Tetesi: Mchengerwa kuwa waziri mkuu

Wakati naenda makumbusho Leo nimekutana na mtu mmoja amvaa baragashia akasema

'Wanamtandao wanatanduana ni mnyukano Kati Yao

Akanidokeza kuwa waziri mkuu ajaye ni mchengerwa soon as possible.

Aisee nimecheka baada ya kulia
Halafu Wanu waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa. Mpaka maji myaite mma kmmk Watanganyika 😂😂😂

 
Wakati naenda makumbusho Leo nimekutana na mtu mmoja amvaa baragashia akasema

'Wanamtandao wanatanduana ni mnyukano Kati Yao

Akanidokeza kuwa waziri mkuu ajaye ni Mchengerwa soon as possible.

Aisee nimecheka baada ya kulia

Huu ndio mwisho wao. Na kusema kweli, acha wavurugane tu. Hawana faida yoyote waliyoipa nchi yetu
 
Nilisema toka siku ya Uteuzi wa Nchemba...hafiki popote..ni suala la Muda tu..
Waziri Mkuu mwenye kuwekeza kujijenga Kisiasa binafsi na Uchama Tawala badala ya kuunganisha Taifa!!!?? Ni ujuha wa CCM..acha waumane
Watu wanasimama na Mwigulu we unasimama na nani? Watanganyika ni bendera fuata upepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…