Mchepuko sawa, lakini nyumbani patupu

Mchepuko sawa, lakini nyumbani patupu

Tatizo umefunga mashine mpya lazima uhisi ile ya zamani haisagi vzr. pia tatizo umependa, umeoza mpaka umenuka kwa huo mchepuko hadin umejiloga kisaikolojia. Pia hapo lazima tu kuna mabo ambayo mkeo hana ila umeyakuta kwa mchepuko. Mwisho mkeo anajiamini kuwa yeye ndiye hakuna mwingine ila yeye ndo maana kabweteka hakupi maufundi wakati mchepuko unataka kuchukua maujiko na kukumeza jumla wewe ndo maana unakupa maufundi. achana mchepuko komaa na mkeo, ikibi mchane oyaa vipi mbona slooow sana mwambie aongeze mwendo barabara kuu ataovatekiwa atajirekebisha mashine itacmama kama kawa.
 
Ndugu wanajamii naomba ushauri kuhusu mchepuko na mama watoto wangu,ninapo kuwa na mchepuko kitu kinasimama ile mbaya lakini nanapokutana na mama watoto napata hamu kabisa ya tendo na kitu kinasimama kweli punde nanapotaka kupanda na kuchomeka kitu ndani basi hupoteza nguvu.

Kipindi chote cha kufanya maromance huwa na kuwa katika hali nzuri ila nikijaribu nipande ngamia basi naishia njiani,najiuliza maswali mengi bila majibu,usiombe hali hii ikutokee jmani ni hatari sana huku mwenzakoo mzuka umeisha panda anasuburi umtimizie kisha mambo hayaendi sawa,hakuelewi kabisa naombeni ushauri nifanye nini niepukane na aibu hii.
mwache mkeo muoe mchepuko .....pumbavu!
 
Mchepuko umefanya yake pole mkuu ungetulia na mkeo yasingekukuta yote hayo
 
Back
Top Bottom