Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Naomba wana Jf mpendekeze nchi yetu iitwe jina gani, Mungano uko ukingoni kuvunjika, jina la Tanganyika doesnt
sound good na jina la Tanzania limepatikana kutokana na Muungano.
(Tanga means kutanga tanga, Nyika means Mwitu =>Tanganyika= kutanga tanga mwituni, Mtanganyika=mtu wa kutanga tanga
mwituni) Mimi ningependa jina la nchi yetu iitwe Tafania. Bora niitwe Mtafania kuliko Mtanganyika, Je wewe unapendekeza jina gani?
sound good na jina la Tanzania limepatikana kutokana na Muungano.
(Tanga means kutanga tanga, Nyika means Mwitu =>Tanganyika= kutanga tanga mwituni, Mtanganyika=mtu wa kutanga tanga
mwituni) Mimi ningependa jina la nchi yetu iitwe Tafania. Bora niitwe Mtafania kuliko Mtanganyika, Je wewe unapendekeza jina gani?