Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,305
I mean yule muda wote ukimwitaji is there for you ๐๐๐๐Mbona sinaga ex... Bado sijazika mtu...
I mean yule muda wote ukimwitaji is there for you ๐๐๐๐Mbona sinaga ex... Bado sijazika mtu...
Number yako anayo na anakupendaga sana...I mean yule muda wote ukimwitaji is there for you ๐๐๐๐
Weee hebu afanye kunicall haraka basiii!!Number yako anayo na anakupendaga sana...
ngoja nimwanbie akusalimie...
Atakutumia zawadi nyingi tu...
Hahaha ila ukimuita mpigane hata bila sababu anakuja na mnapigana vizuri mpaka akili ziwwakae sawa...Weee hebu afanye kunicall haraka basiii!!
Nasubiria zawadi hapa ๐๐๐๐
Navenye anajifanyaga anakudiss kumbe kwako hachomoi mmxxxxxeeeewwww๐๐!Hahaha ila ukimuita mpigane hata bila sababu anakuja na mnapigana vizuri mpaka akili ziwwakae sawa...
Hahaha
Kumbe humjui... Hayupo hata JF... Nitamwambia akupigie simu, ila usimchokoze akili zake anazijua mwenyewe...Navenye anajifanyaga anakudiss kumbe kwako hachomoi mmxxxxxeeeewwww๐๐!
Namjua Vizuri weee!Kumbe humjui... Hayupo hata JF... Nitamwambia akupigie simu, ila usimchokoze akili zake anazijua mwenyewe...
Humjui mpaka atakapokupigia simu...Namjua Vizuri weee!
Namjuaaaaa! Hakuna kitu Yako nisoifahamu ujue!!Humjui mpaka atakapokupigia simu...
Unachowaza sicho...
Na najua unawaza nini, uje nikuombee usiku kucha...
Duu!! Huyo humjui kabisa, hata hujawahi kumsikia...Namjuaaaaa! Hakuna kitu Yako nisoifahamu ujue!!
Weee alikupea mastaili aje mpaka ukamwagika kunihusu๐ค๐ค๐ค๐๐๐๐Duu!! Huyo humjui kabisa, hata hujawahi kumsikia...
Hahaha ila yeye anakujua vizuri...
Dah!! Dada yako hajambo kwanza...Weee alikupea mastaili aje mpaka ukamwagika kunihusu๐ค๐ค๐ค๐๐๐๐
Kataa ndoa wanacheeekaaaa
Mpaka mda huu wanaongoza 7 bila magoli yote ya penalty
Mwamuzi tatu malogo