Mchepuko wangu aliyeolewa kanipigia simu

Mchepuko wangu aliyeolewa kanipigia simu

Number yako anayo na anakupendaga sana...
ngoja nimwanbie akusalimie...
Atakutumia zawadi nyingi tu...
Weee hebu afanye kunicall haraka basiii!!

Nasubiria zawadi hapa ๐Ÿ™‡๐Ÿ™‡๐Ÿ™‡๐Ÿ˜
 
Weee hebu afanye kunicall haraka basiii!!

Nasubiria zawadi hapa ๐Ÿ™‡๐Ÿ™‡๐Ÿ™‡๐Ÿ˜
Hahaha ila ukimuita mpigane hata bila sababu anakuja na mnapigana vizuri mpaka akili ziwwakae sawa...
Hahaha
 
Hahaha ila ukimuita mpigane hata bila sababu anakuja na mnapigana vizuri mpaka akili ziwwakae sawa...
Hahaha
Navenye anajifanyaga anakudiss kumbe kwako hachomoi mmxxxxxeeeewwww๐Ÿ˜๐Ÿ˜!
 
Navenye anajifanyaga anakudiss kumbe kwako hachomoi mmxxxxxeeeewwww๐Ÿ˜๐Ÿ˜!
Kumbe humjui... Hayupo hata JF... Nitamwambia akupigie simu, ila usimchokoze akili zake anazijua mwenyewe...
 
Duu!! Huyo humjui kabisa, hata hujawahi kumsikia...
Hahaha ila yeye anakujua vizuri...
Weee alikupea mastaili aje mpaka ukamwagika kunihusu๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom