Multdealer
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 226
- 232
Ila EA Radio,Waboreshe muonekano wa ofisi yao.
Dunia ya Mapenzi au dunia gani unaisemea weweAcha masiala wewe brand ya wasafi unaweza kuifananisha na huyo millardayo ambaye anafahamita tz na Kenya tu wakati brand ya wasafi inafahamika duniani
Wasafi TV na redio kuna kitu nyuma ya pazia, hakuna hela ya kufanya haya yote ukizingatia uchumi umeangka sana na sekta binafsi zimekufa, kilichotokea ni biashara fulani inafanywa ila media inakuwa kivuli, time will tellMtangazaji maarufu wa East Africa redio, Zembwela amejiunga rasmi Leo na Wasafi FM
Ameungana na Maulid Kitenge katika kipindi cha Magazetini wakichambua wote habari hizo
View attachment 1241544
Unachotakiwa kuelewa ni kuwa millard anaitangaza brand yake kupitia radio inayosikika nchi nzima (mawingu) ambayo ina mchango mkubwa sana kwenye ukuaji wake. Eti leo atoke mawingu inayosikika nchi nzima na imempa mafanikio yote hayo, then aende radio inayoishia kongowe!Tatizo lako unajisahau yeye amesema wasafi hawawezi kumsajili millardayo ndo nikamjibu hivyo, millardayo ameajiliwa na clouds Kama ameweza kuajiliwa na clouds wasafi wanashindwaje kumsajili?
da namis sana rose chitalaNi kweli mkuu, marehemu Isack Gamba alipita pale, Regina Mwalekwa, Rose chitala na wengine wengi chimbuko lao ni pale
Of course kwasasa wasafi frequency zao zinashika dar na pwani lakini wanampango mwakani ishike karibia mikoa yote lakini kingine unashindwa kujua wasafi wamejiimarisha Sana social network ndo maana wanaweza wanafanya promo kwenye radio yao tu ya show lakini siku ya kuperform mkoani wanajaza Sana kuliko hata fiesta cos social network zao zinanguvu kuliko media yoyote so unaweza usisikie redion lakini ukapat update zao via Instagram,Facebook,Twitter na YouTube Hilo la kwanza.Unachotakiwa kuelewa ni kuwa millard anaitangaza brand yake kupitia radio inayosikika nchi nzima (mawingu) ambayo ina mchango mkubwa sana kwenye ukuaji wake. Eti leo atoke mawingu inayosikika nchi nzima na imempa mafanikio yote hayo, then aende radio inayoishia kongowe!
Nakazia Wasafi wakimsajili millard nipigwe ban ya maisha.
Hakika leo Zembwela amehamia Wasafi lakini ma-boss wa IPP hawajatoka povu kama ilivyo E Fm kwa Sebo, ila siyo Majizzo.
Yaani East Africa Radio ina watangazaji wazuri mno; wakiondoka bado wanakuja wazuri. Kifupi hawatetereki kama milima ya Uluguru.
Hivi wanapojiunga na Wasafi wanakuwa wameshajihakikishia Job security? Kwasababu ile ni Limited organization.Mtangazaji maarufu wa East Africa redio, Zembwela amejiunga rasmi Leo na Wasafi FM
Ameungana na Maulid Kitenge katika kipindi cha Magazetini wakichambua wote habari hizo
View attachment 1241544
Kwani mmiliki wa media hiyo ni nani? Unaweza kua fedha usidharau.Wasafi TV na redio kuna kitu nyuma ya pazia, hakuna hela ya kufanya haya yote ukizingatia uchumi umeangka sana na sekta binafsi zimekufa, kilichotokea ni biashara fulani inafanywa ila media inakuwa kivuli, time will tell
Pia haikuwa msaada alikuwa anafanya kazi. Kaipaisha sana EATV na radio.Hio sababu ni dhaifu..mtu akikusaidia haimaanishi inatakiwa uwe kijakazi/mtumwa/mfanyakazi wake daima..Saidia sepa zako. Au wewe hujawahi kusaidiwa? Kama ndio je wote waliokusaidia kwa lolote upo nao karibu mno?
For sure.. bado sana akili zetu zimegandaPia haikuwa msaada alikuwa anafanya kazi. Kaipaisha sana EATV na radio.
Sasa kwani afananishwe milard ayo na wasafi ?Huwezi kufananisha wasafi tv na online tv nikuwakosea heshima wasafi labda ayo tv uifananishe na dauda tv.
Subira ya Vuta kheri #mudaWasafi TV na redio kuna kitu nyuma ya pazia, hakuna hela ya kufanya haya yote ukizingatia uchumi umeangka sana na sekta binafsi zimekufa, kilichotokea ni biashara fulani inafanywa ila media inakuwa kivuli, time will tell
Hawalip mishahara ndomana wanahamaHakika leo Zembwela amehamia Wasafi lakini ma-boss wa IPP hawajatoka povu kama ilivyo E Fm kwa Sebo, ila siyo Majizzo.
Yaani East Africa Radio ina watangazaji wazuri mno; wakiondoka bado wanakuja wazuri. Kifupi hawatetereki kama milima ya Uluguru.
Hao watangazaji ni wa miaka ya 80. Sasa hivi tunaenda kisasa....Redio nyingi bongo Kwan Kuna watangazaji
Hivi mpoki naye mtangazaji?????
Bdozen naye mtangazjiiiii
Watangazaji wako RTD tu
Ova
Hautaki?Ina maana Kahama EATV & Radio?