Mchawi akwama hapa Ilula Iringa

Hi Ni cinema tu.Mchawi akitaka kupaa usiku mwili wake anauacha kitandani. Kinacho paa ni kivuli chake ambacho hakina mwili wa nyama.

So hata Mchawi Aki " kwama" kwenye mji wa mtu kama baadhi ya watu mnavyo aminishwa including wewe ulie tengeneza sinema hii, hawezi kuonekana kwa macho ya nyama.

So huu ni mchezo tu. Mwenye nyumba anatakiwa akamatwe Mara moja na.kuhojiwa amekusudia kufanya jambo gani?
 
Endeleen kutoamin mpaka waje wawakabe kwanza,
Nimewahi tangaza hadi dau mtu aje kunikaba nikiwa ninefunga mlango..
Asibomoe mlango ,aingie tu kimiujiza.

Lakini hakuna aliyekuja..
Hata kama wewe unaweza hio mambo dau bado lipo.. njoo unikabe pesa unaondoka nayo
 
Wizara ya utamaduni iwaboreshee tu mazingira kuwe na aina mbili za usafiri wa anga
 
Wabena Mungu anawaona.

Kutoka 22:18 '' Usimwache mwanamke mchawi kuishi.''
 
Watu wapo location kushoot movie mpya ya bongo.
Tokea lini Mchawi akatake off akiwa na nguo zake?
Mshana Jr ukuje huku utuambie kama huyu ni original au wa kichina
 
Safi, tuutumie kuzalisha mfano kukoboa mpunga jwa uchawi, kuvuna kwa uchawi, usafiri tutumie mabeseni tu kwenda sehemu mbali mbali kwa dk chache kbs au tucheki mfano mzuri katika #HarryPorter
Ili uwe kitu kizuri tuutumiaje
 
Mi kitu kinachonipa fikra ni ile kasi kwenye kuhimili upepo. Pikipiki tu inaenda speed ya 120km\h lakini machozi yanatoka kwa upepo. Je hii inayoenda lindi to mwanza na kurudi kwa usiku mmoja anahimili vipi huo upepo
 
Yah hii ndiyo asili yetu lazima tujivunie,Hawa wetu ndiyo Wataalamu wa kwanza Duniani lakini kila siku tunawabeza,.Nimpongeze tu huyo Dada kuwa na Technology ya kuruka bila kutumia Umeme wala Mafuta,Big up Sister.
 
Tunaweza tumia kusafirisha wagonjwa mahututi haraka
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…