Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,535
- 30,599
Je ukizisaga karaga zikawa tui kisha ukichanganya na huo mchanganyiko mwingine kuna shida ?Yeah blenda inatakiwa kuwa vizuri, la sivyo hazisagiki
Je ukizisaga karaga zikawa tui kisha ukichanganya na huo mchanganyiko mwingine kuna shida ?Yeah blenda inatakiwa kuwa vizuri, la sivyo hazisagiki
Mmhh hii sijui, sidhani kama utapata ile ladha ya kusavisaga pamoja.....kama hauwezi siku hizi sehemu za bar kuna wadada wanatengeneza fresh juice hiyo pia wanatengenezaJe ukizisaga karaga zikawa tui kisha ukichanganya na huo mchanganyiko mwingine kuna shida ?