Mchengerwa ni nani?

Mchengerwa ni nani?

Kwa miaka ya karibuni huyu bwana amepanda sana chati na kuwa mmoja wa mamastermind wa uendeshaji wa nchi hii. Ukiacha nasaba na kuwa mkwe wa mama lakini pia ni waziri mwandamizi anayefoka kwenye maongezi yake kwamba yeye ndiye boss wa wakuu wa mikoa so hamna atakayefanya lolote anapoagiza. Ukitazama kwa undani kidogo utagundua mama kamuachia pia maamuzi yote ya ofisi kuu. Kaibuka ghafla sana, je ni merits kwamba ni smart sana, elimu nzuri anayo au tu kwa kuwa mkwe wa mama? Hatumjui vema katoka wapi

Anapojinadi anakua kavaa kofia ya kikomunisti (nafikiri anamuiga Che Guevara) ambayo bahati mbaya sana vijana wa kisasa hawajui hata maana yake, nikifikiri ndio message anayotaka kuwapa.

Kwa mustakabali wa nchi yetu, na kuwajua viongozi wetu vizuri, na kwa nguvu aliyonayo sasa sio ajabu kabisa kuja mbele ya safari kuona anapewa uongozi wa nchi, ukizingatia trend ya sasa na uongozi kwenda kwa ndugu na jamaa wa familia zilezile, sisi kenge wa mama naamini tuna haki ya kumfahamu vyema.

Wanabodi wa nyumba hii wanafahamu mengi na hebu sasa tufunguke kumfahamu vyema mkomunisti huyu wakati tukiendelea kuona itikadi hiyo ikifa taratibu!
Mmoja wa wahusika waandamizi wa utekaji
 
Ingia kwenye account yake ya Bunge wamekuelezea kila kitu background mpaka foreground, wewe tu kumchambua halafu pia nadhani sio mtu wa kujificha hivyo strategy ni moja tu wewe jifanye mshika dini haswa yaan Shekhe maana Baba yake alikua Alikhaji huko kwao na kafia Macca sijui Madina kisha nenda kaongee nae atakwambia kila kitu
🤣🤣
 
Kwa miaka ya karibuni huyu bwana amepanda sana chati na kuwa mmoja wa mamastermind wa uendeshaji wa nchi hii. Ukiacha nasaba na kuwa mkwe wa mama lakini pia ni waziri mwandamizi anayefoka kwenye maongezi yake kwamba yeye ndiye boss wa wakuu wa mikoa so hamna atakayefanya lolote anapoagiza. Ukitazama kwa undani kidogo utagundua mama kamuachia pia maamuzi yote ya ofisi kuu. Kaibuka ghafla sana, je ni merits kwamba ni smart sana, elimu nzuri anayo au tu kwa kuwa mkwe wa mama? Hatumjui vema katoka wapi

Anapojinadi anakua kavaa kofia ya kikomunisti (nafikiri anamuiga Che Guevara) ambayo bahati mbaya sana vijana wa kisasa hawajui hata maana yake, nikifikiri ndio message anayotaka kuwapa.

Kwa mustakabali wa nchi yetu, na kuwajua viongozi wetu vizuri, na kwa nguvu aliyonayo sasa sio ajabu kabisa kuja mbele ya safari kuona anapewa uongozi wa nchi, ukizingatia trend ya sasa na uongozi kwenda kwa ndugu na jamaa wa familia zilezile, sisi kenge wa mama naamini tuna haki ya kumfahamu vyema.

Wanabodi wa nyumba hii wanafahamu mengi na hebu sasa tufunguke kumfahamu vyema mkomunisti huyu wakati tukiendelea kuona itikadi hiyo ikifa taratibu!
Ni TAPELI mtumia Fursa. Ni hivi kitaaluma ni MWANASHERIA alianzia kazi Mahakama siku za mwanzo. Baadaye aligombea Ubunge Rufiji ambapo alishandana na DR. SEIF aliyekuwa Naibu wazari wa afya enzi za mwisho za jakaya. Alishinda kwa fitna. Bungeni akapata Uenyekiti wa Kamati ya Katiba na Sheria ila mara nyingi Magufuli alitaka aondolewe amshukuru Ndugai alikuwa anamuonea huruma. NI MJUAJI WA KIJINGA JINGA BILA MANTIKI.

kuhusu kumuoa WANU AMEIR, kwanza huyu WANU alikuwa ameolewa na jamaa mmoja mzanzibari ni DC huko Kusini. Huyu jamaa alikuwa rafiki wa MCHENGERWA. kulitokea jambo WANU na mmewe wakatengana, hapo ndio KIFUA KIPANA MCHENGRWA alipoona fursa akakaimbia akamuoa wanu haraka kama mke wa pili mama yake akiwa makamu wa RAIS.

