Mchele wa plastic waingia UDOM

Mchele wa plastic waingia UDOM

mike2k

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2016
Posts
1,601
Reaction score
3,544
Moja ya habari zilizoshtua zaidi na kufanya vijana waamke usiku huu ni video zinazosambazwa katika whatsapp groups zikionesha chakula cha wali kikigeuzwa vitenesi na kudunda kabisa..

Ikiwa ni mojawapo ya ushahidi kuwa ni mchele wa plastic.....
Mwanzo ilikuwa ni fununu lakiin kwa sasa imekuwa confirmed mchele huu upo ndani ya taifa hili..…

TBS, TFDA mko wapi jamani..........
Vijana huku tutaisha kama kuku.....
Tumechanganyikiwa jamani

Update
ASANTE KWA TBS KWA KUTOA TAARIFA YA KUTHIBITISHA KUWA MCHELE HUU HAUNA TATIZO
 

Attachments

  • TMPDOODLE1499245572357.jpg
    TMPDOODLE1499245572357.jpg
    26.8 KB · Views: 47
Video tafsdhali au picha mnato
 
yaani usiku huu ndio nimetonywa chakula kinacholetwa ofisini ni mchele Plastiki,walahi nimehorojoka kiakili kabisa maana 3months nautumia bila kujua..
 
Mzalendo anaangalia tu nguvu kazi ya taifa ikipotezwa
 
Elimu, elimu, elimu...kwa ukosefu wa elimu Watanzania wanaangamia. Clueless14, you may be clueless but this is over the board! Labda bado uko mwaka 47, pole sana!

MTU ANABISHA TU Mag3 NIDANGANYE ILI IWEJEHIZI NI ISSUE ZA AFYA TUKISEMA IENDE KISIASA WATU WANAZIDI KUANGAMIA KIMYA KIMYA TU............
 
Ngox, Info (kwa wachina) Humanities (ujasi) Huo mchele hautawaacha salama.
 
MTU ANABISHA TU Mag3 NIDANGANYE ILI IWEJEHIZI NI ISSUE ZA AFYA TUKISEMA IENDE KISIASA WATU WANAZIDI KUANGAMIA KIMYA KIMYA TU............
Wee nae !! Nimeuliza kama umeshiba wali wako wa plastic hujisikii kujibu si unakausha tu kwani sh ngapi bwana?
 
Elimu, elimu, elimu...kwa ukosefu wa elimu Watanzania wanaangamia. Clueless14, you may be clueless but this is over the board! Labda bado uko mwaka 47, pole sana!
niko mwaka 27, over the board my foot wangapi wanajua kuna mchele wa plastic Tanzania mpaka sasa?
 
Kwa mini msiwaite hao TFDA waje waushuhudie live ili wathibitishe,,manake walidai in rumaz tu...Kama upo basi fanyeni jitihada ijulikane upo coz kinachotakiwa in ushahidi tu. Tunza hicho kitenesi asee usikile mi sijui nimeshakula vingapi masikini wa Mungu sijawahi hata kuwaza kudundisha tonge la wali Mimi!!!!
 
Ujinga tu huu..... Mtu anaejua digestion hawezi kusema Ujinga huu .yaani sisi enzymes za kudigest plastic?
Acha sayansi uchwara hapa!wewe unajua sayansi wewe?Ukinywa dawa inakuwa digested na enzymes gani?Ama ukameza big g inakuwa digested na enzymes gani?Ficha ujinga wako,hao wanaotengeneza hiyo mi compound wanakuzidi maarifa na akili!
Cha msingi tungeomba wataalam wetu waache siasa na kazi za mazoea washughulikie jambo hili haraka.
 
Ndo hata sielewi wamefanyaje mpaka plastic inayotakiwa kuyeyuka ikawa mchele upikwe na uumuke?
Hivi kwa akili yako ya st kayumba,unadhani kila kitu lazima ukijue we we ndio kiwe kweli?Vitu vingapi huvijui na vipo nje ya ufahamu wako?
 
Back
Top Bottom