Mchango wa vyombo vya habari na wanasiasa katika uvunjifu wa amani

luckman

JF-Expert Member
Oct 11, 2010
1,211
371
Kuna baadhi ya watu au vyombo hapo mbeleni tunapoenda tutakuja kuelezena vizuri kwa michango yao katika hii nchi, mfano gazeti la uhuru-ccm kidedea igunga!nape mnauye-ccm yashinda igunga hadi katoa takwimu, haya ni baadhi, sasa ikiwa mtu kasoma hizi habari au kazisikia unamjengea nini mambo yakitangazwa tofauti??mtu kama nape ni kiongozi wa chama kitaifa lakini hatumii akili kufikiri hata kidogo! Rai yangu!vyombo husika vihukue hatua juu ya hawa watu na vyombo husika!machafuko ya rwanda, moja ya visababishi ilikuwa vyombo vya habari na matamshi ya wanasiasa!
 
Back
Top Bottom