Kimsingi MCHENGERWA ni co PRESIDENT KWA SASA. TEUZI NYINGI ANAFANYA YEYE. Mfano amepeleka demu wake TANAPA kuwa Mkuu wa Manunuzi, amepeleka vijana wake BANDARI kuwa wakuu wa idara, mshenga wake amekuwa DG PSSSF, vijana wa operesheni TISS ni mtu wake, NK.
 
Ni TAPELI mtumia Fursa. Ni hivi kitaaluma ni MWANASHERIA alianzia kazi Mahakama siku za mwanzo. Baadaye aligombea Ubunge Rufiji ambapo alishandana na DR. SEIF aliyekuwa Naibu wazari wa afya enzi za mwisho za jakaya. Alishinda kwa fitna. Bungeni akapata Uenyekiti wa Kamati ya Katiba na Sheria ila mara nyingi Magufuli alitaka aondolewe amshukuru Ndugai alikuwa anamuonea huruma. NI MJUAJI WA KIJINGA JINGA BILA MANTIKI.

kuhusu kumuoa WANU AMEIR, kwanza huyu WANU alikuwa ameolewa na jamaa mmoja mzanzibari ni DC huko Kusini. Huyu jamaa alikuwa rafiki wa MCHENGERWA. kulitokea jambo WANU na mmewe wakatengana, hapo ndio KIFUA KIPANA MCHENGRWA alipoona fursa akakaimbia akamuoa wanu haraka kama mke wa pili mama yake akiwa makamu wa RAIS.

Kimsingi MCHENGERWA ni co PRESIDENT KWA SASA. TEUZI NYINGI ANAFANYA YEYE. Mfano amepeleka demu wake TANAPA kuwa Mkuu wa Manunuzi, amepeleka vijana wake BANDARI kuwa wakuu wa idara, mshenga wake amekuwa DG PSSSF, vijana wa operesheni TISS ni mtu wake, NK.
Nchi imeoza hii asee
 
Mchengerwa ndiye aliyeharibu uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Soma hapa:-

Wakati anaharibu huo uchaguzi, raisi alikuwa wapi?? Au raisi alichukua hatua gani.
 
Ni TAPELI mtumia Fursa. Ni hivi kitaaluma ni MWANASHERIA alianzia kazi Mahakama siku za mwanzo. Baadaye aligombea Ubunge Rufiji ambapo alishandana na DR. SEIF aliyekuwa Naibu wazari wa afya enzi za mwisho za jakaya. Alishinda kwa fitna. Bungeni akapata Uenyekiti wa Kamati ya Katiba na Sheria ila mara nyingi Magufuli alitaka aondolewe amshukuru Ndugai alikuwa anamuonea huruma. NI MJUAJI WA KIJINGA JINGA BILA MANTIKI.

kuhusu kumuoa WANU AMEIR, kwanza huyu WANU alikuwa ameolewa na jamaa mmoja mzanzibari ni DC huko Kusini. Huyu jamaa alikuwa rafiki wa MCHENGERWA. kulitokea jambo WANU na mmewe wakatengana, hapo ndio KIFUA KIPANA MCHENGRWA alipoona fursa akakaimbia akamuoa wanu haraka kama mke wa pili mama yake akiwa makamu wa RAIS.

Kimsingi MCHENGERWA ni co PRESIDENT KWA SASA. TEUZI NYINGI ANAFANYA YEYE. Mfano amepeleka demu wake TANAPA kuwa Mkuu wa Manunuzi, amepeleka vijana wake BANDARI kuwa wakuu wa idara, mshenga wake amekuwa DG PSSSF, vijana wa operesheni TISS ni mtu wake, NK.

Kumbe wanu alikua single mama wa faida, dah!
 
Kwa miaka ya karibuni huyu bwana amepanda sana chati na kuwa mmoja wa mamastermind wa uendeshaji wa nchi hii. Ukiacha nasaba na kuwa mkwe wa mama lakini pia ni waziri mwandamizi anayefoka kwenye maongezi yake kwamba yeye ndiye boss wa wakuu wa mikoa so hamna atakayefanya lolote anapoagiza. Ukitazama kwa undani kidogo utagundua mama kamuachia pia maamuzi yote ya ofisi kuu. Kaibuka ghafla sana, je ni merits kwamba ni smart sana, elimu nzuri anayo au tu kwa kuwa mkwe wa mama? Hatumjui vema katoka wapi

Anapojinadi anakua kavaa kofia ya kikomunisti (nafikiri anamuiga Che Guevara) ambayo bahati mbaya sana vijana wa kisasa hawajui hata maana yake, nikifikiri ndio message anayotaka kuwapa.

Kwa mustakabali wa nchi yetu, na kuwajua viongozi wetu vizuri, na kwa nguvu aliyonayo sasa sio ajabu kabisa kuja mbele ya safari kuona anapewa uongozi wa nchi, ukizingatia trend ya sasa na uongozi kwenda kwa ndugu na jamaa wa familia zilezile, sisi kenge wa mama naamini tuna haki ya kumfahamu vyema.

