yani kuna hawa watu wanaitwa waharibifu ndio nawaongelea hapa
wao wanafanya juu chini kuvizia uko nyumbani na wife/hubby wako ndo wapige simu
hao watu huwa ni wale either wanakutongoza au uliwakataa
sasa kwa uharibifu wao tu wataanza kuongea mambo sio
na simu ikiita sana hujapokea mwenzio atakuhisi vibaya
hii imetokea na inaendelea kutokea kwa mtu namfahamu
mpaka mkewe hana raha sababu ya hawa viumbe waharibifu
inabidi mume akifika home either azime simu au aweke silent ambayo pia huleta ugomvi
afu akiwaambia waharibifu waache wao ndo wanaona rahaaa eti 'si atoke tu huyo nae vituko vyote hivi yumo tu'..
haaa!!
Nawapenda wote wanajamvi, hamjamboo!!
Kuna jambo huwa silipendi sijui nyie mnalionaje.
Unakuta watu wanafahamu fika wewe mume/mke wa mtu
Walikuwa na siku nzima ya kukupigia simu kuongea mambo yao ya kipuuzi
ila kwasababu wanazozijua wao wanaamua kupiga usiku na wanajua fika utakua
na my wife/hubby wako.Na watu wa hivi huwa hawana la mana la kusema, zaidi yakuongea kisichoeleweka na kuuliza 'mambo mengine vipi'..
Jamani, mchana mlikuwa wapii?
Haijakaa vizuri. Nyie mwaonaje?
Muone Teamo anayo dawa ya watu kama hawa!
Nawapenda wote wanajamvi, hamjamboo!!
Kuna jambo huwa silipendi sijui nyie mnalionaje.
Unakuta watu wanafahamu fika wewe mume/mke wa mtu
Walikuwa na siku nzima ya kukupigia simu kuongea mambo yao ya kipuuzi
ila kwasababu wanazozijua wao wanaamua kupiga usiku na wanajua fika utakua
na my wife/hubby wako.Na watu wa hivi huwa hawana la mana la kusema, zaidi yakuongea kisichoeleweka na kuuliza 'mambo mengine vipi'..
Jamani, mchana mlikuwa wapii?
Haijakaa vizuri. Nyie mwaonaje?