kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 13,710
- 25,493
Open University of TanzaniaKwani wewe ulivyoandika out ulitaka kuandika IN ?
Open University of TanzaniaKwani wewe ulivyoandika out ulitaka kuandika IN ?
Muulize kyagataFunguka kiongozi mamto gani?
Acha uzwazwa wewe wa kukariri, Kwa hiyo wewe ulikuwa unataka akasome udsm, udom ndio ujue sio elimu ya kuungaunga.Open University of Tanzania
Huwajui chawa weweWasanii na viongozi ambao yule Mama pale Botswana akitoka wataganga njaa sana:
1. Wema pelepete
2. Steven Minenguo
3. Mrisho Pekupeku (Mzua taharuki)
4. Mwizi-jakuzi
5. Baba Tambarale (Chawa Mkuu)
6. Shasha, sheshe, Shishi vyakula milenda
7......
Viongozi:
1. Jimbo la Kule kura zilizojazwa za wizi zimekamatwa juzi
2. Huyu wa mada husika
3. Jina la wale wakusanya nauli ndani ya daladala
4. Yule aliesema tunywe miti shamba kuzuia korona, kisha akasema tuache tuchanje
5.....
Endeeleni kumbuka name calling (kutaja jina la mtu hairuhusiwi)
Mwijaku,Viongozi namba 4 ni nani ?
Hapo mimi sikubaligi, mambo hapa hapa duniani, ya huko mbinguni watajuana na Allah, aniulie ndugu yangu halafu ningjee Allah, no way -- Hapa hapaBasi katika hilo ukilisimamia utalipwa kheli na Allah.tuishi humo.
Nchi ishakua na umama mkwe nk unategemea nini. **** zaoKwa miaka ya karibuni huyu bwana amepanda sana chati na kuwa mmoja wa mamastermind wa uendeshaji wa nchi hii. Ukiacha nasaba na kuwa mkwe wa mama lakini pia ni waziri mwandamizi anayefoka kwenye maongezi yake kwamba yeye ndiye boss wa wakuu wa mikoa so hamna atakayefanya lolote anapoagiza. Ukitazama kwa undani kidogo utagundua mama kamuachia pia maamuzi yote ya ofisi kuu. Kaibuka ghafla sana, je ni merits kwamba ni smart sana, elimu nzuri anayo au tu kwa kuwa mkwe wa mama? Hatumjui vema katoka wapi
Anapojinadi anakua kavaa kofia ya kikomunisti (nafikiri anamuiga Che Guevara) ambayo bahati mbaya sana vijana wa kisasa hawajui hata maana yake, nikifikiri ndio message anayotaka kuwapa.
Kwa mustakabali wa nchi yetu, na kuwajua viongozi wetu vizuri, na kwa nguvu aliyonayo sasa sio ajabu kabisa kuja mbele ya safari kuona anapewa uongozi wa nchi, ukizingatia trend ya sasa na uongozi kwenda kwa ndugu na jamaa wa familia zilezile, sisi kenge wa mama naamini tuna haki ya kumfahamu vyema.
Wanabodi wa nyumba hii wanafahamu mengi na hebu sasa tufunguke kumfahamu vyema mkomunisti huyu wakati tukiendelea kuona itikadi hiyo ikifa taratibu!
Ni muhitimu wa Kampala international university, Shelia (Sheria) na aliwahi kuwa Waziri anaye wa simamia wasiojulikanaKwa miaka ya karibuni huyu bwana amepanda sana chati na kuwa mmoja wa mamastermind wa uendeshaji wa nchi hii. Ukiacha nasaba na kuwa mkwe wa mama lakini pia ni waziri mwandamizi anayefoka kwenye maongezi yake kwamba yeye ndiye boss wa wakuu wa mikoa so hamna atakayefanya lolote anapoagiza. Ukitazama kwa undani kidogo utagundua mama kamuachia pia maamuzi yote ya ofisi kuu. Kaibuka ghafla sana, je ni merits kwamba ni smart sana, elimu nzuri anayo au tu kwa kuwa mkwe wa mama? Hatumjui vema katoka wapi
Anapojinadi anakua kavaa kofia ya kikomunisti (nafikiri anamuiga Che Guevara) ambayo bahati mbaya sana vijana wa kisasa hawajui hata maana yake, nikifikiri ndio message anayotaka kuwapa.
Kwa mustakabali wa nchi yetu, na kuwajua viongozi wetu vizuri, na kwa nguvu aliyonayo sasa sio ajabu kabisa kuja mbele ya safari kuona anapewa uongozi wa nchi, ukizingatia trend ya sasa na uongozi kwenda kwa ndugu na jamaa wa familia zilezile, sisi kenge wa mama naamini tuna haki ya kumfahamu vyema.
