Jamani mi najishangaa sijui nimerogwa yaani nikishamfunua tu msichana mara moja hata kama ni mrembo vipi sitamani hata kurudia tena hadi nipate mwingine nakuwa namuona kero nnachojali ni mahitaji yake yakimatumizi tu. Nashindwa kujielewa kabisa kuwa ninatatizo gani?
Kwanza pole sana, inavyoelekea una pepo la ngono, haiwezekani uwe hivyo, unataka kuniambia hutaoa? Acha uasherati, na waone watumishi wa Mungu watakuombea hilo pepo liondoke, likishatoka tulia haf baadaye uoe mkeo, uasherati si mzuri kabisautaishia pabaya.