Comi
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 3,328
- 958
Njoo mkuu .. lakini si kila anaweza kuiba
Sawa naja
Njoo mkuu .. lakini si kila anaweza kuiba
Strictly business! No more romantic words!daha hatari aiseee ,.. kuoa si hoja hoja mnatupa mapenzi baada ya ndoa au mnafikiria tukiolewa hisia zinakufa na hatuitaji mtekenyo mtekenyo nikiwa na maana hiii kuombwa mzigo kimahaba mahaba .. kunitumia sms za mapenzi .. sasa uunakuta mtu na mumewe sms ikiingia ni maagizo tu hakuna mahabati

nilivoisoma hii nimeelewa kuwa wewe mtoa mada ndio umekutwa na huu mkasa


Bila shakaHa ha haaaaa.... ngoja housegirl wako ndo aanze kuenjoy penzi la mumeo kwa wizi wizi... by the way kumbe na nyinyi hua mnaenjoy sana kugegedwa? sasa mbona pozi zinakuaga nyingi?mkuu ukweli ndiyo huu japo nitaonekana kama natetea maovu.. wanaume wengi wakioa yani zili ashki ashki zinaisha sijui wanahisi wanawake wanapata monopose baada ya ndoa mi sielewi..lakini wangefanya kautafiti mwanamke anapata raha zaidi wakati gani? mi nijuavyo wakati wa ashki ina raha yake jamani kabla ya dushe,,, sasa humo ndai mume kafika zaidi ya kunyonyana ndimi hakuna kingine aisee.. unakuta ananyonya ndimi akijiongeza sana kashika titi na ushikaji wake kama anakanda mandazi teh.... sasa hapo napata kijana huko kwanza mzigo anauomba kwa maneno matamu matamu halafu unampa cha wizi acha tu
HahahahahaMke wa Mtu n mtamu sana Tena awe kibonge
haya miss chaga vpi hii nayo n kweli au? Maana ww ni kama admin kwenye huu uzi.That why we chepukaStrictly business! No more romantic words!
Hahahaaaaa......![]()
![]()
![]()
pozi ndiyo ashki ashkiHa ha haaaaa.... ngoja housegirl wako ndo aanze kuenjoy penzi la mumeo kwa wizi wizi... by the way kumbe na nyinyi hua mnaenjoy sana kugegedwa? sasa mbona pozi zinakuaga nyingi?
Sichepuki miss, mahaba yangu ni kama yanazaliwa upya kila siku!That why we chepuka
Ha ha haaaa.. so pozi ila kimoyo moyo ila unataka?pozi ndiyo ashki ashki
nataka mtekenyo uhuuu ashiiiiHa ha haaaa.. so pozi ila kimoyo moyo ila unataka?
mkuu hongera aisee safi sana .. ila kuna wakati mnapishana huwa mnafanyaje ?Sichepuki miss, mahaba yangu ni kama yanazaliwa upya kila siku!
Mke wangu ni mpenzi na rafiki yangu. So sio rahisi hisia zetu kufa natural death!
Kupishana kupo, na vishawishi vipo. Lakini najitahidi kuushinda moyo!mkuu hongera aisee safi sana .. ila kuna wakati mnapishana huwa mnafanyaje ?
hongera mkuuKupishana kupo, na vishawishi vipo. Lakini najitahidi kuushinda moyo!
Ahsante sana!hongera mkuu
sawa mkuuAhsante sana!
Na wewe jitahidi kuwa muaminifu kwa mwenzi wako!
umalaya?naombeni kuuliza wanawake una mume ndani unagegedwa kila siku hivi mechi zingine za mchangani kama hizi ni za nini ?
ukame ,umalaya au ni nini?
hahaha miss chagga umenifurahisha kwahy ww ashki zako zipo kwenye fweza sio?hapana mwenzio napewa pesa napewa ashki na nina enjoy,, sema anajua akininyima pesa naweza mcheat
ndiyo mkuuhahaha miss chagga umenifurahisha kwahy ww ashki zako zipo kwenye fweza sio?