Wanabodi wa nyumba hii wanafahamu mengi na hebu sasa tufunguke kumfahamu vyema mkomunisti huyu wakati tukiendelea kuona itikadi hiyo ikifa taratibu!
Ni mwehu tu
 
Kwa miaka ya karibuni huyu bwana amepanda sana chati na kuwa mmoja wa mamastermind wa uendeshaji wa nchi hii. Ukiacha nasaba na kuwa mkwe wa mama lakini pia ni waziri mwandamizi anayefoka kwenye maongezi yake kwamba yeye ndiye boss wa wakuu wa mikoa so hamna atakayefanya lolote anapoagiza. Ukitazama kwa undani kidogo utagundua mama kamuachia pia maamuzi yote ya ofisi kuu. Kaibuka ghafla sana, je ni merits kwamba ni smart sana, elimu nzuri anayo au tu kwa kuwa mkwe wa mama? Hatumjui vema katoka wapi

Anapojinadi anakua kavaa kofia ya kikomunisti (nafikiri anamuiga Che Guevara) ambayo bahati mbaya sana vijana wa kisasa hawajui hata maana yake, nikifikiri ndio message anayotaka kuwapa.

Kwa mustakabali wa nchi yetu, na kuwajua viongozi wetu vizuri, na kwa nguvu aliyonayo sasa sio ajabu kabisa kuja mbele ya safari kuona anapewa uongozi wa nchi, ukizingatia trend ya sasa na uongozi kwenda kwa ndugu na jamaa wa familia zilezile, sisi kenge wa mama naamini tuna haki ya kumfahamu vyema.

Wanabodi wa nyumba hii wanafahamu mengi na hebu sasa tufunguke kumfahamu vyema mkomunisti huyu wakati tukiendelea kuona itikadi hiyo ikifa taratibu!
Ana haki ya kuwa Rais na ana sifa we shida yako nini. Hatuna muda wa kujadili watu, we jipime gombea nafasi yyte unayoona inakufaa
 
Ana haki ya kuwa Rais na ana sifa we shida yako nini. Hatuna muda wa kujadili watu, we jipime gombea nafasi yyte unayoona inakufaa

Topic mpya hii! Ndio maana vijana mnafeli sana, kuna mtu kaongelea kwamba hana haki ya kuwa rais? Kuna mtanzania asiye na haki hiyo? Why iwe yeye? Hizi elimu za kukariri past papers inazalisha chawa sana wasio na akili ya kuelewa mambo!
 
Kwa miaka ya karibuni huyu bwana amepanda sana chati na kuwa mmoja wa mamastermind wa uendeshaji wa nchi hii. Ukiacha nasaba na kuwa mkwe wa mama lakini pia ni waziri mwandamizi anayefoka kwenye maongezi yake kwamba yeye ndiye boss wa wakuu wa mikoa so hamna atakayefanya lolote anapoagiza. Ukitazama kwa undani kidogo utagundua mama kamuachia pia maamuzi yote ya ofisi kuu. Kaibuka ghafla sana, je ni merits kwamba ni smart sana, elimu nzuri anayo au tu kwa kuwa mkwe wa mama? Hatumjui vema katoka wapi

Anapojinadi anakua kavaa kofia ya kikomunisti (nafikiri anamuiga Che Guevara) ambayo bahati mbaya sana vijana wa kisasa hawajui hata maana yake, nikifikiri ndio message anayotaka kuwapa.

Kwa mustakabali wa nchi yetu, na kuwajua viongozi wetu vizuri, na kwa nguvu aliyonayo sasa sio ajabu kabisa kuja mbele ya safari kuona anapewa uongozi wa nchi, ukizingatia trend ya sasa na uongozi kwenda kwa ndugu na jamaa wa familia zilezile, sisi kenge wa mama naamini tuna haki ya kumfahamu vyema.

Wanabodi wa nyumba hii wanafahamu mengi na hebu sasa tufunguke kumfahamu vyema mkomunisti huyu wakati tukiendelea kuona itikadi hiyo ikifa taratibu!
..pia ni Shemela wa.Abdul,yule aliyeenda kumtembelea Lissu kule Tegeta!
 
Topic mpya hii! Ndio maana vijana mnafeli sana, kuna mtu kaongelea kwamba hana haki ya kuwa rais? Kuna mtanzania asiye na haki hiyo? Why iwe yeye? Hizi elimu za kukariri past papers inazalisha chawa sana wasio na akili ya kuelewa mambo!
We mkundu umekariri vinyesi? We msenge uwe na adabu acha arrogance wakati umebeba mavi tu kichwani. Niwe chawa wa Mchengerwa ananifahamu? Siyo kila mtu ni zwazwa km ww
 
Back
Top Bottom