Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 70,947
- 126,467
Kwa hizi post za kipuuzi ndio mnategemea kunivuruga cdm?Bavicha wanashindwa vipi kushughulika na wanaobagaza chadrma mitandaoni?
Kwa hizi post za kipuuzi ndio mnategemea kunivuruga cdm?Bavicha wanashindwa vipi kushughulika na wanaobagaza chadrma mitandaoni?
Think tank la chadema hilooooo linamwaga points🤣🤣🤣🤣🤣Pumbavu,.mnawatumia hao wapuuzi kwa kuwaongopea watasema ni demokrasia. Un atoa tuhuma dhibitisha. Kinyume na hapo nenda ccm ukaungane na wanaokutuma.
cdm shikilieni hapo hapo, vyama vingi vimedhoofishwa kwa hao wapuuzi wanaotumika kwa bei rahisi.
Kama una uhakika na hilo basi hongera. Hata hivyo, nilifikiri nyie mtafanya tofauti Ili watu wawaamini kumbe............Propaganda za kina nyamitako sisi wakongwe tumezipitia huwa tunazipuuza CCM hawajawahi kuwaambia wanachama wao mapato ya chama yanaendaga wapi luzuku ya CCM NI KUBWA lakini hata siku moja makasuku ya lumumba hayajawahi kata kuhoji luzuku ya chama inatumikaje menyewe yapo busy kuuliza tone tone ya chama ambacho hakisimamii hata halimashauli moja tu hapa tz tusiingie mkenge wa haya majambazi yamefilisi nchi hata aibu hayana
Wapi chadema inasimamia Kodi za wananchi ili uione tofauti nyambafu.Kama una uhakika na hilo basi hongera. Hata hivyo, nilifikiri nyie mtafanya tofauti Ili watu wawaamini kumbe............
Dogo, kama una miaka 7 basi Bado kujadili haya mambo. Tulia nyumbani.Wapi chadema inasimamia Kodi za wananchi ili uione tofauti nyambafu.
Wewe ni mgeni hapa jukwaani ungeomba Kwanza ushauli kwa wakongwe siokuteseka kwa buku 7Dogo, kama una miaka 7 basi Bado kujadili haya mambo. Tulia nyumbani.
Wee chawa wa mama,IMEGEUKA KUWA KOSA PALE KIONGOZI ANAPOKOSOLEWA,HILI NI BAYA SANA,INAPOSHINDIKANA KUJIKOSOA MTAWEZAJE KUKOSOA WENGINE?,
Swala ni,kuna fedha hizi,na zile,na zile?,tuonyeshe zipo wapi?,au zimetumikaje?(Ndiyo swala la msingi)Pumbavu,.mnawatumia hao wapuuzi kwa kuwaongopea watasema ni demokrasia. Un atoa tuhuma dhibitisha. Kinyume na hapo nenda ccm ukaungane na wanaokutuma.
cdm shikilieni hapo hapo, vyama vingi vimedhoofishwa kwa hao wapuuzi wanaotumika kwa bei rahisi.
Wewe unajulikana ni ccm lia lia,Swala ni,kuna fedha hizi,na zile,na zile?,tuonyeshe zipo wapi?,au zimetumikaje?(Ndiyo swala la msingi)
Majibu yawe,fungu lile tuligawa matawini,zile tulitumia kwa mafuta,malazi na chakula,na zileee,zilitumika kulipia ofisi mbalimbali za vyama kote mikoani!
Ndugu Tindo hili ndilo linalotakiwa kwa fedha ambazo ni za umma,au wanachama.
#Unapotumia cheo chako kujichotea na kuwafunga wanachama midomo kwa kufukuza wengine kisa tu wamehoji,HILO SIYO SAWA!...NI WIZI HUU.
Buku 7 itanitesa vipi wakati naipata?!! Inakitesa wewe unaeitoa kumpa heche ashibishe Malaya huko ubelgiji😆😆😆Wewe ni mgeni hapa jukwaani ungeomba Kwanza ushauli kwa wakongwe siokuteseka kwa buku 7
Think tank la chadema hilooooo likipangua hoja za ufisadi chamani kwao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe unajulikana ni ccm lia lia,
Mambo ya Chadema yanakuhusu vipi?
Mapato na matumizi ya chama chako ccm unayajua??
Umepata kusoma Ripoti za CAG kuhusu ufisadi wa kutisha wa watawala wako wa ccm???
Dogo nitake radhi, mie ni timu Lumumba ila napenda HakiThink tank la chadema hilooooo likipangua hoja za ufisadi chamani kwao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Inasikitisha Sana kijana Kama wewe kutumika na Wana u me wenzako Kama condom Kisha unakuja hapa kujisifu zeroooo kabisaBuku 7 itanitesa vipi wakati naipata?!! Inakitesa wewe unaeitoa kumpa heche ashibishe Malaya huko ubelgiji😆😆😆
Huku wakikuacha umeganda humu kuwatetea na kuzisifia ndevu zao walizoanza kufuga Huku domo likiwa linakunuka kwa kuchacha (kuusu)
Hivi vyama tunavyovitegemea vinatuonyesha taswira mbaya sana/ kumbe havina usafi wowote ule!,ni mle mle tu.(Huyu fisadi mdogo,huyu mzoefu,huyu fisadi mpya mwanafunzi)Wewe unajulikana ni ccm lia lia,
Mambo ya Chadema yanakuhusu vipi?
Mapato na matumizi ya chama chako ccm unayajua??
Umepata kusoma Ripoti za CAG kuhusu ufisadi wa kutisha wa watawala wako wa ccm???
Wewe si ndo umesema natumika huko Lumumba?!! Nikikuambia kuwa mi nipo kivyangu tu hautoamini hivyo nimekuachia uongozi katika hilo.Inasikitisha Sana kijana Kama wewe kutumika na Wana u me wenzako Kama condom Kisha unakuja hapa kujisifu zeroooo kabisa
Wewe CHAWA wa ccm,Hivi vyama tunavyovitegemea vinatuonyesha taswira mbaya sana/ kumbe havina usafi wowote ule!,ni mle mle tu.(Huyu fisadi mdogo,huyu mzoefu,huyu fisadi mpya mwanafunzi)
Mie natumika na watanzania wapenda haki nipo hapa kuyapinga maovu yote ya ccm Kama kuuwa kina Mawazo kule katoro kuteka watu Kama kina Azory Mdude Soka Ben Kangoye nkWewe si ndo umesema natumika huko Lumumba?!! Nikikuambia kuwa mi nipo kivyangu tu hautoamini hivyo nimekuachia uongozi katika hilo.
Enhe; vp wewe, haupo hapa kama matumizi tu ya kina heche?!!!
Sawa, hivi ni lini ulikemea matusi na shari zingine?!!! Mi pia nipo na watanzania wapenda amani, maendeleo na maelewano.Mie natumika na watanzania wapenda haki nipo hapa kuyapinga maovu yote ya ccm Kama kuuwa kina Mawazo kule katoro kuteka watu Kama kina Azory Mdude Soka Ben Kangoye nk