Mchakato Mahakama ya Mafisadi waanza

Mchakato Mahakama ya Mafisadi waanza

Hivi Mwakyembe kateuliwa kuwa Mkurugenzi wa mashtaka (DPP) au Waziri wa sheria? Inaonyesha mleta mada hata hajui tofauti za mamlaka ya kazi hizo mbili, anachojua yeye ni chuki dhidi ya Lowasa.
Naona JPM kajipanga uzuri, kamweka waziri wa sheria nguli atakayeweza kuusimamia vizuri mchakato wa hii mahakama na naamini wale mafisadi waliohusika na mabehewa feki kutoka India hawatapona hapa.

 
Sheria haipo inayotaja wazi ufisadi ila ipo ya uhujumu uchumi na matumizi mabaya ya madaraka,JAMANI TUWABANE HAWA WABUNGE WAUNGANE MUSWADA UKIINGIA WA HIYO MAHAKAMA NA KUWEKA NENO UFISADI KAMA KOSA KUBWA LA JINAI WAWEZE KUPITISHA TENA KWA NGUVU MOJA.
 
UNAKOSEA BADO SIO JINAI ILA KUNA neno linaitwa matumizi mabaya ya madarak na uhujumu uchumi,bado sheria haijakaa sawa. labda uweke kifungu.
 
wawakilishi wale wa Upinzani walikuwa wanataka SERIKALI TATU ILIPOSHINIDIKANA BASI ETI WALITOKA NA kulazimisha wafunge Bunge,,,,huo ulikuwa UZUZU MKUBWA ULIOPATA DEGREE AMBAO WATANZANIA WALITAKIWA WAWASHTAKI KWA KURA.KUNA MAMBO MEEENGI YALIWEKWA KATIKA KATIBA,NA WANGEUNGANA NA CCM WALE WENYE MISISMAMO MIKALI MBONA BAADHI YA MAMBO MUHIMU YANGEPITA???? CCM NA WENGI WALICHOKA NA HALI ILIOKUWEPO TAYARI.
Hivyo kurudi nyuma haiwezekani ni kupiga kura na ikipita warekebishe kupitia Rais mwenye msimamo kama tulienae sasa.
 
Nasikia wewe ndo ulikuwa hawara yake....turudishie nyumba yetu!

kumbe unasikia akili za kuambiwa changanya na za mumeo mwambie huyo fisadi aliyeuza nyumba za serikali ajiandae
 
Naona kuteuliwa kwa mwakyembe ni tatizo kubwa sana kwa lowassa
 
Naona JPM kajipanga uzuri, kamweka waziri wa sheria nguli atakayeweza kuusimamia vizuri mchakato wa hii mahakama na naamini wale mafisadi waliohusika na mabehewa feki kutoka India hawatapona hapa.


kwa Hiyo mtuhumiwa ndiye anayesimamia mchakato...
 
unaushahid mkuu.....au tcra unadhan wamelala?......
Si ndo hapo mkuu, yaani watu wanafikia hatua ya kujisahau - hawana habari kwamba Dk.Magufuli ndiye anaongoza Nchi hivi sasa, wakifatiliwa na kutiwa matatani wanalalama.
 
Kwanza kabisa cha kuomba ni katiba mpya, hapa tunafanya kama tunanua gari mpya tunawaachia madereva walewale waendeshe hayo magari. Mahakama tulizokuwa nazo zinatosha kabisa, uamuzi huu unaongeza gharama tu.
 
kwani siitaanzia kwenye nyumba za serekali zilizouzwa kwa bwerere au?
 
Sio kwa mafisadi walopita labda ni kwa watakaoanza kufanya ufisadi katika serikaki hii mpya
 
Jamani wachambuzi na wenye upeo wa kutosha, naomba mje na hoja kwanini Magufuli bado ana uwezo wa kuanzisha ile mahaka ambayo hata kura za halali alizozipata, alizipata kwa sababu ya hii ahadi? Au kwanini unadhani hawezi tena kuianzisha?

Ile jamii ya kina Fox na nyie njooni mfoke
 
Kwanza sijui akiianzisha anaanza na Mabehewa au manyumba ya serikali? Yaani vululuvululu
 
Hata akithibitisha pasipo shaka kuwa hata ile kampuni iliyolipwa ni ya JK hakuna mahakama itakayoweza kumuhukumu. Hiyo ndio kinga ya rais.
Ninachotaka kujua ni kwa kuwa itakuwa imejulikana kuwa mwenye kosa ni wa juu je na yeye kama tunavyojua hashitakiwi kwahiyo ndio kusema adhabu yake anabeba mwingine????????
 
Mwakyembe asimamie uanzishaji wa mahakama itakayo kuja kumshitaki?
 
Back
Top Bottom