Mchemko mwingine wa STRABAG huu hapa

Mchemko mwingine wa STRABAG huu hapa

Kwanza jina eti mabasi ya kwenda kasi!!! Bus rapid transport BRT mi nadhani sio kasi kama wanasiasa wanavyotuambia ni usafiri wa haraka sio kasi na zile treni za china je kama hayo mabasi yataenda kasi?? Wamesema rapid sio speed!!!
 
Hizo ni ofisi za mabosi wao ndio maana zina vioo sawa mkuu..
 
kwa hili pia naweza kusema STRABAG wamechemka sana. iko hivi kuna hivi vituo vya kisasa katika njia mpya za mabasi yaendayo kasi zinazojengwa na kampuni ya STRABAG baadhi ya hivi vituo vimejengwa na kuwekewa madirisha na milango ya alluminiuma na VIOO vizuri tu, kuna kituo kipo pala ubungo urafiri karibu na big brother na kingine kipo maeneo ya kimara hivi vituo vimewekewa madirisha na milango mizuri ya VIOO.sasa tatizo ni kwamba navyo wajua wabongo tusivyo wastaarabu walah vile vioo havina maisha marefu vitarushiwa mawe na kuvunjwa vyote ni bora wangeweka nyavu kama walivyoweka katika baadhi ya vituo vyao. ila tukubaliane hapa lazima mateja watavipopoa vioo vyote.KWA HILI STRABAG MKAE CHINI NA KUTAFAKARI UPYA.

Sioni kama wamechemka kama wewe mwenyewe umesema waharibifu ni waTZ wenyewe. Ni jukumu letu sote kustaarabika na pia ni jukumu la wahusika kufanya maintainance si kutengeneza tu.
 
Watanzania twatakiwa kwa pamoja tupinge uharibifu wa miundombinu yetu, sisi ndio tunaihitaji hiyo miundombinu. Tuilinde kwa pamoja.
 
Mbona magorofa ya vioo yapo mengi hatu yapopoi? hata hayo magari yatakayo kuja siyatakua na vioo nayo tutayapopoa? mbona magari haya kwenye foleni yote yana vioo hatuyapopoi?
 
Kosa la strabag ni nini hapo ndugu mtoa mada?

Hivi unaielewa sekta ya ujenzi kwa miradi mikubwa kama huo?!

unajua kuwa kuna washauri (consultants) wajenzi (contractors) na mteja (client) je unajua wajibu wa kila mmoja wao?!
 
Cha kujiuliza ni hiki je huo mradi ukifeli hivo vituo vita kuwa vitatumika tena au ndiyo mchana watajazana wamachinga usiku zinakuwa gesti
Maana tanzania hii mirado huwa hai sumu kabisa
 
Mbona magorofa ya vioo yapo mengi hatu yapopoi? hata hayo magari yatakayo kuja siyatakua na vioo nayo tutayapopoa? mbona magari haya kwenye foleni yote yana vioo hatuyapopoi?

Watanzania imefikia mahali sasa lazima tujikubali,tulikuwa washamba lakini tumebadilika kwa kiasi fulani.Mateja kule katikati ya miji ndio wanakoshinda mbona hatuoni wakitupia mawe vioo vilivyopo kwenye majengo na badala waje kutupia kwenye vituo vya BRT,tuache kujikatisha tamaa wenyewe ,jamaa wamejitahidi kiasi chao,mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
 
! Ni kweli ! "huu mradi kuna ubabaishaji mkubwa kwa ujumla!" Barabara gani hizi hazina mitaro / mifereji ya kusafirisha maji taka!

Acha kupotosha mitaro inapita chini kwa chini.
 
Kwa hili pia naweza kusema STRABAG wamechemka sana. Iko hivi kuna hivi vituo vya kisasa katika njia mpya za mabasi yaendayo kasi zinazojengwa na kampuni ya STRABAG baadhi ya hivi vituo vimejengwa na kuwekewa madirisha na milango ya alluminium na VIOO vizuri tu, kuna kituo kipo pala Ubungo urafiri karibu na big brother na kingine kipo maeneo ya Kimara hivi vituo vimewekewa madirisha na milango mizuri ya VIOO. Sasa tatizo ni kwamba navyowajua wabongo tusivyo wastaarabu walah vile vioo havina maisha marefu vitarushiwa mawe na kuvunjwa vyote ni bora wangeweka nyavu kama walivyoweka katika baadhi ya vituo vyao. Ila tukubaliane hapa lazima mateja watavipopoa vioo vyote.

