cute datty
JF-Expert Member
- Jul 11, 2014
- 582
- 277
Alaaaa Hivi wanaume nao wanachezewaga kumbeeeee!!!?wewe kila anayekufanya anakuowa?!!
kuna wakati mwingine se ni kwa ajili ya starehe tu, watu mmetongozana kustareheshana, hamjaambiana mambo ya kuowana lakini jitu linajirengesha mimba ili mwanaume asiwe na pakutokea, hapo unakuwa unamlaghai na kumchezea mwanaume!
Hapa hakuna cha dilema wala nini,kwa sababu huyo mwenye ujauzito hata akilazimisha kuolewa ni wazi kuna mwingine anayependwa zaidi yake,we hii unaichukuliaje kama kweli ni mdada unaejielewa? Hivi baadae ikiwa ni visa na mikasa mpaka kuachana kuna kusema ningejua tena? Mimi hii nisingewaza sana bali kusimamia uamzi wangu. Harafu kuanza upya muda mwingine si ujinga.
jamaa ana mpenzi wake wa long time kitambo. msichana alikuwa nje ya nchi kimasomo mawasiliano na maelewano kama kawaida(kiufupi wanapenda sana). walipanga mchumba akimaliza wafunge ndoa. mchumba amerudi ndoa tarehe 28/9.
wakati mchumba yupo masomoni jamaa akaona si mbaya kutafuta wa kuzugia(mchepuko). mpaka sasa mchepuko anadai ana mimba ya jamaa na anasisitiza kuwa ndoa haitafungwa na hata ikifungwa hawataishi pamoja atamuua jamaa.
jamaa analia kama dame hajui afanye nini anaona kama mchepuko anaingilia mapenzi yake hivi.
me kama rafiki nimeshindwa kumshauri ila nikaona si mbaya kuwashirikisha wana MMU tumsaidie ushauri kijana wenzetu afanye nini?
kwani walikubaliana nini wakati wanaanza kuchezeana ....
Tatizo huyo me hakuwa mkweli toka mwanzo,Inaelekea alikuwa anauambia mchepuko 'ur the only one" Mara ooh "we ndo Ke wa maisha yng" sasa mdada kwa nini asilengeshe maana anajua huyu ndo hubby to be.
Mwenzangu huyo kalikoroga alinywe tu.
dailema ipo. kama wewe mwanaume bado umebakiwa na ubinadamu lazima hisia za kusaliti wanawake wawili, na hatma ya mtoto wako zitakuandama, na uamuzi wowote utakaochukua utawaathiri wanawake wote wawili na mtoto wako na wewe mwenyewe. ni jambo zito, linahitaji muda kufanya maamuzi sahihi kwenye jambo bovu.
kama dada ninayejielewa ni lazima nikuonyeshe kuwa mambo si rahisi, mimi pia ni mwanamke na nafaa kuolewa na wewe ndo maana uliweza kuwa na mimi kwa miaka 3 ukiniambia huna mwingine zaidi yangu. kama uliweza kunivumilia miaka 3 hutashindwa kunivumilia milele. tukae tulee watoto, huyo wa ulaya atatafuta mwingine. halafu kwa kuwa ulitaka unisapraiz na pete ya ndoa kidoleni basi nami ndo hivi nakusapraiz. halafu huyo anayependwa nae akijua kasalitiwa na kuna mtoto njiani sidhani kama atabaki yule yule. ndoa inaweza kufilia mbali, wa kukosa mwana na maji ya moto akose.
Alaaaa Hivi wanaume nao wanachezewaga kumbeeeee!!!?
Hao wote sio wake zako so hapo hakuna mchepuko.
Halafu wewe wa wapi?? Mbona siku hizi watu wanasema live nina mke, mume, mchumba etc kama uko radhi mnalisongesha huku ukijua tena wengine wanapokuwa wote labda wife, husband etc akipiga anasema mume wangu huyo usiongee ngoja nipokee simu??
