Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

wana JF nisaidieni. mimi nina kibiashara changu cha mtaani sasa nimekisajiri na nikataka mkopo ili kiweze kuongezeka,nimeambiwa niwasilishe andiko la biashara( naamini ni business plan). mimi sijawahi na sijui kuandika business plan . naomba mwenye mfano wa hiyo anisaidie ili niweze kufanya hivyo na biashara yangu ipendeze. nawasubiri wapioganaji wangu
 
wana JF nisaidieni. mimi nina kibiashara changu cha mtaani sasa nimekisajiri na nikataka mkopo ili kiweze kuongezeka,nimeambiwa niwasilishe andiko la biashara( naamini ni business plan). mimi sijawahi na sijui kuandika business plan . naomba mwenye mfano wa hiyo anisaidie ili niweze kufanya hivyo na biashara yangu ipendeze. nawasubiri wapioganaji wangu

Ntafute na mimi!
 
Mkuu niambie ni aina gani ya biashara nikutafutie sample business plan zinazoendana, ili iwe rahisi kwako ku-zi customise. Database yangu ina business plan nyingi sana nitakupatia bureeee!
Na ukihitaji mtaalam akufanyie kwa gharama mtakayoelewana nitakupatia contacts.
wana JF nisaidieni. mimi nina kibiashara changu cha mtaani sasa nimekisajiri na nikataka mkopo ili kiweze kuongezeka,nimeambiwa niwasilishe <b>andiko la biashara(</b> naamini ni business plan). mimi sijawahi na sijui kuandika business plan . naomba mwenye mfano wa hiyo anisaidie ili niweze kufanya hivyo na biashara yangu ipendeze. nawasubiri wapioganaji wangu
<br />
<br />
 
Mkuu niambie ni aina gani ya biashara nikutafutie sample business plan zinazoendana, ili iwe rahisi kwako ku-zi customise. Database yangu ina business plan nyingi sana nitakupatia bureeee!
Na ukihitaji mtaalam akufanyie kwa gharama mtakayoelewana nitakupatia contacts.
<br />
<br />
napenda wadanganyika walio tayari kujitoa kwa wengine thus good!
 
Kuna biashara nyingi na za aina mbalimbali, na hata business plan inaandaliwa kadiri ya aina ya biashara na mfumo wa biashara unayokusudia kuanzisha.
Ungejaribu kutuhabarisha biashara yako iko kwenye category gani ili wengi hapa wakupe dondoo zenye kukusaidia mjengo wa business plan yako.

Dondoo za hapo chini ni za msingi ambazo kila aina ya business plan inabidi ijikite kwenye mjengo huo. Kama utakusaidia thats wonderful ever, if not feel free to ask, we are here to exchange ideas, and what ever possible to help each other. So lets communicate.


How to write a business plan
There is no single formula for developing a business plan, but some elements are consistent throughout all business plans. Your plan should include an executive summary, a description of the business, a plan for how you will market and manage your business, financial projections and the appropriate supporting documents.

To help you get started in writing your business plan, follow the summarized essential elements in the outlined below.
  1. Cover sheet
  2. Executive summary (statement of the business purpose)
  3. Table of contents
  4. Body of the document
    1. Business
      1. Description of business
      2. Marketing
      3. Competition
      4. Operating procedures
      5. Personnel
      6. Business insurance
    2. Financial data
      1. Loan applications
      2. Capital equipment and supply list
      3. Balance sheet
      4. Breakeven analysis
      5. Profit and loss statements
      6. Three-year summary
      7. Detail by month, first year
      8. Detail by quarters, second and third year
      9. Assumptions upon which projections were based
      10. Pro-forma cash flow
    3. Supporting documents
      1. Tax returns of principals (partners in the business) for last three years, personal financial statements (all banks have these forms)
      2. Copy of franchise contract and all supporting documents provided by the franchisor (for franchise businesses)
      3. Copy of proposed lease or purchase agreement for building space
      4. Copy of licenses and other legal documents
      5. Copy of resumes of all principals
      6. Copies of letters of intent from suppliers, etc.



 
Kuna biashara nyingi na za aina mbalimbali, na hata business plan inaandaliwa kadiri ya aina ya biashara na mfumo wa biashara unayokusudia kuanzisha.
Ungejaribu kutuhabarisha biashara yako iko kwenye category gani ili wengi hapa wakupe dondoo zenye kukusaidia mjengo wa business plan yako.

