Mchengerwa Watumishi wa umma watakukumbuka daima

F4B

JF-Expert Member
Jan 13, 2022
325
416
Moja ya piga kubwa watumishi wa umma walilipata ni kuhamishwa kwa Waziri Mchengerwa kutoka Wizara ya ofisi ya Rais Menejoment ya utumishi wa umma na Utawara Bora kwenda Wizira ya Michezo. Mhe Mchengerwa hakutanguliza siasa Kwenye Wizara hii.

Badala yake akaletwa mhe Jenista Mhagama ambaye purely ni mwanasiasa Kila kitu kwake ni siasa.Mhe Mchengerwa Watumishi wa umma wanakulilia na kukumbuka sana.

Tazama Leo Kuna watumishi wameajilowa july-2022 ila mshahara wa mwezi wa Saba wamekosa kisa Maafisa utumishi wilayani wamechelewa kutuma taarifa wizarani haya wewe hukuyafumbia macho.
 
Ni hicho kiswahili chako eti ‘ kipi kimekukela’ badala ya ‘kimekukera’ na si ajabu wewe ni mtumishi wa umma. Hapo kiingereza si kingekuwa balaa!
Mimi hata kiswahili sikinui vzr ila ujumbe umefika
 
Japo simfagilii huyo mchengerwa wako, lakini huwa najiuliza Mhagama anaweza vipi kuwa waziri kila awamu? Kweli nimeamini uchawi upo.
Mkuu Mchengerwa alifanya kazi kubwa kwa siku chache alizo kaa wizarani
 
Moja ya piga kubwa watumishi wa umma walilipata ni kuhamishwa kwa Waziri Mchengerwa kutoka Wizara ya ofisi ya Rais Menejoment ya utumishi wa umma na Utawara Bora kwenda Wizira ya Michezo. Mhe Mchengerwa hakutanguliza siasa Kwenye Wizara hii.

Badala yake akaletwa mhe Jenista Mhagama ambaye purely ni mwanasiasa Kila kitu kwake ni siasa.Mhe Mchengerwa Watumishi wa umma wanakulilia na kukumbuka sana.

Tazama Leo Kuna watumishi wameajilowa july-2022 ila mshahara wa mwezi wa Saba wamekosa kisa Maafisa utumishi wilayani wamechelewa kutuma taarifa wizarani haya wewe hukuyafumbia macho.
Ukweli alikuwa mkombozi wa watumishi japo mimi siyo mtumishi lakini alikuwa anaongea fact sn
 
  • Thanks
Reactions: F4B
Back
Top Bottom