Mbona wewe ulimkana Maswi juu ya PAP mpaka aka kulipua ?Kaka kwanini John Mnyika alimkana Malya?
Mbona wewe ulimkana Maswi juu ya PAP mpaka aka kulipua ?Kaka kwanini John Mnyika alimkana Malya?
Sikushanga mlipompigia magoti kwenye wabunge kivuli mtu mliyokua mnamwita Sisimizi au amekua tembo siku hizo?Eti una hasira kuwa suala la Escrow hali kuchukuliwa uzito ili kukupaisha kisiasa ? Eti ulifanywa lobbying umpatie Helkoptauruke nchi nzima ?
So wewe ni kivuli cha Zitto, Mchange ama ACT ?Endeleeni kukimbizana na vivuli si ndo zenu.Wewe ni msukule tu huna Jipya na wala huwezi jua Misingi ya CDM ni ipi?
Mtendaji Mkuu hajui katiba ya CDM sembuse wewe Msukule
Zitto , mabilioni alikuwa hana ushahidi wala nyaraka alikuwa akikimbizana na upepo ndio maana alipo yakiwa kutoa ushahidi kapotea , na bado ile taasisi ya kimataifa iliyompatia fedha za kukusanya ushahidi inataka ripoti ya fedha ameshindwa kuitoa , ataumbuka soon ......Sikushanga mlipompigia magoti kwenye wabunge kivuli mtu mliyokua mnamwita Sisimizi au amekua tembo siku hizo?
Inafahamika mlivyo wabinafsi mkaona mkimsupport ZZK kwenye mabilioni faida ingekua ya ZZK na sio CDM.Kafulila akaleta hoja mkaona noma mkatoa kapress ka kitoto kwasabu hamko kwa maslai ya watanzania mnchokiangalia ni political existence tu.
Pengine nakuonea wewe ni msukule tu huna unachojua ndani ya CDM.Mbona wewe ulimkana Maswi juu ya PAP mpaka aka kulipua ?
Ulitaka uungwe mkono ili iweje? Si ungewaacha kwenye Mataa baada ya viji senti kama ilivyo leo hata huongei juu ya Escrow? Umeambiwa. Kaa kimya maana kuna video ya Sea Cliff hoteli itamuumbua Zito na yule mwanasheria wake wakiwa nacsingasinga wa PAP ? ,,,,, ungeungwa mkono si ungesgasepa then aibu ingekuwa ya wote ?Sikushanga mlipompigia magoti kwenye wabunge kivuli mtu mliyokua mnamwita Sisimizi au amekua tembo siku hizo?
Inafahamika mlivyo wabinafsi mkaona mkimsupport ZZK kwenye mabilioni faida ingekua ya ZZK na sio CDM.Kafulila akaleta hoja mkaona noma mkatoa kapress ka kitoto kwasabu hamko kwa maslai ya watanzania mnchokiangalia ni political existence tu.
Mkuu kwa comment hii umesha mjadili! Unaonaje ufisadi wa kamannda Tundu Lissu na kulazimisha Dada yake kupewa ubunge?!Habibu Mchange ni Interahamwe; tusimpe sifa kwa kumjadili
Sasa mbona upo nje ya mada ? Zitto alikudanganya kuwa Tanzania Daima ni la chadema? Maana ni kawaida ya Zitto kuwalisha upepo eti yeye ndio Chadema , akiguswa tu inameguka sasa anashuhudia jinsi inavyosonga mbele kwa kasi ya ajabu..........so najua unaalishwa upepo nawe unaumeza tuu.......Pengine nakuonea wewe ni msukule tu huna unachojua ndani ya CDM.
Ila ukiwaona hao wanakupa buku mbili mbili waulize ilikuaje Mnyika akamkana Malya? Ilikuaje katibu mkuu hajui katiba ya CDM na pia vipi ile kesi walisema wanamfungulia Nape kuhusu pesa za Ugeruman? Ilikuaje Mbowe kupokea Mamilioni toka kwa Mkono Na mwisho vipi Tanzania Daima ni la Chama? Pesa za uanzishaji wa hilo gazeti zilitoka wapi?
Ndo maana mkaungana na Werema? Hamko kutetea maslai ya watanzania Slaa yule aliyekua anawapigania Watanzania si huyu anayekipagania chama kuangali kitu gani kitakua na Maslai ya Chama tu.Zitto , mabilioni alikuwa hana ushahidi wala nyaraka alikuwa akikimbizana na upepo ndio maana alipo yakiwa kutoa ushahidi kapotea , na bado ile taasisi ya kimataifa iliyompatia fedha za kukusanya ushahidi inataka ripoti ya fedha ameshindwa kuitoa , ataumbuka soon ......
R:I😛 Chacha Wangwe!Pengine nakuonea wewe ni msukule tu huna unachojua ndani ya CDM.
Ila ukiwaona hao wanakupa buku mbili mbili waulize ilikuaje Mnyika akamkana Malya? Ilikuaje katibu mkuu hajui katiba ya CDM na pia vipi ile kesi walisema wanamfungulia Nape kuhusu pesa za Ugeruman? Ilikuaje Mbowe kupokea Mamilioni toka kwa Mkono Na mwisho vipi Tanzania Daima ni la Chama? Pesa za uanzishaji wa hilo gazeti zilitoka wapi?
Hivi unajua kuwa aliyepeleka nyaraka za ufisadi wa Zitto pale NSSF ....ni huyu huyu Mchange? Pia ndio alimpelekea ushahidi wa PAP kumuona Zitto kupitia kwa wakili wake na Mchange ndio akiwa rekodi ....ni taarifa tu....
usijitie uchizi.Alimkana lini na wapi?
Ubunge wa viti maalum aulizwe Kitila Mkumbo , Lissu wala hakuwa mjumbe wa kamati kuu wakati huo !!!!!Mkuu kwa comment hii umesha mjadili! Unaonaje ufisadi wa kamannda Tundu Lissu na kulazimisha Dada yake kupewa ubunge?!
Imechuja hii njooni na nyingine.R:I😛 Chacha Wangwe!
Si unatetea wewe? Maana umeponzwa na Swahiba wako Zitto na hasa baada ya Mchange ku rekodi pale sea cliff hoteli akiwa na Singasinga wa PAP na mwanasheria wake waki vuta mpunga wa Escrow .........leo uko kimya maana umeambiwa utapoozwa sio ?Ndo maana mkaungana na Werema? Hamko kutetea maslai ya watanzania Slaa yule aliyekua anawapigania Watanzania si huyu anayekipagania chama kuangali kitu gani kitakua na Maslai ya Chama tu.
Muulize Zitto kwanini alikuponza ? Leo ungekuwa mbunge mashuhuri , ila ulipelekwa timu dhaifu tena kwa mkopo ......Sipo hapa kumtetea mtu Chadema ndo waasisi wa hizi siasa za kipuuzi.