Scott junior
JF-Expert Member
- Mar 24, 2022
- 3,357
- 4,933
ngumu kuleta kitu kisichokuwa na ushahidi wa mashiko, nadharia za Freemasons zipo nyingi sana ila namna ya kuziweka ndio changamoto.
SIO WEMA HAWA
SIO WEMA HAWA
Havina uhusiano,Freemasonry
Illuminates kuna utofauti?
Ukifanikiwa kujiunga unapata faida gani?Ukiingia uwe unapenda kusoma majarida mbali mbali,yaani unasoma mambo kuliko hata kusomea digrii....
°Kujitambua,wewe ni nani?
°Upo kwa sababu gani hapa duniani?
#Acha tu.
Mnaharibu uzi sasa na ma lugha yenu yasiyoeleweka. Anzisheni uzi wenu huko mkajadili kwa hizo lugha zenuUne ndi mwosyigwa
Simply intelegent ya kumudu maisha yako kwa 100%, Wana funds zao nje ya kukopa bank,pia kuna fee kama vikoba unalipa kila muda fulani,na pia zinamuunganiko duniani kote hivyo wana fedha nyingi sana!...wana wataalamu wa kibiashara, construction, consultants,Ukiwa memba wao hakuna kukwama kila msaada rafiki wa kweli unapatikana humo./Ukifanikiwa kujiunga unapata faida gani?
Freemasonry wana nembo au alama wanazotumia?Havina uhusiano,
Illuminati ni kikundi kilichokuwepo Ujerumani Karne ya 18 na kilitokomezwa na serikali, story zilizopo kuhusu illuminati kwa sasa ni fiction tu.
Wana utamadunibwa kukutana ?Simply intelegent ya kumudu maisha yako kwa 100%, Wana funds zao nje ya kukopa bank,pia kuna fee kama vikoba unalipa kila muda fulani,na pia zinamuunganiko duniani kote hivyo wana fedha nyingi sana!...wana wataalamu wa kibiashara, construction, consultants,Ukiwa memba wao hakuna kukwama kila msaada rafiki wa kweli unapatikana humo./
WanazoFreemasonry wana nembo au alama wanazotumia?
Wana rituals mbalimbali unazotakiwa kupita ili kupanda ngazi kutoka daraja la chini mpaka ufike la juu ila sio ibada.Wana utamadunibwa kukutana ?
Kuna issue za ibada?
Ukiingia uwe unapenda kusoma majarida mbali mbali,yaani unasoma mambo kuliko hata kusomea digrii....
°Kujitambua,wewe ni nani?
°Upo kwa sababu gani hapa duniani?
#Acha tu.
666 hii namba ambayo wanautumia?Wana rituals mbalimbali unazotakiwa kupita ili kupanda ngazi kutoka daraja la chini mpaka ufike la juu ila sio ibada.
Hawatumii666 hii namba ambayo wanautumia?
Binafsi sipo huko ila nina ndugu yapo huko,namuana jinsi anavyobukua vitabu!...Nipe mchongo niingie huko
Umeanza na neno mchakato!!Mchakato wa kujiunga na Freemasonry unafuata utaratibu rasmi na wa hiari, tofauti na dhana za mtaani kwamba watu hualikwa au kulazimishwa.
Hatua Kuu za Kuingizwa Uanachama:
- Ombi la Hiari ("Ask One to Be One"): Kanuni kuu ya Freemasonry ni kwamba hawamshawishi wala kumshawishi mtu kujiunga. Mtu anayetamani kuwa mwanachama anapaswa kumfuata mwanachama anayemfahamu na kuomba kujiunga mwenyewe.
- Vigezo vya Mwanzo: Mwombaji lazima awe mwanaume mzima (kawaida miaka 18 au 21 na kuendelea kulingana na eneo), mwenye tabia na sifa nzuri za kimaadili katika jamii, na anayeamini uwepo wa "Mungu" au "Kiumbe Mkuu" (G.A.O.T.U. - Great Architect of the Universe), bila kujali dini yake mahsusi.
- Uchunguzi (Investigation): Baada ya kuwasilisha fomu ya maombi, kamati ndogo ya Freemasons hukutana na mwombaji pamoja na familia yake ili kumfahamu vizuri, kuchunguza maadili yake, na kuhakikisha anaelewa kuwa uanachama ni wa hiari na hautadhuru majukumu yake ya kifamilia au ya kazi.
- Kupigiwa Kura (Balloting): Wajumbe wote wa tawi husika (Lodge) hupiga kura ya siri. Mtu anakubaliwa kujiunga ikiwa tu kura zote zitakuwa za ndio bila pingamizi.
- Sherehe ya Kuingizwa (Initiation Ritual):Mwanachama mpya hupitia sherehe maalum za kimfano na viapo vinavyohusu kutunza siri za kikundi, kuheshimu sheria za nchi, na kujitolea kusaidia jamii. Kupitia sherehe hizi, anapanda ngazi tatu kuu:
- Entered Apprentice (Mwanafunzi wa Mwanzo)
- Fellowcraft (Fundi wa Kati)
- Master Mason (Fundi Mkuu)
mafunzo bora ambayo makanisani si rahisi kuyapata.Kwa exprience ya ndugu yangu ambaye yupo humo,nimeshuhudia wakifundishwa namna mbalimbali za ufanyaji kazi wenye bidii kubwa,kulobby opportunity haraka,kutokuwa waoga kukopa bank,jinsi ya kukopa fedha,jinsi ya kutumia kwa umakini mkubwa,jinsi ya kuepuka watu wasio na manufaa kwako,jinsi ya kuzingatia muda wako vizuri,
Ni masomo haswa!sio mchezo,masomo yao mrengo wake mkubwa ni ustawi wa kiuchumi zaidi.
Niliwahi kusoma makalaHawatumii