DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 32,342
- 83,281
Dini zimeanzishwa na binadamu hazina uhusiano na Mungu.Nina swali kidogo mkuu "Tunajua fika kuwa freemansonry ni wapinga kristo au uwepo wa Mungu kwanini waweke vigezo vya kwamba mwombaji awe muumini wa dini yoyote? Ina maana nini hatma yake baada ya maisha ya hapa duniani? They believe after life?