KWA HILI STRABAG MKAE CHINI NA KUTAFAKARI UPYA.

strabag wamechemka vp wakat wamefanya vitu kwa kusasa zaid jutia ustarabu wetu sio wao na kuhimiza watz tuwe makini
 
Kwa hili pia naweza kusema STRABAG wamechemka sana. Iko hivi kuna hivi vituo vya kisasa katika njia mpya za mabasi yaendayo kasi zinazojengwa na kampuni ya STRABAG baadhi ya hivi vituo vimejengwa na kuwekewa madirisha na milango ya alluminium na VIOO vizuri tu, kuna kituo kipo pala Ubungo urafiri karibu na big brother na kingine kipo maeneo ya Kimara hivi vituo vimewekewa madirisha na milango mizuri ya VIOO. Sasa tatizo ni kwamba navyowajua wabongo tusivyo wastaarabu walah vile vioo havina maisha marefu vitarushiwa mawe na kuvunjwa vyote ni bora wangeweka nyavu kama walivyoweka katika baadhi ya vituo vyao. Ila tukubaliane hapa lazima mateja watavipopoa vioo vyote.

KWA HILI STRABAG MKAE CHINI NA KUTAFAKARI UPYA.

Unayosema yanaweza kuwa kweli kabisa lakini tuanzie mahali fulani kupata huo ustararafu unaosema. Ni sawa na kuweka glass za Aluminium kwako kuogopa watoto/mtoto atavunja hizi za kawaida.

Inawezekana kweli vile vioo vitavunjwa. Vitawekwa vingine na tutaendelea kuelimishana hadi tufike.
 
Vile vioo nimevipima vipo kama vya milango ya benki jiwe alifui dafu na risasi pia.


Sio lazima vipigwe mawe mkuu. Kuna mifuniko ya mitaro wameshaanza kuichukua. Hivyo vioo navyo vitang'olewa tena kiufundi na ustaarabu mkubwa.
 
Jamani embu tuchangie mada kama GT ,tusiwe kama watu wa fb na inst ,tulishasema STRABAG wanajenga kwa mujibu wa design ,boq na specifications sasa boq inasema aweke vioo na amepewa hela ya kuweka vioo sasa ulitaka aweke magunia ili baadae uje ulalamike kuwa ufisadi umefanyika alafu embu tafuteni structure ya huu mradi siyo mradi wa kitoto ni mradi mkubwa tena mi naona hawautendei haki , hivyo vituo vinatakiwa viwekewe AC,flat screen kuwe na wash room attendants kuwe na passenger seat za kisasa yaani tusipende vitu vya bei rahisi sasa ninyi mnataka kuturudisha enzi za ukoloni eti kuweka waya kwenye kituo hiyo sikubaliani nayo
 
Jamani embu tuchangie mada kama GT ,tusiwe kama watu wa fb na inst ,tulishasema STRABAG wanajenga kwa mujibu wa design ,boq na specifications sasa boq inasema aweke vioo na amepewa hela ya kuweka vioo sasa ulitaka aweke magunia ili baadae uje ulalamike kuwa ufisadi umefanyika alafu embu tafuteni structure ya huu mradi siyo mradi wa kitoto ni mradi mkubwa tena mi naona hawautendei haki , hivyo vituo vinatakiwa viwekewe AC,flat screen kuwe na wash room attendants kuwe na passenger seat za kisasa yaani tusipende vitu vya bei rahisi sasa ninyi mnataka kuturudisha enzi za ukoloni eti kuweka waya kwenye kituo hiyo sikubaliani nayo

Kumbe Tanzania civilization bado sana du..!watu hawataki maendeleo kila linalofanyika ni kosa!
 
Back
Top Bottom