Doltyne
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 440
- 170
Inauma sana kuona kuna watu wanaweza kumudu magari yanayowafanya watumie laki kwa siku kununua mafuta, wengine tunafikiria bei ya mchele kufika 2700!
Haya matabaka ni ishara mbaya sana ya kutuparaganyisha. Yes tunataka mabadiliko, lakini nani wa kumuamini? Kila mtu kigeugeu... Leo hapa mimi na wewe tunaandika waraka huu, tukifika makazini kwetu tunategea majukumu na pengine hata kunyanyasa wateja na wahitaji huduma zetu, wengine tunakula rushwa na mali za uma hivi hivi kwa kisingizio nikiacha mungine atakula tu... Hili taifa lina matatizo mengi mno, siasa is just a tip of an iceberg.
Haya matabaka ni ishara mbaya sana ya kutuparaganyisha. Yes tunataka mabadiliko, lakini nani wa kumuamini? Kila mtu kigeugeu... Leo hapa mimi na wewe tunaandika waraka huu, tukifika makazini kwetu tunategea majukumu na pengine hata kunyanyasa wateja na wahitaji huduma zetu, wengine tunakula rushwa na mali za uma hivi hivi kwa kisingizio nikiacha mungine atakula tu... Hili taifa lina matatizo mengi mno, siasa is just a tip of an iceberg.