kayuguyugu
Member
- Oct 30, 2013
- 30
- 30
Ndugu wanajamii naomba ushauri kuhusu mchepuko na mama watoto wangu,ninapo kuwa na mchepuko kitu kinasimama ile mbaya lakini nanapokutana na mama watoto napata hamu kabisa ya tendo na kitu kinasimama kweli punde nanapotaka kupanda na kuchomeka kitu ndani basi hupoteza nguvu.
Kipindi chote cha kufanya maromance huwa na kuwa katika hali nzuri ila nikijaribu nipande ngamia basi naishia njiani,najiuliza maswali mengi bila majibu,usiombe hali hii ikutokee jmani ni hatari sana huku mwenzakoo mzuka umeisha panda anasuburi umtimizie kisha mambo hayaendi sawa,hakuelewi kabisa naombeni ushauri nifanye nini niepukane na aibu hii.
Kipindi chote cha kufanya maromance huwa na kuwa katika hali nzuri ila nikijaribu nipande ngamia basi naishia njiani,najiuliza maswali mengi bila majibu,usiombe hali hii ikutokee jmani ni hatari sana huku mwenzakoo mzuka umeisha panda anasuburi umtimizie kisha mambo hayaendi sawa,hakuelewi kabisa naombeni ushauri nifanye nini niepukane na aibu hii.
