Mchepuko almanusra udakwe bafuni

Mchepuko almanusra udakwe bafuni

Lkn tunakoelekea nina uhakika kama mamb yataendelea hv kuoa itakua hain maaana maaana ukioa wanakulia ,na hpo we unatunza xx kunaumuhim gan was kutunza
 
mkuu ukweli ndiyo huu japo nitaonekana kama natetea maovu.. wanaume wengi wakioa yani zili ashki ashki zinaisha sijui wanahisi wanawake wanapata monopose baada ya ndoa mi sielewi..lakini wangefanya kautafiti mwanamke anapata raha zaidi wakati gani? mi nijuavyo wakati wa ashki ina raha yake jamani kabla ya dushe,,, sasa humo ndai mume kafika zaidi ya kunyonyana ndimi hakuna kingine aisee.. unakuta ananyonya ndimi akijiongeza sana kashika titi na ushikaji wake kama anakanda mandazi teh.... sasa hapo napata kijana huko kwanza mzigo anauomba kwa maneno matamu matamu halafu unampa cha wizi acha tu
Dah for real hapa kuna ukwel ..... Wanaume tunajisahau baada ya ndoa
 
naombeni kuuliza wanawake una mume ndani unagegedwa kila siku hivi mechi zingine za mchangani kama hizi ni za nini ?
ukame ,umalaya au ni nini?
Ni mechi za ugenini hizo zina umuhimu wake magoli yake ni muhimu sana yanaweza kukupa ushindi
 
daha hatari aiseee ,.. kuoa si hoja hoja mnatupa mapenzi baada ya ndoa au mnafikiria tukiolewa hisia zinakufa na hatuitaji mtekenyo mtekenyo nikiwa na maana hiii kuombwa mzigo kimahaba mahaba .. kunitumia sms za mapenzi .. sasa uunakuta mtu na mumewe sms ikiingia ni maagizo tu hakuna mahabati
Mahabat,.,.,.,.sio mchezo,yaani text za kulowesha au vipi mama Temba.
 
Hii imetokea Mwanza wiki iliyopita, kuna rafiki yangu tunaishi pamoja kama majirani, yaan nyumba yake na yangu yangu zipo karibu sana, nyumba aliyopanga ina wapangaji 5, sasa ni muda kidogo alianza kuwa na mahusiano na mke wa mpangaji mwenzake, sasa wiki iliyopita, Mume wake majira ya saa 12 jioni alienda kuhani msiba mtaa wa pili, sasa rafiki yangu huyu na mke wa mpangaji mwenziye wakakubaliana kuwa waende bafuni, yaan mwanamke ajifanye kama anaenda kuoga afu mwanaume ataenda aingie bafuni ili wafanye yao, sasa mwanamke akaingia bafuni then mwanaume akafuatia, ile wanaendelea kupeana mambo yao humo bafuni, mumewe akafika kutoka msibani na akawa anaeelekea Uani kujisaidia, bafuni kuna dirisha, mchepuko ukawahi kumuona mume kwa haraka akamwambia mke wa mshikaji kuwa "Mumeo Anakuja" ile mke kumuona mumewe anakuja, haraka haraka ukafungua mlango wa bafuni ule mchepuko ukatoka haraka sana na kutumbukia kwenye mtaro wa maji machafu ukajibanza pembeni ya bafu, Mlango wa bafuni ulisikika ukijigonga kwa sauti, Mume alipofika Uani akamuuliza mkewe kuwa "Mbona unaoga muda mrefu"? mkewe akamjibu "Ndo nimeingia bafuni sa hivi" (Kwa sauti ya kutetemeka)
Baada ya kujisaidia mumewe alimulika-mulika huku na kule kwa tochi yake aliyokuwa nayo baadae akarudi ndani, Huyu mshikaji anasema amekoma kabisa kumla mke wa jirani yake maana ilikuwa ni chupu chupu akamatwe na alipata michubuko wakati wa vurumai lile.

My take: Mke wa Mtu ni Hatari, kila mtu atafute wa kwake, sasa hivi vijana wengi hawaoi, wanavia wake za wenzao tu.

.......Sijawahi kucheka kama leo!
 
"Miss Natafuta, post: 17920935, member: 325782"]wanabakwaje?[/QUOTE]
Mwanaume kusimamisha ni sekunde na hapo anakua tayari kuingia kwa mwanamke, lakini mwanamke inamchukua Muda kuwa tayari, kubakwa kunakuja kwamba mtu haandai mwanamke ye anachomeka tu
 
mkuu ukweli ndiyo huu japo nitaonekana kama natetea maovu.. wanaume wengi wakioa yani zili ashki ashki zinaisha sijui wanahisi wanawake wanapata monopose baada ya ndoa mi sielewi..lakini wangefanya kautafiti mwanamke anapata raha zaidi wakati gani? mi nijuavyo wakati wa ashki ina raha yake jamani kabla ya dushe,,, sasa humo ndai mume kafika zaidi ya kunyonyana ndimi hakuna kingine aisee.. unakuta ananyonya ndimi akijiongeza sana kashika titi na ushikaji wake kama anakanda mandazi teh.... sasa hapo napata kijana huko kwanza mzigo anauomba kwa maneno matamu matamu halafu unampa cha wizi acha tu
unaongea ukweli hadi basi!
kuna saa huwa tunarukia tunda tu, hatuoshi ndio maana ndoa zetu zina kipindupindu cha wizi!
ki kawaida, mke anapungua utamu kadri unavyoishi naye, na mapenzi yanakuwa more of responsibilities kuliko hamu (hii kwa midume mingi). michepuko huwa inatamanisha Zaidi na ile "hard to get" huwa inampa raha sana dume, yaani miss chagga kama mwanaume kakupenda leo, na leo hii ukatoa mzigo, hata uwe mrembo vipi bado jamaa ataona una mapungufu, kuna phases kadhaa za catch me if you can hajapitia ile mihemko inakuwa sio mikubwa. just an average girl akiutoa mzigo kwa mbinde, ile kimbizana na trick ambazo mwanaume katumia huwa ni sehemu ya starehe!
back to ndoa, mazingira hayo hayaji tena, instead locations za game zikibadilika nazo u-boost tendo! vihamasisho kama text messages, nyimbo au attires nyingine kama shanga, bikini, au mitego tofauti huwa inaleta hamu kidogo kuwa juu!
Labda cha mwisho ni huku kutukumbusha kuwa huwa mnataka kufanyiwa nini!
Asante miss chagga kutufanya tukumbuke mambo mengine ya ziada!
 
Back
Top Bottom