Mchango wa Rais Mkapa katika Mwalimu Nyerere Foundation

Topical;3504738]JK hakuwekwa na Mkapa wala Nyerere in fact hawa walitaka kum-block asifike mahali..for reasons best known to themselves
Haa! hivi huoni sababu za kwanini walitaka kum-block!!! I mean you don't see it! Mi nadhani tulipaswa tuwashukuru kwa hilo halafu tuwalaumu kwanini hawakukaza uzi.

Wakuu,Mkapa Kila akitaka kutamka MNF anapata kitu kinaitwa 'guilty conscience'
Tumpongeze kwa kujitambua kuwa yeye ni Kenge na hawezi kuwa katika kundi la Simba
 
Haa! hivi huoni sababu za kwanini walitaka kum-block!!! I mean you don't see it! Mi nadhani tulipaswa tuwashukuru kwa hilo halafu tuwalaumu kwanini hawakukaza uzi.

Wakuu,Mkapa Kila akitaka kutamka MNF anapata kitu kinaitwa 'guilty conscience'
Tumpongeze kwa kujitambua kuwa yeye ni Kenge na hawezi kuwa katika kundi la Simba

Sijaona sababu yeyote wewe uliona nijuze mkuu...

Mkapa amekuwa kenge tena?
 
Mnatetea kitu hata hamjui faida moja ..hata kuitaja tu? kazi..

Wazungu wanahusika vipi kwenye mjadala mkuu..acheni excuses..nitajie umuhimu wake kwa taifa?

Topical bwana..... ukishaona Jia nyerere.....
Faida moja ya taassi hii ndiyo pekee bado pekee inakumbusha kumbusha na kupigia kelee CCM kuwa wanatakiwa kuhamia DODOMA....... Waunge mkono japo kwa hilo basi
 
Mhh, MkamaP, naona unapishana na ukweli.

Hiyo nyumba nimesikia inajengwa wakati Mkapa ni Waziri wa Elimu ....... Kubali tu umeteleza, hihihiiiiii....
 
Topical bwana..... ukishaona Jia nyerere.....
Faida moja ya taassi hii ndiyo pekee bado pekee inakumbusha kumbusha na kupigia kelee CCM kuwa wanatakiwa kuhamia DODOMA....... Waunge mkono japo kwa hilo basi

Kwa hilo nitawaunga mkono, basi wakajenga jengo lao karibu na CDA hapa dodoma kwakuwa malengo mamoja...
 
Mkitaka kuamini mzee mkapa sio tafuta mpemba aliekumbwa na ule msukomsuko waliopewa na mkapa alivowaua wapemba hutampenda kamwe
 
Ujenzi wa nyumba hii ulipoanza, wanajeshi walikatwa mishahara yao kuchangia gharama za ujenzi. Hata hivyo baadaye Serikali ya awamu ya pili ya Rais Ali Hassan Mwinyi ilichukuwa jukumu la kuendeleza ujenzi ambao uliisha wakati wa Serikali ya awamu ya tatu ya Rais. Benjamin Mkapa, na kukabidhiwa kwa Mwalimu Nyerere

Source: Hizi ndizo nyumba za Mwalimu Julius K. Nyerere - wavuti.com*
MkamaP
Kauli hiyo inakusuta kwamba nyumba ya Mwalimu haikujengewa na Mkapa. Case closed
 
Jasusi hio ya akina Kagame, imenistua. tuendelee kujadili as wengine tunajua tusiyoyajua.
 
...Ninamlaumu Mkapa kwa mambo mengi lakini katu kutoisaidia taasisi ya MNF haliwezi kuwa mojawapo, kuifanya hii kama
ni issue ni dalili za kuishiwa hoja...

...Mkapa kama binadamu mwingine yoyote ana wajibu wa kimsingi wa kujenga legacy yake mwenyewe, badala ya kutumia resources zake kwa ajili ya MNF ameamua kutumia muda na resources zake kwa ajili ya Mkapa Foundation,http://www.mkapahivfoundation.org/, ni uamuzi wake na ana haki kufanya hivyo; Ana wajibu wa msingi wa kutumia muda wake mwingi zaidi kufanya vitu vitakavyoifanya historia imkumbuke kama Mkapa na sio kuishi tu kwenye kivuli cha Nyerere maisha yake yote...

...Mwisho wa siku Nyerere ataendelea kukumbukwa kwa legacy aliyoijenga mwenyewe kwa nguvu na juhudi zake wakati alipokuwa hai, na ni wakati sasa wa akina Mkapa na Kikwete kuweka alama zao wenyewe ili historia isiwatupe mkono...
 
