Mchezaji kutokea Colombia anayetarajiwa kusajiliwa na Simba ni Galasa wa kutupa

Malaika wa Misukosuko

JF-Expert Member
Jul 16, 2021
1,603
4,762
Habari Wakuu,

nimeona nisiwe mnafiki kuwahabarisha mapema juu ya ujio wa huyu Miquissone mwingne aliyechangamka asije mkasema ohhh wana JF nyie ni watafiti mmeshindwa kufatilia Data za huyu mtu mkatuambia mapema tusiweke tumaini hewa juu ya huyu mtu.

Hii "Colombia invasion" itakuja kumuingiza mtu mkenge maana Baad ya kupata tetesi za usajili wa huyu mchezaji anayechezea klabu ya comerciantes Ligue 2, ikabidi niingie Chimbo kutafuta data za huyu mtu maan dunia ni kama kijiji.....La haula nilichokutana nacho kinasikitisha pamoja na kukera kwa pamoja,

Huyo mchezaji ni ana historia mbaya kwenye career yake sijapata ona, kwanza tangu kaanza kucheza mpira katika maisha yake mnamo mwaka 2016 mpaka leo hii 2023 ana idadi ya magoli 10 tu, Ndiyo hujasoma vibaya ni (Magoli 10) tu, cha kusikitisha zaidi huyu mtu ni straika.

Na cha kusikitisha zaidi Mwaka huu 2023 kacheza jumla ya mechi 22 Ila ana magoli 2 pekee Assist 0, ila cha kustajabisha zaidi Mchezaji huyu ana Kadi za njano Tatu mwaka huu ambazo ni nyingi kuliko idadi yake ya magoli.,

Kiufupi hakuna mchezqji hapo labda atakuja kubadilika kwenye ligi letu ila kiufupi tusijiwekee matumani makubwa endapo mchezaji huyu akisajiliwa Simba, Mimi ni shabiki wa Simba ila huu uhuni umeniumiza sana

Kuhusu yule mchezaji wa Colombia Franklin cannavaro aliyesajiliwa na Azam huyo yeye ndo nimetafuta Data zake hadi simu ilikuwa imejaa chaji mia mpaka ikaisha ila sijaziona.

Chini ni Picha za rekodi kuhusu Mchezaji anayetarajiwa kusajiliwa na Simba.


images.jpeg
Screenshot_20231229-025452.png
IMG_20231229_030912_886.jpg
vv
IMG_20231229_031021_727.jpg
 
Habari Wakuu,

nimeona nisiwe mnafiki kuwahabarisha mapema juu ya ujio wa huyu Miquissone mwingne aliyechangamka asije mkasema ohhh wana JF nyie ni watafiti mmeshindwa kufatilia Data za huyu mtu mkatuambia mapema tusiweke tumaini hewa juu ya huyu mtu.

Hii "Colombia invasion" itakuja kumuingiza mtu mkenge maana Baad ya kupata tetesi za usajili wa huyu mchezaji anayechezea klabu ya comerciantes Ligue 2, ikabidi niingie Chimbo kutafuta data za huyu mtu maan dunia ni kama kijiji.....La haula nilichokutana nacho kinasikitisha pamoja na kukera kwa pamoja,

Huyo mchezaji ni ana historia mbaya kwenye career yake sijapata ona, kwanza tangu kaanza kucheza mpira katika maisha yake mnamo mwaka 2016 mpaka leo hii 2023 ana idadi ya magoli 10 tu, Ndiyo hujasoma vibaya ni (Magoli 10) tu, cha kusikitisha zaidi huyu mtu ni straika.

