Mchakato wa Kupata Tume Huru ya Uchaguzi Uanze Sasa

ACT Wazalendo

JF-Expert Member
May 5, 2014
610
1,540
MCHAKATO WA KUPATA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) UANZE SASA

Chama cha ACT Wazalendo, kupitia kwa Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara ndg Isihaka Rashid Mchinjita, kimewataka Wajumbe wote wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wajiuzulu ili mchakato wa kuundwa kwa Tume mpya ya Uchaguzi uanze kwa mujibu wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi iliyopitishwa na Bunge hivi karibuni.

Tume mpya itakayopatikana kwa ushindani wa Watanzania kuomba, kusailiwa na Jopo Maalumu, kuchujwa na kisha kuteuliwa;

1. Iratibu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwishoni mwa mwaka huu 2024, na
2. Iendeshe Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025

Kwa heshima na taadhima, makamishna wa NEC waliopo wanapaswa kuwapa nafasi Watanzania kupata NEC mpya kwa mujibu wa Sheria mpya ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Busara inataka WAJIUZULU KWA MPIGO (enmass)
 
Tume huru haiwezi kupatikana kwa katiba hii inayompa umungu mtu rais wa JMT ambaye pia anateua majaji, maDC, maDED, maRC, maRPC, n.k. Hawa wanaoweza kucheza na uchaguzi ktk namna yoyote inayokiuka sheria halafu wasifanywe chochote.

Ili tume huru ipatikane rais lazima awe chini ya sheria (aweze kishitakiwa) na mamlaka yake yapunguzwe na apunguziwe idadi ya wateule.

Vyama vya upinzani vilichemka sana kumpa Samia muda mrefu wa kuamini ulaghai wake wa mazungumzo ya maridhiano..
 
MCHAKATO WA KUPATA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) UANZE SASA

Chama cha ACT Wazalendo, kupitia kwa Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara ndg Isihaka Rashid Mchinjita, kimewataka Wajumbe wote wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wajiuzulu ili mchakato wa kuundwa kwa Tume mpya ya Uchaguzi

Busara inataka WAJIUZULU KWA MPIGO (enmass)
Hiyo kweli inaweza kuondoa lawama hata mkishindwa!
 
MCHAKATO WA KUPATA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) UANZE SASA

Chama cha ACT Wazalendo, kupitia kwa Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara ndg Isihaka Rashid Mchinjita, kimewataka Wajumbe wote wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wajiuzulu ili mchakato wa kuundwa kwa Tume mpya ya Uchaguzi uanze kwa mujibu wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi iliyopitishwa na Bunge hivi karibuni.

Tume mpya itakayopatikana kwa ushindani wa Watanzania kuomba, kusailiwa na Jopo Maalumu, kuchujwa na kisha kuteuliwa;

1. Iratibu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwishoni mwa mwaka huu 2024, na
2. Iendeshe Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025

Kwa heshima na taadhima, makamishna wa NEC waliopo wanapaswa kuwapa nafasi Watanzania kupata NEC mpya kwa mujibu wa Sheria mpya ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Busara inataka WAJIUZULU KWA MPIGO (enmass)
Wazee wa siasa za maswala na hoja wamepigwa na kitu kizito kwenye chaguzi za marudio wamepoteana. Ha ha ha ha 😂😂😂
 
Siasa inawapa maisha bora na utajiri Watu wengi iwe ni viongozi au wafanyabiashara.

Kuruhusu kushindwa ni kurudi nyuma kiuchumi kea namna moja au nyingine.

Ndio maana Watu hawana masihara kwenye uchaguzi.
 
MCHAKATO WA KUPATA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) UANZE SASA

Chama cha ACT Wazalendo, kupitia kwa Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara ndg Isihaka Rashid Mchinjita, kimewataka Wajumbe wote wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wajiuzulu ili mchakato wa kuundwa kwa Tume mpya ya Uchaguzi uanze kwa mujibu wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi iliyopitishwa na Bunge hivi karibuni.

Tume mpya itakayopatikana kwa ushindani wa Watanzania kuomba, kusailiwa na Jopo Maalumu, kuchujwa na kisha kuteuliwa;

1. Iratibu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwishoni mwa mwaka huu 2024, na
2. Iendeshe Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025

Kwa heshima na taadhima, makamishna wa NEC waliopo wanapaswa kuwapa nafasi Watanzania kupata NEC mpya kwa mujibu wa Sheria mpya ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Busara inataka WAJIUZULU KWA MPIGO (enmass)
Angalau wewe akili inaanza kurudi. Mwambieni na Zitto aache usaliti
 
MCHAKATO WA KUPATA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) UANZE SASA

Chama cha ACT Wazalendo, kupitia kwa Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara ndg Isihaka Rashid Mchinjita, kimewataka Wajumbe wote wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wajiuzulu ili mchakato wa kuundwa kwa Tume mpya ya Uchaguzi uanze kwa mujibu wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi iliyopitishwa na Bunge hivi karibuni.

Tume mpya itakayopatikana kwa ushindani wa Watanzania kuomba, kusailiwa na Jopo Maalumu, kuchujwa na kisha kuteuliwa;

1. Iratibu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwishoni mwa mwaka huu 2024, na
2. Iendeshe Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025

Kwa heshima na taadhima, makamishna wa NEC waliopo wanapaswa kuwapa nafasi Watanzania kupata NEC mpya kwa mujibu wa Sheria mpya ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Busara inataka WAJIUZULU KWA MPIGO (enmass)
Mbona mnatuchanganya nyie zambarau? Si mlisema mmeridhishwa na hatua za kisheria kuhusu mabadiliko ya sheria za uchaguzi? Daaaaah
 
MCHAKATO WA KUPATA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) UANZE SASA

Chama cha ACT Wazalendo, kupitia kwa Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara ndg Isihaka Rashid Mchinjita, kimewataka Wajumbe wote wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wajiuzulu ili mchakato wa kuundwa kwa Tume mpya ya Uchaguzi uanze kwa mujibu wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi iliyopitishwa na Bunge hivi karibuni.

Tume mpya itakayopatikana kwa ushindani wa Watanzania kuomba, kusailiwa na Jopo Maalumu, kuchujwa na kisha kuteuliwa;

1. Iratibu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwishoni mwa mwaka huu 2024, na
2. Iendeshe Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025

Kwa heshima na taadhima, makamishna wa NEC waliopo wanapaswa kuwapa nafasi Watanzania kupata NEC mpya kwa mujibu wa Sheria mpya ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Busara inataka WAJIUZULU KWA MPIGO (enmass)
Je wasimamizi sio Wakurugenzi tena na MaDAS??

Kama jibu ni ndiyo basi hakuna tume hapo.
 
Back
Top Bottom