Mchezo wa draft

Mchezo wa draft

Saivi kuna dogo ni sheeda anaitwa DOGO YASINI na mwingine ni mwanafunzi wa MANGWELELE anaitwa MAMBA ,hawa wameshindikana.Kina BEDUI wameisha ,kina NOEL bado wanajua jua.Kuna dogo wakuitwa MGAPE nae ni mwizi mwiz aisee,kaja kijiweni kasema tufungane kumbe yeye fundi ilitakiwa atupe sare mbili.Badface nae yupo nondo

Juma mchafu kafa mwaka jana.Alikuwa noma kwa miguu ya pembeni huyu.Ila habari ya mjini ni MAMBA (hapa RONALDO KAFA 1 BILA)

Ukitaka kuwafaidi hao nenda KINONDONI MKWAJUNI au TANDIKA Mwembe Yanga.
 
Mkuu kuna MTU anaitwa Bedui kutoka Temeke alikuwa nuksi sana. Kagaragaza sana Keko, Temeke n.k, unamjua?
BEDUI namjua vizuri ,saivi kawa mzee na anavuta sana sigara kiasi kwamba ukizungumza nae ni mimoshi tu unaisikia hata kama hajavuta toka asubuhi.Alikuwa mwalimu wangu huyo Kigogo ya PUGU huko.Juzi nilikuwa nae Chanika Kwa zoo siku mbili.
 
Mangwelele alifuka 2-0 kwa noel hakuamini macho yake mbele za watu
 
Mangwelele alikufa 2-0 kwa noel hakuamini macho yake mbele za watu
 
Kwenye lile game la kwenye PC wale wasichana wengine unawafunguaje ili ucheze nao mbna wanakubali kucheza wawili wa mwanzo
Ntapata wapi hili gemu..nililicheza sana zamani hizo..nimelikumbuka.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom