kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,633
- 7,021
Sawa bwana msomi ni wewe.... Sisi soote darasa la saba.... Endelea.Acha sayansi uchwara hapa!wewe unajua sayansi wewe?Ukinywa dawa inakuwa digested na enzymes gani?Ama ukameza big g inakuwa digested na enzymes gani?Ficha ujinga wako,hao wanaotengeneza hiyo mi compound wanakuzidi maarifa na akili!
Cha msingi tungeomba wataalam wetu waache siasa na kazi za mazoea washughulikie jambo hili haraka.
Mjibu swali plastic gani ikipikwa kaiyeuyukiWewe jiulize mchele wa wapi ukiwekwa tonhe unadunda ka kitenesi
KWa hiyo wewe wa IST unajua yote?Hivi kwa akili yako ya st kayumba,unadhani kila kitu lazima ukijue we we ndio kiwe kweli?Vitu vingapi huvijui na vipo nje ya ufahamu wako?
Kama waliweza mtengenezea ray dawa akanywa akawa mweupe vile?Ndo hata sielewi wamefanyaje mpaka plastic inayotakiwa kuyeyuka ikawa mchele upikwe na uumuke?
Mimi ninao room hapa kwa mfuko waje tuwaonyesheKwa mini msiwaite hao TFDA waje waushuhudie live ili wathibitishe,,manake walidai in rumaz tu...Kama upo basi fanyeni jitihada ijulikane upo coz kinachotakiwa in ushahidi tu. Tunza hicho kitenesi asee usikile mi sijui nimeshakula vingapi masikini wa Mungu sijawahi hata kuwaza kudundisha tonge la wali Mimi!!!!
Weka pichaMimi ninao room hapa kwa mfuko waje tuwaonyeshe
Tuna enzymes za kudigest plastic?
Watu wapuuzi Achana nao.... Wanavamia fani za watu wakiambiwa wanamwaga povu.Mimi naomba waje wataalamu wa kemia(organic chemistry) watueleze unavyoweza kuvunja bond ya plastic kwa kuichemsha kwenye maji.
Usituletee story za kijinga hapa kama kama ndio umeingia form 1. Hivi unaijua plastic wewe?Moja ya habari zilizoshtua zaidi na kufanya vijana waamke usiku huu ni video zinazosambazwa katika whatsapp groups zikionesha chakula cha wali kikigeuzwa vitenesi na kudunda kabisa..
Ikiwa ni mojawapo ya ushahidi kuwa ni mchele wa plastic.....
Mwanzo ilikuwa ni fununu lakiin kwa sasa imekuwa confirmed mchele huu upo ndani ya taifa hili..…
TBS, TFDA mko wapi jamani..........
Vijana huku tutaisha kama kuku.....
Tumechanganyikiwa jamani
hapo inabidu tuamini kwanini UDOM waliitwa vilaza na mkuu wa kayaUsituletee story za kijinga hapa kama kama ndio umeingia form 1. Hivi unaijua plastic wewe?
Kuna mchele ulikuwa unatoka china ulikuwa wa mahindi, unapika robo unatoka sufuria kubwa mbili wakaja wakaupiga marufuku..Ndo hata sielewi wamefanyaje mpaka plastic inayotakiwa kuyeyuka ikawa mchele upikwe na uumuke?
Kuna mchele ulikuwa unatoka china ulikuwa wa mahindi, unapika robo unatoka sufuria kubwa mbili wakaja wakaupiga marufuku..Ndo hata sielewi wamefanyaje mpaka plastic inayotakiwa kuyeyuka ikawa mchele upikwe na uumuke?