Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 437
Idara ya habari Tanzania na wao yamewakuta kwa kutupiwa vyombo na thamani zao nje na shirika la nyumba kwa kushindwa kulipa kodi ya pango.
NHC hawana utani na watu siku hizi....ndo hivyo inapaswa iwe.