Mchezo wa mia kwa mia (100/100)

Mchezo wa mia kwa mia (100/100)

Pdyd sio hivyo banaaa ukikuta kama ni mimi nimeweka 76 we unajumlisha moja inakua 77 halaf hairuhusiwi uandike mara mbili unaandika mara moja unasubiri anaandika mwingine nawe ndio unaandikaaa
 
80....!!!no zote hizo lazima niwe diamond....kabla ya usiki
 
Pdyd sio hivyo banaaa ukikuta kama ni mimi nimeweka 76 we unajumlisha moja inakua 77 halaf hairuhusiwi uandike mara mbili unaandika mara moja unasubiri anaandika mwingine nawe ndio unaandikaaa

Kwani ameingia kucheza bila kupitia instruction mwanzoni mwa thread?
 
Pdyd soma maelekezo,yaan namba ukiikuta we mwanaume unajumlisha moja unaandika,sie wanawake tukiikuta namba ya mwanaume tinapunguza moja
 
Back
Top Bottom