joshydama
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,623
- 5,049
Unaongea kwa hisia sana Mkuu.mkuu ukweli ndiyo huu japo nitaonekana kama natetea maovu.. wanaume wengi wakioa yani zili ashki ashki zinaisha sijui wanahisi wanawake wanapata monopose baada ya ndoa mi sielewi..lakini wangefanya kautafiti mwanamke anapata raha zaidi wakati gani? mi nijuavyo wakati wa ashki ina raha yake jamani kabla ya dushe,,, sasa humo ndai mume kafika zaidi ya kunyonyana ndimi hakuna kingine aisee.. unakuta ananyonya ndimi akijiongeza sana kashika titi na ushikaji wake kama anakanda mandazi teh.... sasa hapo napata kijana huko kwanza mzigo anauomba kwa maneno matamu matamu halafu unampa cha wizi acha tu
Kumbe unapenda mtekenyo mtekenyo kabla ya la naniliu eeh?
Hakika sitofanya makosa tena.
Kilio chako nimekisikia.