Mchezo wa sabuni unanitafuna taratibu, naomba msaada niache

Zawadi kubwa ambayo unaweza kumpatia Mwanamke mzuri ni kumfikisha kileleni, yeye kwanza kabla yako. Akishafika kileleni mwanamke ndipo wewe Mwanaume unatakiwa ufuate. Ila unapowahi wewe mwanaume kufika haraka kileleni, kwanza lazima ujiskie aibu, pili unakua umemchafua tu Mwanamke wala hakuna ulichofanya amekula hela zako za bure, hizo hela bora ungepata dozi tu ya virutubisho. USIJIDANGANYE SHABABI KUBADILISHA WANAWAKE WAKATI MWENYEWE TATIZO LAKO UNALIJUA.Nakushauri uanze dozi
Mkuu doz kama ipii labda tupeane elimu kidogo
 
Nikiwa na miaka 16 niliwahi mshuhudia jamaa yangu fulani akifanya punyeto (Masturbation) akanifundisha jinsi ya kufanya, nilipofanya mwishoni nilisikia raha moja ya ajabu sana, siku iliofuata muda ule ule usiku nikiwa peke yangu nikafanya tena na ndo ikawa mchezo wangu.

Baadaye nikiwa shule boading, pale Moshitech Sec niliwahi kukutana na jarida la FEMA, lilielezea kuwa punyeto/Masturbation kuwa haia madhara yoyote, baada ya kusoma hilo jarida basi niliongeza kasi ya kufanya.

Sasa imefikia mahali nisipo fanya hiyo kitu siwezi kulala, pia nishakuwa kwenye mahusiano sana, Ila ninapokuwa peke yangu huwa nafungua macho navuta picha ya wanawake nilio chapa huku nikifanya Masturbation, hata nikiwa kwenye mizagamuano nakuwa bao la pili nalitafuta kwa kuvuta kumbukumbu ya picha za x na pisi Kali zingine ili nieze pata bao.

Yaani hapa nilipofikia kwisha habari yangu, napambana sana kuacha Ila kila njia nayotafuta kuacha nafeli, wakuu JF nahitaji msaada wenu naachaje Masturbation.
mdogo wqngu acha hako kamchezo
tqfuta chumvi ya mawe anza kuiogea

haya maroho yatakutoka polepole
 
Nikiwa na miaka 16 niliwahi mshuhudia jamaa yangu fulani akifanya punyeto (Masturbation) akanifundisha jinsi ya kufanya, nilipofanya mwishoni nilisikia raha moja ya ajabu sana, siku iliofuata muda ule ule usiku nikiwa peke yangu nikafanya tena na ndo ikawa mchezo wangu.

Baadaye nikiwa shule boading, pale Moshitech Sec niliwahi kukutana na jarida la FEMA, lilielezea kuwa punyeto/Masturbation kuwa haia madhara yoyote, baada ya kusoma hilo jarida basi niliongeza kasi ya kufanya.

Sasa imefikia mahali nisipo fanya hiyo kitu siwezi kulala, pia nishakuwa kwenye mahusiano sana, Ila ninapokuwa peke yangu huwa nafungua macho navuta picha ya wanawake nilio chapa huku nikifanya Masturbation, hata nikiwa kwenye mizagamuano nakuwa bao la pili nalitafuta kwa kuvuta kumbukumbu ya picha za x na pisi Kali zingine ili nieze pata bao.

Yaani hapa nilipofikia kwisha habari yangu, napambana sana kuacha Ila kila njia nayotafuta kuacha nafeli, wakuu JF nahitaji msaada wenu naachaje Masturbation.
Pole mkuu
 
Habari zenu wakuu,,,actually mm historia yangu na punyeto ilianza since nina miaka 12 (darasa la sita) na pornography since nipo grade 2(darasa la pili) ,,,kiufupi nilianza punyeto bila kufundishwa na at first time nilikuwa najiskia raha sana na ikawa mchezo wa almost kila siku,,,asikudanganye mtu punyeto inaweza isiwe na madhara katika maumbile ya nje ila ni ina madhara kwenye akili(mental health) kwa mfano punyeto * ilinifanya niwe mtu ambaye nina huzuni kila saa.

*Nilikuwa siwez kuconnect na watu kabisa maana nilikuwa emotionally down,
*nilikuwa mwenye aibu sana,
*nilikuwa siwez kufocus kabisa
*nilikuwa class topper nakumbuka(wa kwanza kwenye mitian) nakumbuka nikaanza kushuka
*Nilikuwa sina deep emotions na niwapendao
*mostly nilikuwa naonekana nimechoka
Na mengine mengi ambayo yote sio mazur, watu wengi mnaweza mkasema nilikuwa na shida zako zngne labda ila hilo nalikataa kabisa najua chanzo ni punyeto na pornography.

