Mimi kinachonishangaza ni wanao jiita great thinkers kuamini kirahisi kuamini kuna mchele wa plastic...HAHAHHAHAHAElimu, Elimu,Elimu. Watu wakielimika hawawezi kuamini porojo kama hizi. Tujiulize ni watu wangapi wako hospital wanatibiwa kwa kula huo mchele? Mfumo wa uyeyushaji wa chakula tumboni hauwezi kuyeyusha plastic, kwa hiyo watu wengi sana wangekuwa wamedhurika. Hata kutafuna tu, meno gani ya binadamu yanaweza kutafuna plastic hadi kumeza??
Plastic inasifa zake (features) na mchele una sifa zake (features). Sifa (features) za mchele haziwezi kuwa za Plastic ! Kwa mfano mchele ukiliwa unageuka mavi, ila ukila plastic ni operation tu inakufaa kuokoa maisha yako. Hivyo kujadili mada kama hii inaonyesha jinsi mbumbumbu walivyo mbumbumbu. Si ajabu wale wanakijiji waliitana wakaua watu wa serikali na kuchoma moto gari lao kwa uzushi kuwa wanyonya damu. Wakati lipo shirika la damu salama, na watu huenda kwa hiari kukamuliwa damu !Ikumbukwe wiki kadhaa zimepita paliibuka uvumi wa uwepo wa mchele wa plastic hapa nchini unaosadikiwa kutoka nchini china. Lakini baada ya muda TFDA waliibuka na kusema hakuna kitu kama hicho hapa nchini.
Leo hii katika kipindi cha cha "leo tena" watangazaji wamesema huo mchele waliletewa jana na walifinyanga tonge na kuurusha chini na ulikua unadunda kabisa. Na mpaka naandika uzi huu wamesema huo mchele wanao hapo studio.
Chanzo: Clouds Fm
My Take;
TFDA badala ya kukaa ofisini mnapulizwa kiyoyozi kwa nini msikimbie hapo mikocheni kwenye studio za clouds fm mkachukue sample yao mkaipime pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unadunda ukiufinyanyanga kwa kuwa una stachi. Sio mchele tu, unga wa mhogo pia unadunda nao ni plastic?Kwani ukichukua wali wako uliopika Kwa Mchele safi Wa shambani kwako ukiudundisha utadunda au utasambaa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ccm kutatua tatizo ni kumkamata aliyesema kwamba kuna tatizoHiyo ndiyo ulivyo utendaji wa selikali ya ccm. Usisahau aliyetangaza kwamba atayakayesema mchele wa plastic akamatwe!.
Jaribu kuufinyanga ule mchele wako wa Mbeya ufinyage sana uone kama haudundi, mbona ni kawaida kwa mchele? Sasa kama hao Clouds wana maabara hapo studio na wataalam watupe maelezo ya kina. Ni upumbavu kuhitimisha kuwa mchele ni wa plastiki eti kwa kwa sababu umedunda mbona usiodunda hamtuoneshi?Ikumbukwe wiki kadhaa zimepita paliibuka uvumi wa uwepo wa mchele wa plastic hapa nchini unaosadikiwa kutoka nchini china. Lakini baada ya muda TFDA waliibuka na kusema hakuna kitu kama hicho hapa nchini.
Leo hii katika kipindi cha cha "leo tena" watangazaji wamesema huo mchele waliletewa jana na walifinyanga tonge na kuurusha chini na ulikua unadunda kabisa. Na mpaka naandika uzi huu wamesema huo mchele wanao hapo studio.
Chanzo: Clouds Fm
My Take;
TFDA badala ya kukaa ofisini mnapulizwa kiyoyozi kwa nini msikimbie hapo mikocheni kwenye studio za clouds fm mkachukue sample yao mkaipime pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati mwingine hata wasomi wa kitanzania nawaona kama bado elimu haiwasaidii!Tatizo kipimo kimekuwa too cheap yaani kuudundisha chini ukadunda kama kitenesi ndo kusema ni plastic, kwanini wasijaribu kuuchoma moto km utayeyuka na kuwa ujiuji hapo sawa. Hiyo ya kudundisha chini ni local sana
Uko sahihi sana mkuu. Ubwabwa wote hudunda ukifanywa hivyo na hiyo michezo tumeicheza sana utotoni siku kukiwa na shibe nyumbani tena kwa mchele ambao tumelima wenyewe na kuuona ukikua.Tatizo kipimo kimekuwa too cheap yaani kuudundisha chini ukadunda kama kitenesi ndo kusema ni plastic, kwanini wasijaribu kuuchoma moto km utayeyuka na kuwa ujiuji hapo sawa. Hiyo ya kudundisha chini ni local sana
Wakati mwimgine utumie akili kufikiri. Unaeza chukua tonge la wali wa mchele wa kawaida ukilidundusha likadunDa??? Huo mchele km ni kweli upo hivyo basi exactly sio wa kawaida. Vitu vingine huwa mnabisha hamtumii hata akili kufikiria???Tatizo kipimo kimekuwa too cheap yaani kuudundisha chini ukadunda kama kitenesi ndo kusema ni plastic, kwanini wasijaribu kuuchoma moto km utayeyuka na kuwa ujiuji hapo sawa. Hiyo ya kudundisha chini ni local sana
Akikujib nitagKujua kitu ni plastic au sio plastic ni kudundisha?
Me nnimeshashuhudia hiyo testing ya kudundisha wali wa michele ya aina zote mbili wa kawaida na unaoshukiwa kuwa wa plastic na yote ilidunda kwa level zinazofanana, hence majibu ya research yakawa ni negative. Labda wewe unayewaza kwa kichwa utuambie utafiti wako umefikia wapiWakati mwimgine utumie akili kufikiri. Unaeza chukua tonge la wali wa mchele wa kawaida ukilidundusha likadunDa??? Huo mchele km ni kweli upo hivyo basi exactly sio wa kawaida. Vitu vingine huwa mnabisha hamtumii hata akili kufikiria???
Sent using Jamii Forums mobile app
Wali udunde kama kitenesi? Labda kuna mapishi mapya yameibuka!Kwani ukichukua wali wako uliopika Kwa Mchele safi Wa shambani kwako ukiudundisha utadunda au utasambaa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umetisha mkuu, nitarudi kuangalia amejibu nini.Nikuulize swali Kijana wa leo hivi unaamini kabisa kwamba kuna mchele wa plastic?Hembu chukua hata bomba la dripu katakata vipande vidogo size ya mchele then bandika maji kwenye sufuria/rice cooker weka na mafuta ya kutosha bila kusahau chumvi na njegere na karoti kwa mbali then pika mpaka kiive then pakua weka kwenye sahani uone utakachokutana nacho....Haihitaji rocket science kun'gamua vitu vidogo kama hivi Mzee baba,, kwa kifupi hakuna kitu kama hicho.
Tukiambiwa tufanye tafiti za wa nyama hatuwezi,tafiti kibao hatuwezi Hata za wali tunaoula kila siku Naona hatuwezi ufanyia tafiti?? We uchukua uwe wali wa kupika nyumbani kwako au kwa mama ntilie au mgahawani viringisha tongue lako halafu lidundishe ulinganishe na majibu ya Hao BBC unaowataja hapa. Akili za kupewa changanya na za kwakoBBC walishalitolea maelezo, walisema mchele wa kawaida ukipikwa vizuri ukaviringwa kama mpira unaweza kudunda kama inavyoonyeshwa na wala siyo plastic! It is just a myth! Angalizo, hii haimaanishi tfda wasichunguze!
Sent using Jamii Forums mobile app