Moja ya piga kubwa watumishi wa umma walilipata ni kuhamishwa kwa Waziri Mchengerwa kutoka Wizara ya ofisi ya Rais Menejoment ya utumishi wa umma na Utawara Bora kwenda Wizira ya Michezo. Mhe Mchengerwa hakutanguliza siasa Kwenye Wizara hii.
Badala yake akaletwa mhe Jenista Mhagama ambaye purely ni mwanasiasa Kila kitu kwake ni siasa.Mhe Mchengerwa Watumishi wa umma wanakulilia na kukumbuka sana.
Tazama Leo Kuna watumishi wameajilowa july-2022 ila mshahara wa mwezi wa Saba wamekosa kisa Maafisa utumishi wilayani wamechelewa kutuma taarifa wizarani haya wewe hukuyafumbia macho.
Badala yake akaletwa mhe Jenista Mhagama ambaye purely ni mwanasiasa Kila kitu kwake ni siasa.Mhe Mchengerwa Watumishi wa umma wanakulilia na kukumbuka sana.
Tazama Leo Kuna watumishi wameajilowa july-2022 ila mshahara wa mwezi wa Saba wamekosa kisa Maafisa utumishi wilayani wamechelewa kutuma taarifa wizarani haya wewe hukuyafumbia macho.