JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 625
- 938
AZAKI zinatoa huduma mbali mbali katika jamii ambazo zinalenga kuboresha maisha na kulinda haki za Watanzania.
AZAKI zimekuwa sauti ya jamii na chachu ya mabadiliko ya kisera na mifumo mbali mbali ya nchi.
Tofauti na makundi mengine AZAKI zimekuwa zikiibua changamoto katika jamii
AZAKI zina ishauri Serikali na vyombo husika namna ya kuzitatua
Wakati mwingine AZAKI zenyewe zimechukua jukumu la kuzitatua changamoto hizo za kijamii kupitia wahisani mbalimbali