Umesahu hii taasisi ya mkapa si mkapa fundation tu bali Ni bill cinton and mkapa. MMja anatsha fedha mwingine anatumia fedha. Na haya mmbo ya HIV parecent ngapi ya matumizi ya hiyo faundation inawenda direct kwenye resecrh za kisayansi za wanaysi wetu hapa Tanzania.
haya mambo ya ukimwi ndiyo wanaleta misadaa kumbe miii ya waafria ndiyo natumika kwanza kwa mjribio ya dawa zao. wakiona safi ndio na wao wanawapa watu wao. hakuna legacy yeyote kwenye mambo ya HIV kwa kufanya semina.
Acha hizo hiyo Mkapa foundation inasaidia madktari kufanya kazi katika maeneo vijijini na mambo mengine ya HIV
Ni msaada mkubwa kwa maisha ya wagonjwa wa HIV na madaktari wetu...
tuambie bac hiyo ya nyerere ina umhimu gani kwa wanadamu, thread pg. 5 hakuna hata mnaazi moja wa st. ametuambia faida yake..