cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
yaani hapo ndio basi kabisa. Mnavyonitisha badala yakunipa solution sipati picha.
sasa hapa kinachokutisha ni nini my dear?badala yakitishika na hali ya hatar uliyonayo unatishika kwa hizi kaul za wana jf?
solution umepewa,wengi wamekushauri kujisogeza karibu na mungu lkn bado unaona hujapewa suluhu?
okay,mm kwakukuongezea,nadhan tatizo lako pia liko kisaikolojia,maana saikolojia inasema personalities au tabia zetu za ukubwani ni zao la mazingira na mambo tuliyopitia utoton.ukipata psychoterapst mzuri akakufanyia personal counceling anaweza kukijua chanzo cha hii roho inayokupelekea kuwa na tabia hizi zinazohatarisha maisha yako.
Mungu hajakuumba uwe chovyachovya,hebu mruhusu Mungu akufanye uwe yule utakayependeza machoni pake.
Unaouwezo wakuilaani hiyo roho,nakuhakikishia ukimruhusu Yesu a-take over utakuja kutushuhudia kuwa umepata binti unayetaman muote mvi pamoja.Mjaribu Mungu wetu Jehovah nguvu zake ni kubwa kiasi kwamba mbele zake tatizo lako ni dogo hata kwa microscope yenye nguvu kali halionekani.
Mungu wangu hajawahi kushindwa na cha ajabu anakupenda sana pamoja na kwamba ww ni chovyachovya,hebu mjaribu upate ushuhuda wako.