Na cha kusikitisha zaidi Mwaka huu 2023 kacheza jumla ya mechi 22 Ila ana magoli 2 pekee Assist 0, ila cha kustajabisha zaidi Mchezaji huyu ana Kadi za njano Tatu mwaka huu ambazo ni nyingi kuliko idadi yake ya magoli.,

Kiufupi hakuna mchezqji hapo labda atakuja kubadilika kwenye ligi letu ila kiufupi tusijiwekee matumani makubwa endapo mchezaji huyu akisajiliwa Simba, Mimi ni shabiki wa Simba ila huu uhuni umeniumiza sana

Kuhusu yule mchezaji wa Colombia Franklin cannavaro aliyesajiliwa na Azam huyo yeye ndo nimetafuta Data zake hadi simu ilikuwa imejaa chaji mia mpaka ikaisha ila sijaziona.

Chini ni Picha za rekodi kuhusu Mchezaji anayetarajiwa kusajiliwa na Simba.


View attachment 2856398View attachment 2856401View attachment 2856402vvView attachment 2856404
Lakini si hajui Kiswahili na anatoka kwa akina Barbara? Hayo mengine si muhimu sana, atajifunzia hapahapa tu ili mradi asiwe anakosa au kuchelewa mazoezini.
 
Hii Nchi Kila eneo Kuna wahuni, Yaani kweli ukamlete mchezaji wa ligi ya daraja la kwanza kutoka Colombia, Chile. Peru n.k anaye cheza kama winga au mshambuliaji Tangu 2016 mpaka Leo 2023 anagoli 10 aje alete mabadiliko kwenye timu Yako apa Tanzania?
Ata kama mmewaona mashabiki wenu ni ma mbumbumbu lakini si kwa level hizo jamani.
Awa mbumbumbu ni WA Tanzania wenzetu msi wanyanyase kwa kiwango mnachotaka kuwafanyia.
Mpira ni sehemu ya furaha Yao katika maisha
Hii aina tofauti na mkataba wa kufua umeme wa Richmond
 
Habari Wakuu,

nimeona nisiwe mnafiki kuwahabarisha mapema juu ya ujio wa huyu Miquissone mwingne aliyechangamka asije mkasema ohhh wana JF nyie ni watafiti mmeshindwa kufatilia Data za huyu mtu mkatuambia mapema tusiweke tumaini hewa juu ya huyu mtu.

Hii "Colombia invasion" itakuja kumuingiza mtu mkenge maana Baad ya kupata tetesi za usajili wa huyu mchezaji anayechezea klabu ya comerciantes Ligue 2, ikabidi niingie Chimbo kutafuta data za huyu mtu maan dunia ni kama kijiji.....La haula nilichokutana nacho kinasikitisha pamoja na kukera kwa pamoja,

Huyo mchezaji ni ana historia mbaya kwenye career yake sijapata ona, kwanza tangu kaanza kucheza mpira katika maisha yake mnamo mwaka 2016 mpaka leo hii 2023 ana idadi ya magoli 10 tu, Ndiyo hujasoma vibaya ni (Magoli 10) tu, cha kusikitisha zaidi huyu mtu ni straika.

Na cha kusikitisha zaidi Mwaka huu 2023 kacheza jumla ya mechi 22 Ila ana magoli 2 pekee Assist 0, ila cha kustajabisha zaidi Mchezaji huyu ana Kadi za njano Tatu mwaka huu ambazo ni nyingi kuliko idadi yake ya magoli.,

Kiufupi hakuna mchezqji hapo labda atakuja kubadilika kwenye ligi letu ila kiufupi tusijiwekee matumani makubwa endapo mchezaji huyu akisajiliwa Simba, Mimi ni shabiki wa Simba ila huu uhuni umeniumiza sana

Kuhusu yule mchezaji wa Colombia Franklin cannavaro aliyesajiliwa na Azam huyo yeye ndo nimetafuta Data zake hadi simu ilikuwa imejaa chaji mia mpaka ikaisha ila sijaziona.

Chini ni Picha za rekodi kuhusu Mchezaji anayetarajiwa kusajiliwa na Simba.


