Ilongailunga
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 1,388
- 896
Kwahiyo wale wa Bandari na mabehewa feki sasa hivi shangwe tu
kwahiyo wale wa bandari na mabehewa feki sasa hivi shangwe tu
Kuna sababu kwa nini Mwakyembe ameteuliwa kuwa Waziri wa Sheria, kwa waliokuwa wanakejeli kila siku kwamba ,,kama kweli Lowasa ni fisadi ni kwa nini ashitakiwi?" sasa kiu yao itakaushwa, naam, fisadi Lowasa atashitakiwa na atatiwa pingu hivi karibuni, msiwe na hofu, ile msianze tena kulia lia hapa kwamba anaonewa kwa sababu ni chadema!
Hivi Mwakyembe kateuliwa kuwa Mkurugenzi wa mashtaka (DPP) au Waziri wa sheria? Inaonyesha mleta mada hata hajui tofauti za mamlaka ya kazi hizo mbili, anachojua yeye ni chuki dhidi ya Lowasa.
Japo unatatizo la uelewa ngoja mi nijifanye kama sijaliona na badala yake nikujibu kwa mtindo wa kukuuliza, hivi unavyodhani kumshitaki Lowassa kuna muacha Kikwete salama ??????? (na hapo ndio utajua kwanini unayemuita wewe fisadi hajashitakiwa na usiwaone waliojifanya hawamuoni ni wajinga.)Kuna sababu kwa nini Mwakyembe ameteuliwa kuwa Waziri wa Sheria, kwa waliokuwa wanakejeli kila siku kwamba ,,kama kweli Lowasa ni fisadi ni kwa nini ashitakiwi?" sasa kiu yao itakaushwa, naam, fisadi Lowasa atashitakiwa na atatiwa pingu hivi karibuni, msiwe na hofu, ile msianze tena kulia lia hapa kwamba anaonewa kwa sababu ni chadema!
Wafanye haraka kabla mtuhumiwa wa kwanza wa hiyo mahakama hajafa kwa parkinsonism
Japo unatatizo la uelewa ngoja mi nijifanye kama sijaliona na badala yake nikujibu kwa mtindo wa kukuuliza, hivi unavyodhani kumshitaki Lowassa kuna muacha Kikwete salama ??????? (na hapo ndio utajua kwanini unayemuita wewe fisadi hajashitakiwa na usiwaone waliojifanya hawamuoni ni wajinga.)
Kwahiyo wewe uliyechamba kidogo ukabaki na mavi, unavyoojua kama Lowassa atasema mahakamani kwa vidhibitisho kwamba nilifanya kwa amri kutoka juu na wa juu ikadhibitishwa kweli alitoa hiyo amri bado mahakama itamuadhibu aliyetekeleza amri???????Kuchamba kwingi mwisho kushika mavi, Kikwete ana kinga ya katiba hawezi kushtakiwa kwa kosa lolote alilofanya akitekeleza majukumu yake kama rais. Kwahiyo huyo mzee wa kujinyea hana pakujificha labda aende vyoo vya stendi ya Arusha.
Kwahiyo wewe uliyechamba kidogo ukabaki na mavi, unavyoojua kama Lowassa atasema mahakamani kwa vidhibitisho kwamba nilifanya kwa amri kutoka juu na wa juu ikadhibitishwa kweli alitoa hiyo amri bado mahakama itamuadhibu aliyetekeleza amri???????