Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 63,243
- 106,672
New world order ni nini?Niliwahi kusoma makala
Lengo ni new world order sio?
New world order ni nini?Niliwahi kusoma makala
Lengo ni new world order sio?
mabadiliko makubwa ya mfumo wa kisiasa, kiuchumi, na kiutamaduni duniani, ambapo nguvu za kimataifa, ushawishi, na mfumo wa uongozi hupangwa upyaNew world order ni nini?
Mabadiliko makubwa ya kimfumo yamekuwa yanatokea duniani siku zote.Himaya (Empires) zimekuja na kuanguka Karne zote kuanzia enzi za Babylon empire. Binadamu wamegundia maandishi, silaha na teknolojia za kila aina mpaka sasa enzi za AI, Binadamu wamesogea kutoka biashara za kubadilishana vitu(barter) trade mpaka sasa pesa za kidijitali. Mifumo ya kiuchumi imebadilika kutoka jamii za uwindaji na ukusanyaji matunda mpaka ubepari uliokomaa na ukumonusti.mabadiliko makubwa ya mfumo wa kisiasa, kiuchumi, na kiutamaduni duniani, ambapo nguvu za kimataifa, ushawishi, na mfumo wa uongozi hupangwa upya
Ha Ha Ha 😃, Infact group member hawa, ni ngumu kuwakuta wamekaa kihasara hasara (muda kwao ni jambo kubwa sana)mafunzo bora ambayo makanisani si rahisi kuyapata.
Sio lazima uwe ndani ya chama cha CCM, CHADEMA, CCP au chama fulani cha ukoo ili kujua yanayoendelea ndani ya hiko chama.Wewe haumo chamani wewe umejuaje haya yote kuwa yako hivyo bila shaka?
Kuna theories tofauti zinazoelezea freemasonry tofauti na wewe.Sio lazima uwe ndani ya chama cha CCM, CHADEMA, CCP au chama fulani cha ukoo ili kujua yanayoendelea ndani ya hiko chama.
Kwa nini usikilize theories mbalimbali wakati Freemasons wapo wamehojiwa na vyombo mbalimbali credible na kuna machapisho na vitabu vyao vingi tu vilivyoandikwa na wao wenyewe vikielezea wao ni kikundi cha aina gani.Kuna theories tofauti zinazoelezea freemasonry tofauti na wewe.
Hatujui wako ndani ya chama au nje.
Tujajuaje wewe na wao nani mkweli pasi na shaka?
Unajuaje kuwa hao wanao hojiwa ndio freemasonry?Kwa nini usikilize theories mbalimbali wakati Freemasons wapo wamehojiwa na vyombo mbalimbali credible na kuna machapisho na vitabu vyao vingi tu vilivyoandikwa na wao wenyewe vikielezea wao ni kikundi cha aina gani.
Wewe kwa nini umechagua kuamini theories zaidi ??
Hakuna mtu aliyewahi kupinga Sir Andy Chande ni Freemason,Unajuaje kuwa hao wanao hojiwa ndio freemasonry?
Hayo machapisho na vitabu unajuaje kuwa ni vya kweli kutoka kwao?
Kwanin utumie hakuna mtu aliyewah kupinga? Una uhakika gani kuwa hakuna? Vipi kama hawajajitokeza?Hakuna mtu aliyewahi kupinga Sir Andy Chande ni Freemason,
Wewe ulijuaje hizo theories nyingine tofauti na wanayosema wakina Andy Chande kuhusu Freemasons ukweli?
Leta ushahidi wa mtu aliyewahi kupinga Sir Andy Chande kuwa Freemason.Kwanin utumie hakuna mtu aliyewah kupinga? Una uhakika gani kuwa hakuna? Vipi kama hawajajitokeza?
Mimi siko upande wako wala wa wale wengine. Issue hapa nani mkweli, freemasonry ina dhana nyingi
Hapana, wengi wanapigwa baada ya kuwafuata freemason feki wanaobandika namba zao kwenye manguzo ya umemeUmeanza na neno mchakato!!
Kwa hiyo unataka wanachama wa hiari humu ama sivyo!!!
Inasemwa baadhi ya Wanachama wa freemason Tanzania huweza kutoa sadaka ya kafara ya wapendwa wao,Havina uhusiano,
Illuminati ni kikundi kilichokuwepo Ujerumani Karne ya 18 na kilitokomezwa na serikali, story zilizopo kuhusu illuminati kwa sasa ni fiction tu.
Nani alisema hayo mambo ya kafara? Kuna mwanachama yeyote wa kweli wa Freemason aliwahi kusema hayo mambo?Inasemwa baadhi ya Wanachama wa freemason Tanzania huweza kutoa sadaka ya kafara ya wapendwa wao,
Mzazi, mwenza, mtoto nk, je na freemason wa ulaya wana huu utaratibu wa kutoa kafara?
Kwa nini kutoa kafara?
Issue ya Kanumba vipi?Nani alisema hayo mambo ya kafara? Kuna mwanachama yeyote wa kweli wa Freemason aliwahi kusema hayo mambo?
Fuatilia mahojiano ya
1. Sir Andy Chande- Kiongozi wa Freemason Africa Mashariki.
2. Ambrose Rachier-Gor Mahia chairman, Kenya
3. Adrian Marsh - (Grand Secretary UK) on Society and Misconceptions