wooden flag
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 969
- 1,949
Nilivyoona wali kwenye mfuko wa nylon, nikajua tu hii ni kazi ya mjasi
Michele wa plastiki haujanza leo umekuwepo kwa miaka mingi sana, matumizi ya mchele huo ni kwenye maandishi ya urembo kwa kutumia kifaa maalum kuunganishia, inawezekana matapeli wamepata shehena hiyo na kuamua kuiuza. Tofauti ya michele hiyo miwili ni uzito ambapo wa plastiki ni mwepesi.Moja ya habari zilizoshtua zaidi na kufanya vijana waamke usiku huu ni video zinazosambazwa katika whatsapp groups zikionesha chakula cha wali kikigeuzwa vitenesi na kudunda kabisa..
Ikiwa ni mojawapo ya ushahidi kuwa ni mchele wa plastic.....
Mwanzo ilikuwa ni fununu lakiin kwa sasa imekuwa confirmed mchele huu upo ndani ya taifa hili..…
TBS, TFDA mko wapi jamani..........
Vijana huku tutaisha kama kuku.....
Tumechanganyikiwa jamani
Michele wa plastiki haujanza leo umekuwepo kwa miaka mingi sana, matumizi ya mchele huo ni kwenye maandishi ya urembo kwa kutumia kifaa maalum kuunganishia, inawezekana matapeli wamepata shehena hiyo na kuamua kuiuza. Tofauti ya michele hiyo miwili ni uzito ambapo wa plastiki ni mwepesi.
Duuh ni shida mkuuNgox, Info (kwa wachina) Humanities (ujasi) Huo mchele hautawaacha salama.
Elimu yetu bado sana! Kama walimu wanalipata na mashaka juu ya chakula walichonunua, ila wakaishia kukimwaga nani zaidi wakutuelimisha kuhusu food adulteration na hatua za kuchukua iwapo iwapo mtu atahisi chakula alichonunua kimechakachuliwa?Moja ya habari zilizoshtua zaidi na kufanya vijana waamke usiku huu ni video zinazosambazwa katika whatsapp groups zikionesha chakula cha wali kikigeuzwa vitenesi na kudunda kabisa..
Ikiwa ni mojawapo ya ushahidi kuwa ni mchele wa plastic.....
Mwanzo ilikuwa ni fununu lakiin kwa sasa imekuwa confirmed mchele huu upo ndani ya taifa hili..…
TBS, TFDA mko wapi jamani..........
Vijana huku tutaisha kama kuku.....
Tumechanganyikiwa jamani
Huyo mjasi ni nani? Je kitengo cha huduma kwa wanafunzi kina taarifa? Au uongozi wa wanafunzi umechukua hatua gani?Nilivyoona wali kwenye mfuko wa nylon, nikajua tu hii ni kazi ya mjasi
Kuna mchele ulikuwa unatoka china ulikuwa wa mahindi, unapika robo unatoka sufuria kubwa mbili wakaja wakaupiga marufuku..
Huu wa plastic sijawah kuuona, kama yupo mwenye picha aiweke hapa tuushuhudie kwa macho...Alikuwa ukiitwa KITUMBO. Tumepiga sana miaka hiyo.
Ila huu wa Plastic hapana. Hakuna kitu kama hicho.
Serikali yenu ya wanafunzi imechukua hatua gani?N kweli ndg amin usiamin huu mchezo kwa ss uko udom maana toka Jana watu wanarusha clip za kuthibitisha hilo
Kama na wewe uko UDOM basi hii nchi inaelekea shimoniN kweli ndg amin usiamin huu mchezo kwa ss uko udom maana toka Jana watu wanarusha clip za kuthibitisha hilo
Duh n hatar ndg zangu mungu atuokoe na hili swala