Wanabodi wa nyumba hii wanafahamu mengi na hebu sasa tufunguke kumfahamu vyema mkomunisti huyu wakati tukiendelea kuona itikadi hiyo ikifa taratibu!
KwakweliBado kidogo tu itabaki historia
Na wanasema ni mjukuu wa bibi titiMchengerwa
Ni MP wa rufiji
Amemuoa mtoto wa Mama Samia anaitwa Wanu Hafidhi .
Kwahiyo ipo hivi mke wake ni mbunge , mkwe wake rahis hivyo yaani.
Ni jamaa fulani hivi tulisoma nae shule moja na mengine ngoja ninyamaze.....Kwa miaka ya karibuni huyu bwana amepanda sana chati na kuwa mmoja wa mamastermind wa uendeshaji wa nchi hii. Ukiacha nasaba na kuwa mkwe wa mama lakini pia ni waziri mwandamizi anayefoka kwenye maongezi yake kwamba yeye ndiye boss wa wakuu wa mikoa so hamna atakayefanya lolote anapoagiza. Ukitazama kwa undani kidogo utagundua mama kamuachia pia maamuzi yote ya ofisi kuu. Kaibuka ghafla sana, je ni merits kwamba ni smart sana, elimu nzuri anayo au tu kwa kuwa mkwe wa mama? Hatumjui vema katoka wapi
Anapojinadi anakua kavaa kofia ya kikomunisti (nafikiri anamuiga Che Guevara) ambayo bahati mbaya sana vijana wa kisasa hawajui hata maana yake, nikifikiri ndio message anayotaka kuwapa.
Kwa mustakabali wa nchi yetu, na kuwajua viongozi wetu vizuri, na kwa nguvu aliyonayo sasa sio ajabu kabisa kuja mbele ya safari kuona anapewa uongozi wa nchi, ukizingatia trend ya sasa na uongozi kwenda kwa ndugu na jamaa wa familia zilezile, sisi kenge wa mama naamini tuna haki ya kumfahamu vyema.
Wanabodi wa nyumba hii wanafahamu mengi na hebu sasa tufunguke kumfahamu vyema mkomunisti huyu wakati tukiendelea kuona itikadi hiyo ikifa taratibu!
Kuna nini huko mkuuKwakweli
Nimetoka Kwa da mange 😂insta mambo ni moto🔥🙌
Ni kati ya mabilionea walioibuka ghafla ndani ya mda mfupi wa utawala wa bi Chura kiziwiKwa miaka ya karibuni huyu bwana amepanda sana chati na kuwa mmoja wa mamastermind wa uendeshaji wa nchi hii. Ukiacha nasaba na kuwa mkwe wa mama lakini pia ni waziri mwandamizi anayefoka kwenye maongezi yake kwamba yeye ndiye boss wa wakuu wa mikoa so hamna atakayefanya lolote anapoagiza. Ukitazama kwa undani kidogo utagundua mama kamuachia pia maamuzi yote ya ofisi kuu. Kaibuka ghafla sana, je ni merits kwamba ni smart sana, elimu nzuri anayo au tu kwa kuwa mkwe wa mama? Hatumjui vema katoka wapi
Anapojinadi anakua kavaa kofia ya kikomunisti (nafikiri anamuiga Che Guevara) ambayo bahati mbaya sana vijana wa kisasa hawajui hata maana yake, nikifikiri ndio message anayotaka kuwapa.
Kwa mustakabali wa nchi yetu, na kuwajua viongozi wetu vizuri, na kwa nguvu aliyonayo sasa sio ajabu kabisa kuja mbele ya safari kuona anapewa uongozi wa nchi, ukizingatia trend ya sasa na uongozi kwenda kwa ndugu na jamaa wa familia zilezile, sisi kenge wa mama naamini tuna haki ya kumfahamu vyema.
Wanabodi wa nyumba hii wanafahamu mengi na hebu sasa tufunguke kumfahamu vyema mkomunisti huyu wakati tukiendelea kuona itikadi hiyo ikifa taratibu!
mkuu msoga umemudhibiti?Bado kidogo tu itabaki historia
Mkuu amini malipo ya dhambi ni hapa hapa aliua nae atauwawa tu dini zinataka haki hii kanuni ipo kimkakati wa karma utalipwa ulichotenda huko kwa Allah ni jambo lingine.Hapo mimi sikubaligi, mambo hapa hapa duniani, ya huko mbinguni watajuana na Allah, aniulie ndugu yangu halafu ningjee Allah, no way -- Hapa hapa