Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,491
- 62,880
Faida ya kujiunga ni ipi?
Networking, personal development, maarifa ya uongozi, philanthropy n.k.Faida ya kujiunga ni ipi?
Yote ni ubatili kama kutakuwepo na sadaka ya damuNetworking, personal development, maarifa ya uongozi, philanthropy n.k.
Kuhusu Kanumba, kwani imekuwa ajabu Mtu kufa? Na posmoterm ilifanyika na ikaelezwa alipata brain concursion. Wahubiri wengine hutaka umaarufu tu.Issue ya Kanumba vipi?
Issue ya yule mhubiri kule Moshi kwenye mkutano wake vipi?
Issue ya mkapa 1995 na mv bukoba vipi?