Dondoo za hapo chini ni za msingi ambazo kila aina ya business plan inabidi ijikite kwenye mjengo huo. Kama utakusaidia thats wonderful ever, if not feel free to ask, we are here to exchange ideas, and what ever possible to help each other. So lets communicate.


How to write a business plan
There is no single formula for developing a business plan, but some elements are consistent throughout all business plans. Your plan should include an executive summary, a description of the business, a plan for how you will market and manage your business, financial projections and the appropriate supporting documents.

To help you get started in writing your business plan, follow the summarized essential elements in the outlined below.
  1. Cover sheet
  2. Executive summary (statement of the business purpose)
  3. Table of contents
  4. Body of the document
    1. Business
      1. Description of business
      2. Marketing
      3. Competition
      4. Operating procedures
      5. Personnel
      6. Business insurance
    2. Financial data
      1. Loan applications
      2. Capital equipment and supply list
      3. Balance sheet
      4. Breakeven analysis
      5. Profit and loss statements
      6. Three-year summary
      7. Detail by month, first year
      8. Detail by quarters, second and third year
      9. Assumptions upon which projections were based
      10. Pro-forma cash flow
    3. Supporting documents
      1. Tax returns of principals (partners in the business) for last three years, personal financial statements (all banks have these forms)
      2. Copy of franchise contract and all supporting documents provided by the franchisor (for franchise businesses)
      3. Copy of proposed lease or purchase agreement for building space
      4. Copy of licenses and other legal documents
      5. Copy of resumes of all principals
      6. Copies of letters of intent from suppliers, etc.




Yaani mlolongo wote huu kwa ajiri ya ka-mkopo tu? -- aisee!!!!
 
Ndo utaratibu, ungekuwa na experience ya kuwahi kufanya biashara ungejua business growth ina maana gani. And what are the options of financing business growth - by debt or equity? Tatizo watanzania wana bad perception na issues za mikopo. Lakini ulimwenguni kote suala la kukopa kwa ajili ya kuipa support business yako ni issue ya kawaida mno.

Yaani mlolongo wote huu kwa ajiri ya ka-mkopo tu? -- aisee!!!!
 
Yaani mlolongo wote huu kwa ajiri ya ka-mkopo tu? -- aisee!!!!

Mlolongo huu unaouona si usumbufu ndio suluhisho la kutathmini na kujiridhisha kuwa biashara yako itasimama au la. Watoa mikopo wanahitaji dondoo hizo vinginevyo itakula kwako kwani utashtukia rehani imeyeyushwa na wakopeshaji kwa kutofanya utafiti wa kutosha juu ya mipango ya biashara yako.
 
Dear Wana JF!

Natumaini wote mpo poa kabisa, Na tunaendelea Sukuma Gurudumu la maendeleo ya taifa letu hili hili. Mimi nikiwa kama Mjasiliamali ambae tayari nimeshaingia katika Soko(Mapambano) nina swala nataka msaada kwa wale ambao watakuwa interested.

Mimi nina Business IDEA ambayo yatakiwa andikiwa Business Plan. Kama kuna Mtu/Watu wanataka kushare hii Idea na mimi, tukaweka team ambayo itakuwa na wataalam. Tukaandika Business Plan & Proposal nzuri, tukaomba Oppointment mahala, Nakuambia Hatuwezi kosa. Ni biashara Nzuri na inaendana kabisa na Karne hii ya Sayansi na Technolojia 100%. Cha msingi ni sisi wenyewe tu kujitoa.

Mimi kwa Ufahamu wangu mdogo tu nilionao hakuna kitu huwa nakiamini sana katika kuanzisha biashara kama Rasimali WATU, Maana bila kuwa na Watu hakuna kinachoweza fanyika, Vitu kama Fedha n.k huwa vinakuja Baadae, Mtanirekebisha kama nimekosea. So kama mtu amenielewa basi tufanye mawasiliano!

Nasema hivi wawekezaji wapo wengi tu hapa kwetu Tanzania. Kwa Mfano NSSF! wana Fedha nyingi lakini hawana hata Idea ya Biashara gani wafanye, Kila kukicha wanajenga Majengo tu na kuweka fedha katika Fixed account za Mabenki, Huku watanzania tunalilia Mitaji!

Tujipange ndugu zangu, Elimu ndio hizi tunazo! tusitegemee sana kuajiriwa!