...Ninamlaumu Mkapa kwa mambo mengi lakini katu kutoisaidia taasisi ya MNF haliwezi kuwa mojawapo, kuifanya hii kama
ni issue ni dalili za kuishiwa hoja...

@Butola, kiini cha hii hoja ni kwa sababu Benjamini William Nyerere (sorry Mkapa) anaongea kama yeye ni mwanafamilia ya Nyerere tena mwenye kujua nani mtoto haramu na nani sio haramu (I dont like neno haramu lakini ndio hivyo tena). Sasa kama mwanafamilia tunauliza tu amesaidiaje taasisi ya marehemu baba yake?
 
Hasa kama unataka Rais wa nchi achangie (muda + other resources) kwenye taasisi ambayo wanazi wake hamuwezi kusema umuhimu wake kwa Taifa??

Rais ni Jamhuri muda wake ni kwa ajili ya umma


Rais siyo jamhuri; haya ndio mawazo tunayotakiwa kuanza kuyakataa! Sijui umetoa wapi mawazo ya kumhusisha Rais na Jamhuri kuwa ni kitu kimoja. Tuna kazi si ndogo.
 
Rais siyo jamhuri; haya ndio mawazo tunayotakiwa kuanza kuyakataa! Sijui umetoa wapi mawazo ya kumhusisha Rais na Jamhuri kuwa ni kitu kimoja. Tuna kazi si ndogo.

Ulitaka achangie taasisi ya mwalimu st nyerere kwa umuhimu gani kwa taifa? jibu swali siyo unazungukazungaka?

Mara mumtuhumu kamuua tena mnataka awachangie nyie watoto wa st. nyerere vipi?
 
@Butola, kiini cha hii hoja ni kwa sababu Benjamini William Nyerere (sorry Mkapa) anaongea kama yeye ni mwanafamilia ya Nyerere tena mwenye kujua nani mtoto haramu na nani sio haramu (I dont like neno haramu lakini ndio hivyo tena). Sasa kama mwanafamilia tunauliza tu amesaidiaje taasisi ya marehemu baba yake?

...Lakini ata mtoto pia ana wajibu wa kutengeneza historia yake mwenyewe badala ya kubakia tu kwenye kivuli cha baba...
 
...Ninamlaumu Mkapa kwa mambo mengi lakini katu kutoisaidia taasisi ya MNF haliwezi kuwa mojawapo, kuifanya hii kama
ni issue ni dalili za kuishiwa hoja...

...Mkapa kama binadamu mwingine yoyote ana wajibu wa kimsingi wa kujenga legacy yake mwenyewe, badala ya kutumia resources zake kwa ajili ya MNF ameamua kutumia muda na resources zake kwa ajili ya Mkapa Foundation,Welcome to the BENJAMIN WILLIAM MKAPA HIV/AIDS FOUNDATION, ni uamuzi wake na ana haki kufanya hivyo; Ana wajibu wa msingi wa kutumia muda wake mwingi zaidi kufanya vitu vitakavyoifanya historia imkumbuke kama Mkapa na sio kuishi tu kwenye kivuli cha Nyerere maisha yake yote...

...Mwisho wa siku Nyerere ataendelea kukumbukwa kwa legacy aliyoijenga mwenyewe kwa nguvu na juhudi zake wakati alipokuwa hai, na ni wakati sasa wa akina Mkapa na Kikwete kuweka alama zao wenyewe ili historia isiwatupe mkono...

Umesahu hii taasisi ya mkapa si mkapa fundation tu bali Ni bill cinton and mkapa. MMja anatsha fedha mwingine anatumia fedha. Na haya mmbo ya HIV parecent ngapi ya matumizi ya hiyo faundation inawenda direct kwenye resecrh za kisayansi za wanaysi wetu hapa Tanzania.

haya mambo ya ukimwi ndiyo wanaleta misadaa kumbe miii ya waafria ndiyo natumika kwanza kwa mjribio ya dawa zao. wakiona safi ndio na wao wanawapa watu wao. hakuna legacy yeyote kwenye mambo ya HIV kwa kufanya semina.
 
Nimesema mahali popote suala la fedha?

Zimbabwe, DRC, Kenya. Mkapa amejitahidi kwenye mediation.
Simkubali Mkapa kwa ufisadi wake directly and indirectly.
Ila kwenye MNF he is the only active leader.
Quite the oppossite of what you are trying so hard to portray.
 
Back
Top Bottom