Story yangu ilibadilika mwaka 2021 nilipojifunZa kuhusu NoFap(no marsturbation) hio ni community ya watu wanao amua kuachana na porno na punyeto, actually kwa mara ya kwanza nilikuwa naona kama ni utani nilipokuwa nasoma faida zake nikajarb na nikamtanguliza Mungu mbele nikaenda Siku 300 Kusema kweli Tangia nakua 2021 ulikuwa my best year faida nilizopata baadhi

*Nilikuwa na ile furaha kama ya utotoni (nilikuw very happy kila mda)

*Nilikuw na will power kubwa atari(nikisema naanzisha kitu au nataka kufanya kitu flani kinakuwa)

*nilikuwa spiritually connected

*Nikiamka naamka na Nguvu kama zote na furaha tere

*Nilikuw very motivated

*Yani inshort life was very amazing no stress na ata zikitokea unazihandle easily

Kwaio wakuu Kutokupiga punyeto ni jambo gumu kwa wengi ila faida zake zipo na ni za kweli nimeziona na ata kwenye njia zetu za mafanikio hizo faida zina play a big impact

(COMMUNITY NI HII APA www.nofap.com)
 
Habari zenu wakuu,,,actually mm historia yangu na punyeto ilianza since nina miaka 12 (darasa la sita) na pornography since nipo grade 2(darasa la pili) ,,,kiufupi nilianza punyeto bila kufundishwa na at first time nilikuwa najiskia raha sana na ikawa mchezo wa almost kila siku,,,asikudanganye mtu punyeto inaweza isiwe na madhara katika maumbile ya nje ila ni ina madhara kwenye akili(mental health) kwa mfano punyeto * ilinifanya niwe mtu ambaye nina huzuni kila saa.

*Nilikuwa siwez kuconnect na watu kabisa maana nilikuwa emotionally down,
*nilikuwa mwenye aibu sana,
*nilikuwa siwez kufocus kabisa
*nilikuwa class topper nakumbuka(wa kwanza kwenye mitian) nakumbuka nikaanza kushuka
*Nilikuwa sina deep emotions na niwapendao
*mostly nilikuwa naonekana nimechoka
Na mengine mengi ambayo yote sio mazur, watu wengi mnaweza mkasema nilikuwa na shida zako zngne labda ila hilo nalikataa kabisa najua chanzo ni punyeto na pornography.

Story yangu ilibadilika mwaka 2021 nilipojifunZa kuhusu NoFap(no marsturbation) hio ni community ya watu wanao amua kuachana na porno na punyeto, actually kwa mara ya kwanza nilikuwa naona kama ni utani nilipokuwa nasoma faida zake nikajarb na nikamtanguliza Mungu mbele nikaenda Siku 300 Kusema kweli Tangia nakua 2021 ulikuwa my best year faida nilizopata baadhi

*Nilikuwa na ile furaha kama ya utotoni (nilikuw very happy kila mda)

*Nilikuw na will power kubwa atari(nikisema naanzisha kitu au nataka kufanya kitu flani kinakuwa)

*nilikuwa spiritually connected

*Nikiamka naamka na Nguvu kama zote na furaha tere

*Nilikuw very motivated

*Yani inshort life was very amazing no stress na ata zikitokea unazihandle easily

Kwaio wakuu Kutokupiga punyeto ni jambo gumu kwa wengi ila faida zake zipo na ni za kweli nimeziona na ata kwenye njia zetu za mafanikio hizo faida zina play a big impact

(COMMUNITY NI HII APA www.nofap.com)
Nataka niwe Kam ww nimeteseka kwa kitambo san
 
Test huu mtambo. Hapo katikati unatia mafuta ya nazi. Ukipiga tako zako kadhaa hapo utamu utakaopata ni zaidi ya kuwa na mwajuma.
IMG_20231127_065013.jpg
 
Nikiwa na miaka 16 niliwahi mshuhudia jamaa yangu fulani akifanya punyeto (Masturbation) akanifundisha jinsi ya kufanya, nilipofanya mwishoni nilisikia raha moja ya ajabu sana, siku iliofuata muda ule ule usiku nikiwa peke yangu nikafanya tena na ndo ikawa mchezo wangu.

Baadaye nikiwa shule boading, pale Moshitech Sec niliwahi kukutana na jarida la FEMA, lilielezea kuwa punyeto/Masturbation kuwa haia madhara yoyote, baada ya kusoma hilo jarida basi niliongeza kasi ya kufanya.

Sasa imefikia mahali nisipo fanya hiyo kitu siwezi kulala, pia nishakuwa kwenye mahusiano sana, Ila ninapokuwa peke yangu huwa nafungua macho navuta picha ya wanawake nilio chapa huku nikifanya Masturbation, hata nikiwa kwenye mizagamuano nakuwa bao la pili nalitafuta kwa kuvuta kumbukumbu ya picha za x na pisi Kali zingine ili nieze pata bao.

Yaani hapa nilipofikia kwisha habari yangu, napambana sana kuacha Ila kila njia nayotafuta kuacha nafeli, wakuu JF nahitaji msaada wenu naachaje Masturbation.
Hiikitu tamu sana,nilianza kupiga toka sekondari,nilikuwa nikiwa prep nilikuwa naenda mstuni kwenye giza napiga.Wakati niko chuo nilikuwa napigia ukutani hadi ukajaa madoadoa.Baadaye nikapunguza ila huwa napiga piga nikikumbuka.Usiache mkuu
 
Back
Top Bottom