Nakupa Hints tu ya Biashara yenyewe;
Kwa Mfano ukienda dukani nunua shati? Unauziwa mashati yote yalio Dukani? au wauziwa shati ambalo ni size yako na ambalo wewe umelipenda na ambalo linaendena na bajeti yako. Au Sio? Sasa why wao wanatuuzia vitu ambavyo hata hatuvihitaji na vingine hata huwa hatuvitumii kabisaa ila wanakupatia tu na gharama yake ipo juu.....!!!!

Sasa Tafakari.......Alafu Chukua hatua
 
Dear Wana JF!

Natumaini wote mpo poa kabisa, Na tunaendelea Sukuma Gurudumu la maendeleo ya taifa letu hili hili. Mimi nikiwa kama Mjasiliamali ambae tayari nimeshaingia katika Soko(Mapambano) nina swala nataka msaada kwa wale ambao watakuwa interested.

Mimi nina Business IDEA ambayo yatakiwa andikiwa Business Plan. Kama kuna Mtu/Watu wanataka kushare hii Idea na mimi, tukaweka team ambayo itakuwa na wataalam. Tukaandika Business Plan & Proposal nzuri, tukaomba Oppointment mahala, Nakuambia Hatuwezi kosa. Ni biashara Nzuri na inaendana kabisa na Karne hii ya Sayansi na Technolojia 100%. Cha msingi ni sisi wenyewe tu kujitoa.

Mimi kwa Ufahamu wangu mdogo tu nilionao hakuna kitu huwa nakiamini sana katika kuanzisha biashara kama Rasimali WATU, Maana bila kuwa na Watu hakuna kinachoweza fanyika, Vitu kama Fedha n.k huwa vinakuja Baadae, Mtanirekebisha kama nimekosea. So kama mtu amenielewa basi tufanye mawasiliano!

Nasema hivi wawekezaji wapo wengi tu hapa kwetu Tanzania. Kwa Mfano NSSF! wana Fedha nyingi lakini hawana hata Idea ya Biashara gani wafanye, Kila kukicha wanajenga Majengo tu na kuweka fedha katika Fixed account za Mabenki, Huku watanzania tunalilia Mitaji!

Tujipange ndugu zangu, Elimu ndio hizi tunazo! tusitegemee sana kuajiriwa!

Nakupa Hints tu ya Biashara yenyewe;
Kwa Mfano ukienda dukani nunua shati? Unauziwa mashati yote yalio Dukani? au wauziwa shati ambalo ni size yako na ambalo wewe umelipenda na ambalo linaendena na bajeti yako. Au Sio? Sasa why wao wanatuuzia vitu ambavyo hata hatuvihitaji na vingine hata huwa hatuvitumii kabisaa ila wanakupatia tu na gharama yake ipo juu.....!!!!

Sasa Tafakari.......Alafu Chukua hatua

Mmmh! kama vile haijatulia???kusanya taarifa kwanza
 
Mmmh! kama vile haijatulia???kusanya taarifa kwanza

Ndio Maana nahitaji Rasimali watu! Research si unajua pia ina cost! sasa kupunguza Cost. we needs a team of Researchers ambayo watakuwa willing kufanya kazi kwa gharama ndogo au bila gharama kabisa. hii bizness nizuri tu, Nimekiona na kitauza sana. hata wewe hapo sasa hivi ningekuambia ninayo hiyo service nakuambia unge lipia.
 
kazi kweli kweli kwenye biashara yoyote ile inatakiwa iwe na lengo sasa wewe lengo lako nini hasa maana naona hapa shati tu inabidi uiweke sawa ili hata kama kuna mtu anachochakuongezea imuwie urahisi..
 
kazi kweli kweli kwenye biashara yoyote ile inatakiwa iwe na lengo sasa wewe lengo lako nini hasa maana naona hapa shati tu inabidi uiweke sawa ili hata kama kuna mtu anachochakuongezea imuwie urahisi..
Asante kwa Comment! But kumbuka usemi usemao usimwage Mchele kwenye Kuku wengi, Hapa siwezi weka Idea natakiwa kutana na Real people tuongee. If you know anyone ambae anajua Mambo ya Business Plan & proposals, research, Accounts, Budgeting wewe tu hook nae. Usije ukaniona kama mchoyo lakini unafahamu why sitaweza sema kila kitu hapa. Ila kama nikutana na watu/mtu then watalijua nililonalo. It's not a Joke.
 
Back
Top Bottom