kwenye street fighting anything goes...vitofa, vyupa, vipisi vya mbao, kung'ata, kubinya kende, kurusha viti, na hata kukimbia kumo. Sielewi kabisa hii dhana ya huyo afisa uhamiaji kupigwa hadi apoteze fahamu.
Ina maana hakuwa na wenzake hapo alipopigiwa? Kama wenzake walikuwepo kwa nini hawakumchangia huyo Mchina? Au achana hata na kumchangia, kwa nini hawakuamulia mapema?
Miafrika bana....daaaah.