Wewe ndo umeyataka mwenyewe kwanini ulumficha toka mwanzo
Dilema nawakati ameshafanya uamzi wa upande wa pili? Anyway mi kwangu suala la roho ya ubinadamu au sijui nini hiyo ni too probable,hata kulea mtoto ni ubinadamu pia kuliko kukosa furaha. Afu hapa mi sioni ugumu kwa maana anae amua ni mkaka ndo maana nikasema ni suala la kusimamia maamuzi baasi,kama angekuwa haja amua ningekuunga mkono.dailema ipo. kama wewe mwanaume bado umebakiwa na ubinadamu lazima hisia za kusaliti wanawake wawili, na hatma ya mtoto wako zitakuandama, na uamuzi wowote utakaochukua utawaathiri wanawake wote wawili na mtoto wako na wewe mwenyewe. ni jambo zito, linahitaji muda kufanya maamuzi sahihi kwenye jambo bovu. kama dada ninayejielewa ni lazima nikuonyeshe kuwa mambo si rahisi, mimi pia ni mwanamke na nafaa kuolewa na wewe ndo maana uliweza kuwa na mimi kwa miaka 3 ukiniambia huna mwingine zaidi yangu. kama uliweza kunivumilia miaka 3 hutashindwa kunivumilia milele. tukae tulee watoto, huyo wa ulaya atatafuta mwingine. halafu kwa kuwa ulitaka unisapraiz na pete ya ndoa kidoleni basi nami ndo hivi nakusapraiz. halafu huyo anayependwa nae akijua kasalitiwa na kuna mtoto njiani sidhani kama atabaki yule yule. ndoa inaweza kufilia mbali, wa kukosa mwana na maji ya moto akose.
dailema ipo. kama wewe mwanaume bado umebakiwa na ubinadamu lazima hisia za kusaliti wanawake wawili, na hatma ya mtoto wako zitakuandama, na uamuzi wowote utakaochukua utawaathiri wanawake wote wawili na mtoto wako na wewe mwenyewe. ni jambo zito, linahitaji muda kufanya maamuzi sahihi kwenye jambo bovu.
kama dada ninayejielewa ni lazima nikuonyeshe kuwa mambo si rahisi, mimi pia ni mwanamke na nafaa kuolewa na wewe ndo maana uliweza kuwa na mimi kwa miaka 3 ukiniambia huna mwingine zaidi yangu. kama uliweza kunivumilia miaka 3 hutashindwa kunivumilia milele. tukae tulee watoto, huyo wa ulaya atatafuta mwingine. halafu kwa kuwa ulitaka unisapraiz na pete ya ndoa kidoleni basi nami ndo hivi nakusapraiz. halafu huyo anayependwa nae akijua kasalitiwa na kuna mtoto njiani sidhani kama atabaki yule yule. ndoa inaweza kufilia mbali, wa kukosa mwana na maji ya moto akose.
Kwangu kwa maelezo yako hadi hapo sioni nani ni mchepuko na nani ni njia kuu. Wote walikua marafiki/wachumba hakuna aliyeolewa na si ajabu huyo unayemwita mchepuko hata hakujua habari ya huyo mdada mwingine aliyekua masomoni.
Kila jambo huwa lina jibu lake, huwei kufanya jambo usipate matokeo yake, haiwezekani na hiyo ni universal law!
Rafiki yako lazima afanye maamuzi anamuoa nani kati ya hao, anawafaham wote na anajua anampenda nani, japo kama kweli huyo mnayemwita mchepuko anaujauzito wake na kulikua na mpango wa kuoana leo unamwacha kwa sababu zisizo na msingi, haitapendeza.
Mwambie aangalie movie moja inaitwaThe Match Point
swali zuri sana..
kama aliweka bayana kwamba yy ana gal wake af mchepuko akakubali basi anaweza endelea na taratibu zake.. otherwise na yy jamaa ni mpuuzi sana na akome kwa yanayomkuta.. haya ndiyo hufanyaga watu kuuwana kisa mapenzi... kuweni bayana wanaume.. sema openly kwa dem unataka nn na yy... kwani huyo dem ana roho ya chuma hasikii wivu umdanganye ol tht time af unakuja unajisemesha et naoa mpenzi wang nampenda..nyooo! tena uku unakula bila ndom...
Kuna wengine wananogewa....anakataa katakata kukuacha..as long as hujaolewa anasema kitaeleweka tu...lol...
Nyiny mbona hamjifunz kutuliza papuch zenu??...Mnayataka wenyewe kisha mnaanza kulalama
Alaaaa Hivi wanaume nao wanachezewaga kumbeeeee!!!?