Mchengerwa ni nani?

Mchengerwa ni nani?

Bunge la uchakachuzi hilihili mkuu? Unaliamini? Nauliza wadau maana historia na background zinafichwa kwa maslahi ya watu, kumbuka account ya ponjoro la K'ndoni ilivyofanyiwa mandingo baada ya kutofautiana na Gwajiboy, majuzi tu hapa!
Ndio maana nikakwambiaje mfuate ukamuulize
 
Wasanii na viongozi ambao yule Mama pale Botswana akitoka wataganga njaa sana:

1. Wema pelepete
2. Steven Minenguo
3. Mrisho Pekupeku (Mzua taharuki)
4. Mwizi-jakuzi
5. Baba Tambarale (Chawa Mkuu)
6. Shasha, sheshe, Shishi vyakula milenda
7......

Viongozi:
1. Jimbo la Kule kura zilizojazwa za wizi zimekamatwa juzi
2. Huyu wa mada husika
3. Jina la wale wakusanya nauli ndani ya daladala
4. Yule aliesema tunywe miti shamba kuzuia korona, kisha akasema tuache tuchanje
5.....


Endeeleni kumbuka name calling (kutaja jina la mtu hairuhusiwi)
 
Yani ni kwamba nawauliza wanaomfahamu, kwa sababu information zilizopo kwenye public domain haziaminiki, lakini kuna watu humu waliosoma naye, wana na waliofanya naye kazi, waliokua naye pamoja.. Hawa wanajua ukweli mwingi kuliko maandishi ya masisiemu yaliyopo public
Okay nafikiri umesomeka mkuu vizuri .

Umesomeka sasa mkuu , tusubir waamke they will give you a lot of information.
Yani ni kwamba nawauliza wanaomfahamu, kwa sababu information zilizopo kwenye public domain haziaminiki, lakini kuna watu humu waliosoma naye, wana na waliofanya naye kazi, waliokua naye pamoja.. Hawa wanajua ukweli mwingi kuliko maandishi ya masisiemu yaliyopo public. Then hii ni forum tu mkuu sio academic work, so tunaulizana tu casually hamna cha mtiririko wala nini, as long as swali limeeleweka unatiririka tu, sio big deal
 
Wasanii na viongozi ambao yule Mama pale Botswana akitoka wataganga njaa sana:

1. Wema pelepete
2. Steven Minenguo
3. Mrisho Pekupeku (Mzua taharuki)
4. Mwizi-jakuzi
5. Baba Tambarale (Chawa Mkuu)
6. Shasha, sheshe, Shishi vyakula milenda
7......

Viongozi:
1. Jimbo la Kule kura zilizojazwa za wizi zimekamatwa juzi
2. Huyu wa mada husika
3. Jina la wale wakusanya nauli ndani ya daladala
4. Yule aliesema tunywe miti shamba kuzuia korona, kisha akasema tuache tuchanje
5.....


Endeeleni kumbuka name calling (kutaja jina la mtu hairuhusiwi)
Viongozi namba 4 ni nani ?
 
Kwa miaka ya karibuni huyu bwana amepanda sana chati na kuwa mmoja wa mamastermind wa uendeshaji wa nchi hii. Ukiacha nasaba na kuwa mkwe wa mama lakini pia ni waziri mwandamizi anayefoka kwenye maongezi yake kwamba yeye ndiye boss wa wakuu wa mikoa so hamna atakayefanya lolote anapoagiza. Ukitazama kwa undani kidogo utagundua mama kamuachia pia maamuzi yote ya ofisi kuu. Kaibuka ghafla sana, je ni merits kwamba ni smart sana, elimu nzuri anayo au tu kwa kuwa mkwe wa mama? Hatumjui vema katoka wapi

Anapojinadi anakua kavaa kofia ya kikomunisti (nafikiri anamuiga Che Guevara) ambayo bahati mbaya sana vijana wa kisasa hawajui hata maana yake, nikifikiri ndio message anayotaka kuwapa.

Kwa mustakabali wa nchi yetu, na kuwajua viongozi wetu vizuri, na kwa nguvu aliyonayo sasa sio ajabu kabisa kuja mbele ya safari kuona anapewa uongozi wa nchi, ukizingatia trend ya sasa na uongozi kwenda kwa ndugu na jamaa wa familia zilezile, sisi kenge wa mama naamini tuna haki ya kumfahamu vyema.

Wanabodi wa nyumba hii wanafahamu mengi na hebu sasa tufunguke kumfahamu vyema mkomunisti huyu wakati tukiendelea kuona itikadi hiyo ikifa taratibu!
Kauli zake ni za kutisha sana. Alienda Mbeya akatema cheche, Mdude akatekwa na kupotea baada ya wiki tu.
 
Kwa miaka ya karibuni huyu bwana amepanda sana chati na kuwa mmoja wa mamastermind wa uendeshaji wa nchi hii. Ukiacha nasaba na kuwa mkwe wa mama lakini pia ni waziri mwandamizi anayefoka kwenye maongezi yake kwamba yeye ndiye boss wa wakuu wa mikoa so hamna atakayefanya lolote anapoagiza. Ukitazama kwa undani kidogo utagundua mama kamuachia pia maamuzi yote ya ofisi kuu. Kaibuka ghafla sana, je ni merits kwamba ni smart sana, elimu nzuri anayo au tu kwa kuwa mkwe wa mama? Hatumjui vema katoka wapi

Anapojinadi anakua kavaa kofia ya kikomunisti (nafikiri anamuiga Che Guevara) ambayo bahati mbaya sana vijana wa kisasa hawajui hata maana yake, nikifikiri ndio message anayotaka kuwapa.

Kwa mustakabali wa nchi yetu, na kuwajua viongozi wetu vizuri, na kwa nguvu aliyonayo sasa sio ajabu kabisa kuja mbele ya safari kuona anapewa uongozi wa nchi, ukizingatia trend ya sasa na uongozi kwenda kwa ndugu na jamaa wa familia zilezile, sisi kenge wa mama naamini tuna haki ya kumfahamu vyema.

Wanabodi wa nyumba hii wanafahamu mengi na hebu sasa tufunguke kumfahamu vyema mkomunisti huyu wakati tukiendelea kuona itikadi hiyo ikifa taratibu!
Mchengerwa ndiye aliyeharibu uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Soma hapa:-

 
Ana uwezo wa kifalme mabegani mwake na alama ya ukomunisti usoni, wanasema ukimuona kobe juu ya mti ujue kapandishwa! So normal inaweza kugeuzwa kuwa extraordinary kwa maslahi ya mpandishaji
100%
 
Mchengerwa ndiye aliyeharibu uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Soma hapa:-

Mchengwa au boss wake .

Ni sawa na 2019 watu walimlaumu Jaffo wakati Jiwe ndo aliharibu uchaguzi.
 
Mchengerwa ndiye aliyeharibu uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Soma hapa:-


Alipanga na kupeleka matokeo kila kona ya nchi! Wapiga kura walifanywa wasen'ge tu kama walipiga
 
Back
Top Bottom