Sun Wukong
JF-Expert Member
- Jul 30, 2022
- 1,152
- 2,299
Stupid
Uliomfanya nini huyo niceone ?Ilisha nitokeaga pisi moja ivi kanisani ilikiwa inaimba kwaya mm najifunza keyboard, sasa nikachukua namba yake tukawa tunachati kiaina baada ya week kama mbili siku iyo natafuta namba yake si ioni maana alikuwa anashika simu yangu akitaka(smart yy ana kitochi 2015 iyo), kumbe alifuta jina nilo msave mm yeye akajisave Utamu wangu😂, niligundua hilo baada ya kwenda mazoezini nikamuuliza kwa hiyo umeamua kufuta namba yako sio akajibu sijafuta ipo tu we itafute Nikajuta iyo Utamu wangu, mtoto alikuwa anaitwa NICE, mi nilikuwa na muita NICEONE😋 Ni wa kigoma asee story yake ni ndefu nimekumbuka lakin niishie hapa.. popote ulipo niceone😘
DC Nikki wa Pili wa Kisarawe sasa yupo Kibaha,DC leo sina muda wa kukujibuebu achana na mimi nimesema wenye sonona za kubambikiwa watoto msilete kwato zenu mbona huelewi?!!
MJE MTOE USHAHULINani mwingine kaona USHAHULI?
Hatari na Robo kiborinangai Nikki wa Pili huyo ?Kisarawe kwa wazaramo wamemuharibu anachambana adi na kina dada siku hizi, ugumu umeisha ata nyimbo naona atahamia kwenye taarabu
Kumany*ko zangu hii si story nlishaisoma sehemu umetushika


Njoon mnifariji Basi jamani au mniambie nawezaje kuishi nae na maumbile hayouzi mwingine huo mkuuUliomfanya nini huyo niceone ?