View attachment 2856398View attachment 2856401View attachment 2856402vvView attachment 2856404
Achana nayo ayo mambumbumbu, apo Kuna 10% ya viongozi wakija kuuvunja mkataba wake wajanja Tena watachota mpunga mwingine mungu akupe Nini na pesa za bwelele zipo ukoloni!!!
 
Kila siku tunawaambia Viongozi wa Simba ni sikio la kufa.Mchezaji umtoe Colombia alafu Bado CV yake mbovu kisa nini?kama siyo mwendelezo wa kile kinachosemekana 10%.Mbona Kwa majirani zetu Congo hapo kuna vipaji vya soka vingi sana wangeenda kumtafuta huko wangepata wachezaji wazuri ambao wanajuwa mpira wa Africa.
Hamalizi msimu huyo watatimua.
 
Aliyekwambia kasajiliwa ni nani?, nani kasema huyo mchezaji ni striker?, twambie ulimshuhudia lini akicheza. Nikienda wikipedia nkamuongezea au kupunguza takwimu zake utasemaje?
 
Aliyekwambia kasajiliwa ni nani?, nani kasema huyo mchezaji ni striker?, twambie ulimshuhudia lini akicheza. Nikienda wikipedia nkamuongezea au kupunguza takwimu zake utasemaje?
Saivi kuna group limeundwa kutukuza upande mmoja na kufubaisha upande wa pili, hii ni hatari kubwa sana kwa maslahi ya mpira wa nchi yetu, sijui ni lini tutakubali hizi timu mbili zifanikiwe kwa pamoja, watu wanapambana mmoja ashuke mungine apande, inatia hasira kwakweli, watu wamekuwa wajinga hadi sio poa

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Saivi kuna group limeundwa kutukuza upande mmoja na kufubaisha upande wa pili, hii ni hatari kubwa sana kwa maslahi ya mpira wa nchi yetu, sijui ni lini tutakubali hizi timu mbili zifanikiwe kwa pamoja, watu wanapambana mmoja ashuke mungine apande, inatia hasira kwakweli, watu wamekuwa wajinga hadi sio poa

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Uzuri uongo haudumu
 
Aliyekwambia kasajiliwa ni nani?, nani kasema huyo mchezaji ni striker?, twambie ulimshuhudia lini akicheza. Nikienda wikipedia nkamuongezea au kupunguza takwimu zake utasemaje?
Ni kweli bado hajasajiliwa ila Simba wametuma ofa ya kumnunua mazungumzo bado yanaendelea kwa pande zote mbili,

Kuhus kwamba sio striker, basi tunakuomba ulete ushahidi wako wa kuonyesha nafasi sahihi ya huyo mchezaji, maan mm nmeweka ushahidi wa Source ya kuaminika kabsa ya Wikipedia na wew leta yako.

Umesema kuhus kuingia Wikipedia na kumuongezea au kumpunguzia takwimu basi jaribu kufanya hivyo kam ni rahisi kias hicho, na kingne ni mtanzania gani aatanza kuhangaika kufeki data za Mchezaji wa Ligi daraja la pili la huko Peru ?

Ukiangalia hizo data za Wikipedia inaonyesha mwisho wa Kuwekwa ilikuwa July mwaka huu kipindi hicho hata Tetesi za kusajiliwa kwake hazikuwepo na hata Simba yenyewe ilikuwa haijatuma ofa yoyote kwake.
 
Kila siku tunawaambia Viongozi wa Simba ni sikio la kufa.Mchezaji umtoe Colombia alafu Bado CV yake mbovu kisa nini?kama siyo mwendelezo wa kile kinachosemekana 10%.Mbona Kwa majirani zetu Congo hapo kuna vipaji vya soka vingi sana wangeenda kumtafuta huko wangepata wachezaji wazuri ambao wanajuwa mpira wa Africa.
Hamalizi msimu huyo watatimua
Alafu eti wanataka kuwa Giants wa Africa ?? Kwa usajili wa hovyo namna hii ambao hata Tabora united hawawez kuufanya
 
Back
Top Bottom