Sheffer95
JF-Expert Member
- Mar 16, 2020
- 277
- 785
Nadhani Tanzania ndio nchi inayoongoza kwa matapeli wengi wa mapenzi duniani, huwezi amini mchepuko wangu aliamua kwenda kuolewa na jamaa eti kisa mimi nina familia na nilimwambia siwezi kumuoa
Ananipigia simu analia sana kwamba kumbe huyu mmewe mpya ana watoto wa 4 kwa wanawake wa 4 tofauti. Sasa toka wamejua jamaa kaoa basi ni balaa tu wanampigia simu na kumtukana. Ingawa kabla ya kuoa jamaa alisema hana mke wala watoto.
Halaaa wacha iwake🔥🔥🔥🔥
Mimi kama Chama tu, nasubiri mipira iliyokufa niifufue🔥🔥🔥🔥🍌🍌
Ananipigia simu analia sana kwamba kumbe huyu mmewe mpya ana watoto wa 4 kwa wanawake wa 4 tofauti. Sasa toka wamejua jamaa kaoa basi ni balaa tu wanampigia simu na kumtukana. Ingawa kabla ya kuoa jamaa alisema hana mke wala watoto.
Halaaa wacha iwake🔥🔥🔥🔥
Mimi kama Chama tu, nasubiri mipira iliyokufa niifufue🔥🔥🔥🔥🍌🍌