The Infamous
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 731
- 121
tanganyika libaki ni zuri.
Kilimanjaro? hapo ni kuwapa promo ya bure akina mangi.Na kwa jinsi hawa viumbe wanavyopenda ujiko,watapata nguvu mpya ya kudai kujitenga. Bora mara mia ungependekeza iitwe Msoga.Iitwe Kilimamjaro.
\
ahsante sana ma dearest ingawa mdogo wangu platozoom anakusanya sahihi 20 ili nisivae hiyo nguo jamani.
mkuu ni kati ya pongwe na muheza ndo hicho kibao kipo tena upande wa kushoto kutokea muheza.nadhani inaweza ikawa ndio asili ya jina hilo ngoja tuulize then nitakupa referencemkuu kama umeshawahi kwenda Tanga kuna daraja la safina( nafkiri jina limebadilika) ukiwa unaingia jiji la tanga kuna kibao kikubwa cheupe chenye maandish meusi kinachosomeka TANGANYIKA sasa mimi mpaka leo sijapataga mtu akanielezea vizuri kwanini pale kwenye ule msitu ndipo pamewekwa hiki kibao.
siyo WEMA tuwe WEMA?Diamond Platinumz
Ndahani Tafania inatokana na neno tafunwa......Hata na wewe unaweza kupendekeza jina la nchi yetu, sio lazima
kufata mawazo yangu
Iitwe Kilimamjaro.